kush moker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2016
- 579
- 367
- Thread starter
- #61
Bangi nishaacha mwaka wa 3 huuNi bangi tu,hana lingine lolote!! Mtu mwenyewe anajiita kush moker !! Me nimepitia huko enzi nakua!! Aache tu bangi hilo wenge litaisha
Bangi nishaacha mwaka wa 3 huuNi bangi tu,hana lingine lolote!! Mtu mwenyewe anajiita kush moker !! Me nimepitia huko enzi nakua!! Aache tu bangi hilo wenge litaisha
Nitafanyia kazi ushauri wakoWewe mwenyewe hujikubali, nani atakukubali
Mimi sio mchafu,sinywi hizo double kickInategemea km upo mchafu watu hawawez kukushobokea so fua nguo punguza Pombe double Kiki.
Hilo pia lipo michongo ya pesa inayeyuka sana tuLabda hapo kwenye hela kila akijaribu kutafuta zinamkataa,aweke wazI.
Noted!Awazavyo mtu ndivyo alivyo!
Tena jiambie ..." i'm improving everyday in everything no matter what.
Nimekuelewa vyema.Aisee kweli watu tunatofautiana.
Mimi binafsi huwa sipendi sana mazoea na watu.
Naishi mimi kama mimi wale wanaonielewa wananielewa asiyenielewa atajua yeye mana si lazima kila mtu akuelewe.
Sina marafiki wala rafiki ila kuna watu tu tu na mazoea yale ya kawaida.
Ishi maisha yako Mana Kuna watu watakukubali tu jinsi ulivyo na watajiweka karibu na wewe.
Usiishi ili kila mtu akupende mana hakunaga kupendwa na kila mtu zaidi tu utapata huko na wanafiki humohumo.
Halafu kuwa na rundo la marafiki au watu wanaokukubali muda mwingine inakuwa kama mzigo ni bora kuwa na watu wachache wenye msaada na maono ya kufika mbali.
Sio kweliHuu ni upotoshaji uliokithiri, bangi inaongeza confidence kwa wale ambao hawajiamini !
How?KARMA inafanya kazi
Jitoe kwenye hiyo loop...Anza Kwa kujikubaliNi kitu kama icho,je nifanyeje?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Tafuta ela, nunua passo mpya namba D, jirani akiugua atakutafuta umpeleke hospitali.
Kingine, bangi ya dar wanaichanganya na mavi ya ng'ombe, tafuta ya arusha.