Doris Gabriel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 1,045
- 869
Ntakupata tu dawa yako ndogo naenda kukaa karibu Na mto utakuja kunywa maji sina haraka naweweHaki ya nani leo utakula majani, hunipati ng'o
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntakupata tu dawa yako ndogo naenda kukaa karibu Na mto utakuja kunywa maji sina haraka naweweHaki ya nani leo utakula majani, hunipati ng'o
Nimeshaongea na Bwana Tembo atanibebea maji, leo sitoki.Ntakupata tu dawa yako ndogo naenda kukaa karibu Na mto utakuja kunywa maji sina haraka nawewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkopo nimeshamlipia
ila Jamani starehe ya mwingine kuliwa aliwe mwingine wewe uambulie kuokota manyoya sasa unamlipia umemla wewe
Nimeshaongea na Bwana Tembo atanibebea maji, leo sitoki.
tembo hapo Kazi itabidi nifanye mbinu nyingine
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ila Jamani starehe ya mwingine kuliwa aliwe mwingine wewe uambulie kuokota manyoya sasa unamlipia umemla wewe
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninampenz wangu tuna muda kama miez 6 hv..
Jana aliniita kwake kua anaumwa ajisikii poa nami nikaenda kwake kama kumuona kufika kumbe mtu mzima tu et nilitaka nijue kama unanipenda
Sababu mda ulikua umeenda nikaamua kulala kwake
Kilichoniuma tumelala asubuh kaamka kaenda kazini mi naamka hajaniachia hata nauli sijakaa kama dakika 20 hv akarudi alisahau kitu mi sikuambia kitu nikafikiria labda alisahau kama binadam au alikua ninayo,,,kumbe aliacha 500 mezan akairudia akaichukua
Nimeamka sina nauli kibaya nikwamba alivyonishtua anaumwa hata poch niliacha nyumban....
Wapendwa nimeumia sana maana nimehangaika nimemtumia msg my sina nauli...kakaa kimya hajajibu mpaka sasa hv nilichokifanya nikamwambia rafik yangu akanitumia...
Moyo umeniuma sana kwel kwa mtu unaempenda kwel unamfanyia hivyo.. Wht if nisingepata mtu wakumitumia
Yaani kusema hana pesa aone aibu ila ila dume zima kudanganya anaumwa hakuona aibu!! Hiyo ni dharau tu hakuna kingine.Nikweli kutokujibu nayo haileti picha nzuri ila labda hakuwa nayo akaona aibu kujibu akaona akae kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kasahau jero na yenyewe akaja kuichukuakuna watu wana roho ngumu duniani.Anyway siku nyingine mama pita uende na nauli kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app

Alikuwa anampima bebi kama anampenda nisawa nawewe umpime bebi una mimbaYaani kusema hana pesa aone aibu ila ila dume zima kudanganya anaumwa hakuona aibu!! Hiyo ni dharau tu hakuna kingine.
Huo upimaji wa kindezi siwezi kuufanya aisee!Alikuwa anampima bebi kama anampenda nisawa nawewe umpime bebi una mimba![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli bwana kumpima mtu mimba tumefanya wengiHuo upimaji wa kindezi siwezi kuufanya aisee!
Bora hata wewe umenielewa maana watu wanatukana tu...sikua katika mazingira ya nyumban nilikua napeleka hela ya upatu na nilikua na elf 5 tu tena ilikua kwenye nyonyo ....ukwel alivyoniambia anatapika sana hawez hata kuinuka nilichukua tu bajaji nakuenda hata akili haikuja kabisa ya kuchukua chochoteSidhani kama kasema yeye ni tegemezi, ameongelea mazingira yaliyopelekea hilo limkute, hapa huyu mwanaume sio wa kutetewa bwana. Kwanza kadanganya anaumwa kumbe walaa haumwi. Kaombwa nauli hajajibu kama atatoa au laa.
Hivi mtu wa hivyo siku nyingine akikwambia anaumwa si unampa pole tu na kuendelea na shughuli zako!!
The thing here ni kuwa binti alimjali, kakurupuka akawahi, ila kumbe anawahi uongo ila kwa upande wa mwanaume inaonekani ni mtu asiemjali mwenzake. Hofu sana mwanaume ambae hakujali kipindi cha uchumba, jiandae hivyo hivyo hata kwenhe ndoa.
Whaaat!! Hivi unapima ili?
Mimi nimekuelewa mama, kwa mazingira uliyoyaelezea kwakweli mimi sijaona utegemezi zaidi ya mtu anayemjali mpenzi wake. Sema mianaume yetu ya siku hizi mibinafsiii ndio maana wanakuona sijui namna gani vipi!!!Bora hata wewe umenielewa maana watu wanatukana tu...sikua katika mazingira ya nyumban nilikua napeleka hela ya upatu na nilikua na elf 5 tu tena ilikua kwenye nyonyo ....ukwel alivyoniambia anatapika sana hawez hata kuinuka nilichukua tu bajaji nakuenda hata akili haikuja kabisa ya kuchukua chochote
Imagine nimeeenda sina hata chup ya kubadil wala mafuta,,,kama nilikua naenda kulala si ningebeba hata kanga jmn any way ni ngum mtu kumueleza akaelewa