Roho inaniuma sana ila sina cha kufanya

Roho inaniuma sana ila sina cha kufanya

Wanawake ndo wale wale tuna share mkuu hutakiwi kuingia miguu yote miwili.
 
Demu wako ukiwa naye.
Akitoka tu na sisi tunajisevia.
Yupo kwenye kubahatisha nani atamuoa.
Ila Kama ulishaanza mchakato wa kuoa mkuu piga chini. Maana hajielewi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]babu jinga inama ufikiriiii....
ndo kwanza 22:45.
 
Tatizo hata ukimchunia tayari keshamegwa.sio dawa hyo
Dawa ya kumjua kama amechepuka ni kumchunia tuu week hii then utaona respond yake itakuaje....

Ukiona ana kahofu fulani hivi jua umeliwa ila Ukiona yupo normal jua kila kitu fresh
 
Kaenda kwenye training ili azidi kukudatisha.
We unafikiri atajuaje style mpya mpya
 
Uwezi kumchunga binadamu mwenzio hata ufanyeje tena mliokutana ukubwani. Huyo bidada msitaarabu kabisa amekwambia anataka kulala mapema, shida iko wapi. Hapo katoa taarifa, je angezima simu bila taarifa ingekuwaje? Utamzuiaje mwenzio kupanda bodaboda wakati hujampa usafiri?
 
Hope mko poa

Nina mwanamke ambaye soon atakua mke Rasmi kusema ukweli nimetwmbea na wanawake wengi sana but huyu kwangu namuona ndo best yaani hapa mefika sisikii wala sielewi daaah maskini Patriot Man umepatikana baada ya miaka mingi kwenye safari ya mahusiano.. Huyu mwanamke ni mrefu ana Hips duuh size 50 kafungasha daaah.. alafu ni msukuma ni mzuri ndo mana nimekua kama zezeta kwake.

Sasa Upo hivi leo mempigia cm mchana tukaongea vizuri jioni nikampigia simu hakupokea badae akanitumia sms .Nikamuliza uko wapi akasema yuko Home nikamuuliza leo umetoka ofisini saa Ngapi?akanambia saa mbili kamili... alafu saa mbili na dakika 15 ananiambia eti yupo Home nikapata ukakasi nikamuambia mbona umefika mapema akasema amepanda piki piki na mimi nilimkataza kupanda piki piki
niakjifanya mjinga. nikakata cm
Baada ya mda akanitumia text "Mchumba nipigie leo nataka kulala mapema" hapo ni kama saa tatu kasoro na yeye huwa analala saa 5. Nikampigia cm nikamuuliza kulikoni mbona leo mapema akasema wana kikao cha familia wanaongea leo so akitoka hapo atakua kachoka ataenda kulala nikamuambia sawa tukapiga story kidogo ila sauti yake ilikua chini kidogo sio kama mwanzoni.. nikamuambia basi po usiku mwema ila kinyonge saana...
Daah mapka sasa hivi kila nikipiga simu yake haipataikani kabisa sijui kama leo nitapata usingizi kwa kweli
Nawaza mambo mengi ila naomba Mungu yasiwe kama ninavyoyawaza .

Nifarijini WADAU

Sasa leo mchana Tumeongea
chomoa betri
 
Isije ikawa ndiyo huu mzigo niliyo uambia utie magetoni saa 3 ucku...ngoja nichek simu yake kama amezima tapata jibu.
 
Hope mko poa

Nina mwanamke ambaye soon atakua mke Rasmi kusema ukweli nimetwmbea na wanawake wengi sana but huyu kwangu namuona ndo best yaani hapa mefika sisikii wala sielewi daaah maskini Patriot Man umepatikana baada ya miaka mingi kwenye safari ya mahusiano.. Huyu mwanamke ni mrefu ana Hips duuh size 50 kafungasha daaah.. alafu ni msukuma ni mzuri ndo mana nimekua kama zezeta kwake.

Sasa Upo hivi leo mempigia cm mchana tukaongea vizuri jioni nikampigia simu hakupokea badae akanitumia sms .Nikamuliza uko wapi akasema yuko Home nikamuuliza leo umetoka ofisini saa Ngapi?akanambia saa mbili kamili... alafu saa mbili na dakika 15 ananiambia eti yupo Home nikapata ukakasi nikamuambia mbona umefika mapema akasema amepanda piki piki na mimi nilimkataza kupanda piki piki
niakjifanya mjinga. nikakata cm
Baada ya mda akanitumia text "Mchumba nipigie leo nataka kulala mapema" hapo ni kama saa tatu kasoro na yeye huwa analala saa 5. Nikampigia cm nikamuuliza kulikoni mbona leo mapema akasema wana kikao cha familia wanaongea leo so akitoka hapo atakua kachoka ataenda kulala nikamuambia sawa tukapiga story kidogo ila sauti yake ilikua chini kidogo sio kama mwanzoni.. nikamuambia basi po usiku mwema ila kinyonge saana...
Daah mapka sasa hivi kila nikipiga simu yake haipataikani kabisa sijui kama leo nitapata usingizi kwa kweli
Nawaza mambo mengi ila naomba Mungu yasiwe kama ninavyoyawaza .

Nifarijini WADAU

Sasa leo mchana Tumeongea
Duh ww jamaa endelea tu kupenda ila vitabu vya dini vinasema kila kitu ufanye kwa kiasi
Kamba ya katani ni bei rahisi bro
 
tatizo unapenda sana man, kakuaga analala, ata kama asingekua na kikao ndo kila siku alale saa 5.

Muache alale alafu tambua mademu so watu
 
Back
Top Bottom