Roads in Dubai

Bavaria

JF-Expert Member
Jun 14, 2011
53,092
53,495
image.jpg
 
Ngoja na sisi tujaribu na huyu bwana barabara wetu, labda tunaweza fika hata robo ya huko. Inshallah
 
Musijali sana kule Bukoba kutakuwa zaidi hapo,sasa hivi wapo kwenye kuchangishana kwanza.
 
MAGU anayo kazi. Naona NYANZA ROAD wake wana mwaga KOKOTO/ZEGE barabarani kutuhadaa kuwa ni rami!! Tujiandae na tairi mpya baada ya miezi 6!!
 
Back
Top Bottom