NakaziaAcha bangi!! Hizo ni effect za bangi,nina uhakia! Nimepitia huko,ukiendelea itakutengenezea Inferiority complex
Nakazia
Effects za ganja ni pamoja na kujishtukia mwenyewe
Ni bangi tu,hana lingine lolote!! Mtu mwenyewe anajiita kush moker !! Me nimepitia huko enzi nakua!! Aache tu bangi hilo wenge litaishaNakazia
Effects za ganja ni pamoja na kujishtukia mwenyewe
Mmh sio kweliAcha bangi!! Hizo ni effect za bangi,nina uhakia! Nimepitia huko,ukiendelea itakutengenezea Inferiority complex
Cannabis ebu rekebisha hapaAcha bangi!! Hizo ni effect za bangi,nina uhakia! Nimepitia huko,ukiendelea itakutengenezea Inferiority complex
Labda hapo kwenye hela kila akijaribu kutafuta zinamkataa,aweke wazI.We tafuta hela sio lazima upendwe na kila mtu.
Mwenye kitengo huyu msimbishie anajuaHuu ni upotoshaji uliokithiri, bangi inaongeza confidence kwa wale ambao hawajiamini !
DAFUQ 😂Tafuta ela, nunua passo mpya namba D, jirani akiugua atakutafuta umpeleke hospitali.
Kingine, bangi ya dar wanaichanganya na mavi ya ng'ombe, tafuta ya arusha.
Soma hiiWasalaam wanaJf,
Kama kichwa kinavyojieleza ninahiasil kama nina karoho flani ivi cha kukataliwa na kutokukubalika na watu wanaonizunguka kwani kina mda najiona kama mimi ndo najipendekeza zaidi kwa watu.
Hii hali naiona sasa kama inazidi na inanikosesha amani kiasi fulani.
Je,kuwa katika hali hii kuna uhusiano gani kiimani na kiroho?
Karibu kwa ushauri.