Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,502
- 23,582
Habari Wana Jamvi,
Habari za hivi punde zinasema kwamba Rocket Ya Uchina (Space Rocket) iliopata hitilafu juu ya anga, nje ya anga ya dunia, inatarajiwa kuanguka katika dunia weekend hii.
Licha ya kutegemewa kuanguka kwa Rocket hio kubwa, haijulikani itaanguka wapi na muda gani katika dunia.
Taarifa kutoka katoka Jeshi la Anga la Marekani (US Air Millitary) ambalo linafuatilia kwa karibu takriban Rocket na Ndege za juu ya anga 27,000 (Human Made Rockets & Space Ships), zinazijumlisha ndege zilizo nje ya uongozi na kushindikana kuendeshwa na watengenezaji wake, zinasema Rocket Ya Uchina ambayo ina ukubwa wa Metre 150 na yenye uzito wa Tonne 20 (Tani 20) inatarajiwa kuanguka duniani muda wowote katika weekend hii.
Rocket hio inayoitwa Long March 5B, ambayo imeshindikana kuendeshwa (Out Of Control) na kitengo cha Anga cha Uchina inatarajiwa kuanguka na kuleta kishindo kikubwa sana, licha ya kutokujulikana itaanguka wapi na muda gani itakapo anguka.
Report zinasema Rocket hio ambayo ni kubwa sana inaanguka kwa kasi ya 18,000 Miles Per Hour (18,000 M/P) na kutarajiwa kuleta kishindo kikubwa itakapo angukia, licha ya sehemu na muda haujajulikana bado.
Tamko la Jeshi la Anga la Marekani na Pentagon wamesema;
"Kila mtu na kila taifa linaomba isianguke katika eneo lake, kwani italeta madhara makubwa sana. Siku inayotarajiwa kuingia duniani ni Tarehe 08 May."
Updated
Hatimae mabaki ya Rocket yameanguka katika bahari ya hindi, bila madhara yoyote.
Habari za hivi punde zinasema kwamba Rocket Ya Uchina (Space Rocket) iliopata hitilafu juu ya anga, nje ya anga ya dunia, inatarajiwa kuanguka katika dunia weekend hii.
Licha ya kutegemewa kuanguka kwa Rocket hio kubwa, haijulikani itaanguka wapi na muda gani katika dunia.
Taarifa kutoka katoka Jeshi la Anga la Marekani (US Air Millitary) ambalo linafuatilia kwa karibu takriban Rocket na Ndege za juu ya anga 27,000 (Human Made Rockets & Space Ships), zinazijumlisha ndege zilizo nje ya uongozi na kushindikana kuendeshwa na watengenezaji wake, zinasema Rocket Ya Uchina ambayo ina ukubwa wa Metre 150 na yenye uzito wa Tonne 20 (Tani 20) inatarajiwa kuanguka duniani muda wowote katika weekend hii.
Rocket hio inayoitwa Long March 5B, ambayo imeshindikana kuendeshwa (Out Of Control) na kitengo cha Anga cha Uchina inatarajiwa kuanguka na kuleta kishindo kikubwa sana, licha ya kutokujulikana itaanguka wapi na muda gani itakapo anguka.
Report zinasema Rocket hio ambayo ni kubwa sana inaanguka kwa kasi ya 18,000 Miles Per Hour (18,000 M/P) na kutarajiwa kuleta kishindo kikubwa itakapo angukia, licha ya sehemu na muda haujajulikana bado.
Tamko la Jeshi la Anga la Marekani na Pentagon wamesema;
"Kila mtu na kila taifa linaomba isianguke katika eneo lake, kwani italeta madhara makubwa sana. Siku inayotarajiwa kuingia duniani ni Tarehe 08 May."
Updated
Hatimae mabaki ya Rocket yameanguka katika bahari ya hindi, bila madhara yoyote.
Hatimaye mabaki ya roketi ya China yatua bahari ya hindi
Mabaki ya roketi ya China yametua kwenye bahari ya hindi magharibi mwa nchi ya Maldivies pasipo madhara yoyote kwa binadamu kama China yenyewe ilivyosema.Naona USA kabaki hoi.Chanzo cha habari kwa mashirika yote ya habari ni kutoka China kwenyewe. ===== Mabaki ya roketi ya China yalipuka na...
www.jamiiforums.com
- CNN, US AIR MILLITARY.
- Bussiness Insider.
A huge rocket from China's space-station launch could fall back to Earth totally uncontrolled
China plans 10 more launches to build its space station by the end of 2022. It's not clear whether there's any plan to safely discard the rockets.
www.businessinsider.com