Roho imeniuma sana

Roho imeniuma sana

Na 500 kairudia alaa kweli chuma kimekaza
 
Shoga angu, kama kashindwa hata kukuachia ela ya chai huyo bwana mtihani

invest what you are willing to lose
 
Ninampenz wangu tuna muda kama miez 6 hv..
Jana aliniita kwake kua anaumwa ajisikii poa nami nikaenda kwake kama kumuona kufika kumbe mtu mzima tu et nilitaka nijue kama unanipenda
Sababu mda ulikua umeenda nikaamua kulala kwake
Kilichoniuma tumelala asubuh kaamka kaenda kazini mi naamka hajaniachia hata nauli sijakaa kama dakika 20 hv akarudi alisahau kitu mi sikuambia kitu nikafikiria labda alisahau kama binadam au alikua ninayo,,,kumbe aliacha 500 mezan akairudia akaichukua
Nimeamka sina nauli kibaya nikwamba alivyonishtua anaumwa hata poch niliacha nyumban....
Wapendwa nimeumia sana maana nimehangaika nimemtumia msg my sina nauli...kakaa kimya hajajibu mpaka sasa hv nilichokifanya nikamwambia rafik yangu akanitumia...
Moyo umeniuma sana kwel kwa mtu unaempenda kwel unamfanyia hivyo.. Wht if nisingepata mtu wakumitumia


Samahani ila inabidi nikuulize tu......hivi huyo mwanamme ni wa Dar?
 
Sidhani kama kasema yeye ni tegemezi, ameongelea mazingira yaliyopelekea hilo limkute, hapa huyu mwanaume sio wa kutetewa bwana. Kwanza kadanganya anaumwa kumbe walaa haumwi. Kaombwa nauli hajajibu kama atatoa au laa.
Hivi mtu wa hivyo siku nyingine akikwambia anaumwa si unampa pole tu na kuendelea na shughuli zako!!

The thing here ni kuwa binti alimjali, kakurupuka akawahi, ila kumbe anawahi uongo ila kwa upande wa mwanaume inaonekani ni mtu asiemjali mwenzake. Hofu sana mwanaume ambae hakujali kipindi cha uchumba, jiandae hivyo hivyo hata kwenhe ndoa.
Bora hata wewe umenielewa maana watu wanatukana tu...sikua katika mazingira ya nyumban nilikua napeleka hela ya upatu na nilikua na elf 5 tu tena ilikua kwenye nyonyo ....ukwel alivyoniambia anatapika sana hawez hata kuinuka nilichukua tu bajaji nakuenda hata akili haikuja kabisa ya kuchukua chochote
Imagine nimeeenda sina hata chup ya kubadil wala mafuta,,,kama nilikua naenda kulala si ningebeba hata kanga jmn any way ni ngum mtu kumueleza akaelewa
 
Bora hata wewe umenielewa maana watu wanatukana tu...sikua katika mazingira ya nyumban nilikua napeleka hela ya upatu na nilikua na elf 5 tu tena ilikua kwenye nyonyo ....ukwel alivyoniambia anatapika sana hawez hata kuinuka nilichukua tu bajaji nakuenda hata akili haikuja kabisa ya kuchukua chochote
Imagine nimeeenda sina hata chup ya kubadil wala mafuta,,,kama nilikua naenda kulala si ningebeba hata kanga jmn any way ni ngum mtu kumueleza akaelewa
Mimi nimekuelewa mama, kwa mazingira uliyoyaelezea kwakweli mimi sijaona utegemezi zaidi ya mtu anayemjali mpenzi wake. Sema mianaume yetu ya siku hizi mibinafsiii ndio maana wanakuona sijui namna gani vipi!!!
 
Back
Top Bottom