sasa unasubiri nini wewe
mama pita zako hivi, unakaaje na mwanaume wa aina hiyo wakati wanaume waelewa tupo? shida yenu mnatuogopa sie tulio oa lakini jueni kuwa sisi ndo tunajua kulea. sasa kama alishindwa kukuachia nauli je chai na chakula cha mchana aliacha? jamaa alivyo boya usikute kakutomba uskiku kucha kisha kaondoka asubuhi, dawa ya meno imekwisha na wala mswaki wa akiba hakuna, sabuni ya kuogea hakuna wala hajakuachia, maji ya kuoga hakuna unatakiwa ukanunue mtaa wa pili na wewe ndo huna hata sh tano. Alafu ulivyo jinga baada ya siku mbili utasahau kisha anakuita tena anakumbato unaondoka na mishahawa yako mpaka kwako kwa mguu. PAMBAF SANA.