Waziri wa michezo na madawati wapi na wapi mbona akili yako fupi sana? Halaf hy michezo mbona inaleta mapato makubwa ya kuwezesha kutengenezesha hayo madawati? Unashindwa hata kufikiri kwa mbali yaan?Hawa ndio viongozi wetu na akili zao ndio zilipoishia,badala wapambanie sukari na madawati wamekuja kwenye michezo kupiga mikwara.
Ajabu sanaKinyume na sheria gani ya nchi? Imagine huyu ni wanasheria
that is the best he can do? Tuna tatizo kubwa kama nchiHii ndo kauli rasmi ya serikali yetu tukufu kuelekea Mechi za robo fainali CAFCL ili kuzivusha Simba na Yanga zitakapokutana na Ahly na Mamelody uwanja wa Mkapa March 29&30, 2024. Hongera serikali Kwa tamko hili lenye suluhu na uzalendo. View attachment 2934224
Mi binafsi n shabiki mkubwa wa Mamelodi sundown iweje unikataze kuvaa Jezi???? Huu n Uk*ma wa Hali ya juuIngekuwa timu ya taifa, angalau kidogo, ila kwa klabu sio sawa, unaweza kua mchina, na ukawa shabiki wa TP mazembe, sijui sheria inasemaje lakini.