KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,291
Wakuu, kwel leo nimechelewa kurud home,nafika tu mke wangu kavamia gari kavunja kioo cha mbele,je nimlipishe au nisamehe
Watoto wa siku izi sijui ubongo wao umetengenezwa na nini! yani na hili nalo ni la kuja JF kuuliza?
JF isingekuwepo je?
Ivi na wewe unaitwa baba?