Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Unajua tangu nlipokua mdogo nlikua nikisikia kuhusu madeni ya taifa eti budget haitoshi kwa kutegemea mapato ya ndani, mpaka leo hii bado, yaani bado hatuwezi kujitegemea. Hv sisi tuna nini jamani? Inauma sana.