Roho inaniuma sana

Kwanza hapo alivyojibiwa kuwa alifanya mara mbili na jamaa ake "ALIEMPENDA SANA TENA SANA" kwa kuweka msisitizo inaonyesha wazi kabisa kuwa jamaa hapendwi ila analazimisha tu.
 
Jamani nyiee, hamfanyi vizuri ujue.....
 
Kitu cha kwanza nilichopenda hapo haukujibu hizo text, hapo subira mpaka atakapokutafuta tena na akikutafuta wewe mwambia nahitaji kuonana na wewe. Mkikutana muulize kuhusu alichosema kwenye text alikuwa anamaanisha nini. hilo swala haliwezi kuisha vizuri kwenye simu lazima mkutane.
 
Mimi wangu nilifanya nae mara7 ndo akafika kileleni kwa mara ya kwanza.. so pambana mkuu uwe wakwanza kumkojoza
 
Ngoja nikupe ukweli mchungu then utachagua mwenyewe kuzika au kisafirisha
.
.
Kwanza hapo huna demu una poteza muda na pesa zako bure kwanza siyo mkweli pia yupo ki maslahi kwko ila wewe upo kimapenzi pia amesha jua udhaifu wako ndomana anakusumbua

Kuna msela alisha piga tena siyo mara moja kwa mujibu wa mesej zake sasabasi jiongeze tafta demu mwingine happ anakuchora tu ameshakuona wew kama mserereko ...Mambo ya mapenzi ni ngumu kumshauri mtu lakini penye ukweli tunakwambia ukweli
 
Huu ni uzwazwa kabisa, kwanza unamuamini mwanamke kiasi hicho ili ugundue nini.!? Inasikitisha sana yaani unahudumia mwanamke miaka miwili bila kula Mbususu, aisee mimi siwezi. Mwanamke ukimpaka ndani ya wiki ya kwanza omba mchezo akizingua potezea sio unakaza fuvu utazani yeye tu ndio ana utelezi.

Alafu unapenda namna gani hivyo yaani mwanamke anakupanga unapangika, dogo una miaka mingapi?
 
Ngoja ujifunze kwa damu na jasho na machozi ili upikwe ndio uyajue. Mie nililia mtt njiani miaka iyo nikiwa kijana mdogo nadhani alinitahiri moyo so hata nikikutana na wife akitoka loji kiroho Safi nitaendelea kuishi naye bila hiyana. Kwani babu zetu hawakufumania na wakakomaa mpaka wanatengeneza Koo zao tupo Kama sie.
Like shimo Kama kijiko Cha chakula kwa mama ntilie.
Am thinking how can I make even my fifth generation waishi bila kufanya kazi wakila gawio la hisa. That's all about me but I don't have a place in my head to think about pussyy.
Huyo atakuumiza tafuta kitu kingine fanya hao viumbe huwa wanaongozwa na intuition na sio jinsi unavyomhudumia ama kumbembeleza.
Kama anakupenda anaileta mwenyewe Ni Kama kipaji hulazimishwi uwe nacho.
Ama Ni sawa na kujikwaa yaani zile reflex action,ukijua Ilo na wao wanapenda ivyo.

Kama unahudumia na hujala utaumia,subiri unapikwa uwe dhahabu
 
Shukrn mkuu nimekupata hawa viumbe siwez rudia kosa
 
Hahaha nimecheka sana shukrn kwa ushauri wako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…