Roho inaniuma sana ila sina cha kufanya

Roho inaniuma sana ila sina cha kufanya

"Mchumba nipigie leo nataka kulala mapema"

M2 kakwambia hivyo kwamba leo anataka kulala mapema bado unajiuliza eti mbona ghafla na c kawaida yako kulala mda huo,,,,,

NB: Listen 2 understand don't listen to reply
 
Mkuu umeto..mbewa
Hawa viumbe smart sana
 
Kamsuprise kwake usiku huu
Hope mko poa

Nina mwanamke ambaye soon atakua mke Rasmi kusema ukweli nimetwmbea na wanawake wengi sana but huyu kwangu namuona ndo best yaani hapa mefika sisikii wala sielewi daaah maskini Patriot Man umepatikana baada ya miaka mingi kwenye safari ya mahusiano.. Huyu mwanamke ni mrefu ana Hips duuh size 50 kafungasha daaah.. alafu ni msukuma ni mzuri ndo mana nimekua kama zezeta kwake.

Sasa Upo hivi leo mempigia cm mchana tukaongea vizuri jioni nikampigia simu hakupokea badae akanitumia sms .Nikamuliza uko wapi akasema yuko Home nikamuuliza leo umetoka ofisini saa Ngapi?akanambia saa mbili kamili... alafu saa mbili na dakika 15 ananiambia eti yupo Home nikapata ukakasi nikamuambia mbona umefika mapema akasema amepanda piki piki na mimi nilimkataza kupanda piki piki
niakjifanya mjinga. nikakata cm
Baada ya mda akanitumia text "Mchumba nipigie leo nataka kulala mapema" hapo ni kama saa tatu kasoro na yeye huwa analala saa 5. Nikampigia cm nikamuuliza kulikoni mbona leo mapema akasema wana kikao cha familia wanaongea leo so akitoka hapo atakua kachoka ataenda kulala nikamuambia sawa tukapiga story kidogo ila sauti yake ilikua chini kidogo sio kama mwanzoni.. nikamuambia basi po usiku mwema ila kinyonge saana...
Daah mapka sasa hivi kila nikipiga simu yake haipataikani kabisa sijui kama leo nitapata usingizi kwa kweli
Nawaza mambo mengi ila naomba Mungu yasiwe kama ninavyoyawaza .

Nifarijini WADAU

Sasa leo mchana Tumeongea
 
Mkuu wanawake hawasifiwagi kijingajinga hivyo.
Kumpenda haukatazwi, lakini usijichanganye kumuungamia kama ulivyojaribu kufanya hapa Jf! Mpende kimoyomoyo, ukimdhihirishia kwa maneno, umekwisha! Mdhihirishie kwa matendo yatosha.

Tena huo ujinga unafanywa sana na vijana makamo yenu, hasa wakati wa kilele cha kukwea mlima kitonga, ukifika kwenye kilele ubongo unazubaa na kisha kusinyaa na kuwa mdogo kama wa jogoo, bila ridhaa ya kujitambua, unaanza kuweweseka na udenda mdomoni kama taahira! Ndiyo uungameje?

......Ooh... akiyaMungu ninakupenda sana na ukiniacha najiua....
Hapo mkuu utakuwa umejikaanga kwa mafuta yako mwenyewe.

Lakini nisikupelekeshe sana, aweza kuwa hana mood ya kuwasiliana na wewe kwa ajili ya uchovu na kiubinadamu tu na si vinginevyo.

Mpe nafasi ya falagha zake ili penzi liendelee kustawi.
Kumfuatafuata kisogoni muda wote akakosa hata pa kutemea mate atakuchoka mapema na penzi kupauka.
 
Unakwama wapi ?uyo kaenda kushughulikiwa kisawa sawa,Mm stress za kijnga sipendi maisha yanichanganye na mapenzi nayo yanichanganye ??never !!
 
Hope mko poa

Nina mwanamke ambaye soon atakua mke Rasmi kusema ukweli nimetwmbea na wanawake wengi sana but huyu kwangu namuona ndo best yaani hapa mefika sisikii wala sielewi daaah maskini Patriot Man umepatikana baada ya miaka mingi kwenye safari ya mahusiano.. Huyu mwanamke ni mrefu ana Hips duuh size 50 kafungasha daaah.. alafu ni msukuma ni mzuri ndo mana nimekua kama zezeta kwake.

Sasa Upo hivi leo mempigia cm mchana tukaongea vizuri jioni nikampigia simu hakupokea badae akanitumia sms .Nikamuliza uko wapi akasema yuko Home nikamuuliza leo umetoka ofisini saa Ngapi?akanambia saa mbili kamili... alafu saa mbili na dakika 15 ananiambia eti yupo Home nikapata ukakasi nikamuambia mbona umefika mapema akasema amepanda piki piki na mimi nilimkataza kupanda piki piki
niakjifanya mjinga. nikakata cm
Baada ya mda akanitumia text "Mchumba nipigie leo nataka kulala mapema" hapo ni kama saa tatu kasoro na yeye huwa analala saa 5. Nikampigia cm nikamuuliza kulikoni mbona leo mapema akasema wana kikao cha familia wanaongea leo so akitoka hapo atakua kachoka ataenda kulala nikamuambia sawa tukapiga story kidogo ila sauti yake ilikua chini kidogo sio kama mwanzoni.. nikamuambia basi po usiku mwema ila kinyonge saana...
Daah mapka sasa hivi kila nikipiga simu yake haipataikani kabisa sijui kama leo nitapata usingizi kwa kweli
Nawaza mambo mengi ila naomba Mungu yasiwe kama ninavyoyawaza .

Nifarijini WADAU

Sasa leo mchana Tumeongea
Njia rahisi ni hii km unapajua kwao nenda moja Kwa moja kamuulizie
 
Kama ulikuwa umeingia miguu yote miwili chomoa mmoja
Asubuhi amka mapema sana kabla hujaenda naye hajatoka kwenda kazini mpitishie Vitafunwa kwa ajili ya Breakfast utapata thawabu nyiiiiiiingi
 
Nasoma comments za wanaume wa jf wanavyojitutumua kujifanya mapenzi hayawaumizi wakati wengine wanaugulia ndani kwa ndani..haya endeleeni kujipa moyo

Mkuu usiwaze vibaya huenda ikawa kweli aliwahi kulala na ni vizuri baadae ukamtafuta ili uuongee nae vizuri..huyo ni mwanamke wako na wewe ndio wamjua vyema kuliko hata watoa ushauri wa huku jf..kikubwa uongee nae moyo ukiwa tulivu na pasipo jazba Kama alikudanganya utajua tu.

Kua mwanaume
 
Ila mwanaume akimsaliti mwanamke wake anakuwa bado anampenda si ndiyo? Ndivyo mnavyojaribu kutudanganya hivyo si eti?
Mimi naamini mwanamke akikusaliti ujue hakupendi .kama kuna uwezekano achana nae .
 
Ila mwanaume akimsaliti mwanamke wake anakuwa bado anampenda si ndiyo? Ndivyo mnavyojaribu kutudanganya hivyo si eti?
Mimi ninavyo jua hakuna ndoa ya mke mmoja na wanaume zaidi ya mmoja ila kuna ndoa ya mme mmoja mpaka wake wanne.
 
Nenda kwake/kwao asubuhi sanaaa,ukifika gonga mlango,uliza wadogo zake au ndugu wengine kama yupo ndani!

Kama anaishi kwake,ukikuta kufuli jua ameshatafunwa,ukikuta hafungui mlango jua anashughulikiwa, ila ukimkuta na yupo tu normal baaasi assume ni siku mbaya tu kwake!

Ila kwa mazingira hayo,98% ametafunwa mzee!
 
Asili ya wanaume tumeumbiwa kuwa na wanawake wengi.
Sio KWENYE dini Tu hata KWENYE Mila na desturi.
Tumeruhusiwa ILA KWA NDOA.
na hata hivyo mwanaume akiwa na wanawake wengi hata kama hajawaoa si Jambo la kushangaza.ila kwanini mwanamke uwe na wanaume wengi?
HUO NI umala***
Ila mwanaume akimsaliti mwanamke wake anakuwa bado anampenda si ndiyo? Ndivyo mnavyojaribu kutudanganya hivyo si eti?
 
Back
Top Bottom