Riziwani Kikwete pole sana

-Huyu dogo balaa, malori yake ya mizigo yanasimamiwa na DAVID MOSHA. Tunayajua yote. Freighliner 100 alizonunua marekani.

-Siku ya kihama mimi nitaenda kuchukua ile V8 anayotembelea. Tint
 
Nyie si misukule mtalalamika nini na mmeshakuwa brain washed.

Mwezi mtukufu huu, jizuie kuingia JF ili funga yako iishe salaMa,

Mbona unaita wanadamu misukule tena ?!
 
Hapo ndio anapotutatiza mkuu Pasco maana haeleweki yuko kundi gani !

Nadhani yuko kwenye kuwakilisha mawazo yake binafsi akisifia wote panapohitaji sifa na kukosoa panapohitaji kukosolewa
 

Aisee leo ndo nimeprove kua Tanzania itaendelea kua Maskini kwa miaka 50 mingine

What is Development.?

Is the movement from one stage to another socially,economically,Politically nk

Hakutakua na maendeleo Nchini.... for 50years

CCM ilijisifia kua ni maendeleo ya Democracia kukubaliana na swaga la Vyama vingi leo hii una predict kua kuna miaka 50 mbele... hahahahahaha

From 1992 to 2012 ni miaka 20 ambayo CCM imeanza kupata sekeseke mie nawapa Decade moja tu CCM itaomba kubadili jina kwa Msajili wa Vyama mkuu.


Mkuu nilikua nakuheshimu sana ila Heshima yangu Imedrop Drastikali kwa kuwa na mawazo DHAIFU kiasi hicho.
 
Hivi wandugu hawa maraisi wengine waliopita hawakuwa/hawana watoto!!!!!!!??????????? Manake huyu riz1 too much now.... waswahili............mh!!
 

Hivi Una uhakika gani hiyo 2015 CCM hatagombea mkristo na Chadema kugombea muislam?

I'm just Curious!
 

comment yako ni nzuri na umetoa busara nzuri
 
Hapo ndio anapotutatiza mkuu Pasco maana haeleweki yuko kundi gani !
Mani, hivi kila mtu ni lazima awe na kundi?. Mara ngapi nimesema humu jf kuwa sina chama!. Mimi nasimama kwenye ukweli!. Sio mshabiki wala mfuasi wa chama chochote ila ni mfuasi wa demokrasia ya kweli na ya haki!.
 
Mani, hivi kila mtu ni lazima awe na kundi?. Mara ngapi nimesema humu jf kuwa sina chama!. Mimi nasimama kwenye ukweli!. Sio mshabiki wala mfuasi wa chama chochote ila ni mfuasi wa demokrasia ya kweli na ya haki!.

mkuu umeshuka kwenye ile ndege nyeupe? teh teh teh!
haya bana, ila kauli zako zina utata sana aisee. au ndo kujihami kwenyewe huko na utawala mpya?
 

Acha kua bias wewe uliyesoma ELIMU YA NGUMBARU,mbona hujazungumzia libya,egypt,syria,somalia na kwingineko kwingi mlioko waislamu watupu.
 
Riziwani mambo ya wakubwa hayo yatakusumbua kiongozi anatoka popote sio kusini au kaskazini au magharibi au mashariki wewe vipi?
 
Hivi Una uhakika gani hiyo 2015 CCM hatagombea mkristo na Chadema kugombea muislam?

I'm just Curious!
Nafikiri ujanielewa mimi sihitaji asimamishwe muislam Ndio nimpigie kura ninachozungumzia mimi mlengo wa pro CDM hapa JF wanavyowaona WAislam Kama useless flani ivi ...Kiasi hata CDM wasimamishe muislam hawataaminika
 
Sichagui mtukulingana nadini yake ingekua ivyo bs WAislam wote wangekua wanakipigia cuf maana kiliitwa chama cha kislam.lakini kwa CDM wafuasi wake Ndio wanawakimbiza WAislam kwakuwakashifu hapa JF Kama watu wasokua na maana katika jamii yawatanzania

Mkuu mmechonganishwa na wanaowatetea mafisadi humu wenye kujiita waislam,kwanza what's the difference btn cuf and ccm?Hata humu ndani ni ngumu kuwatofautisha,however kama ulivyosema hapo awali,kuwa hukuwa na shida miaka miwili iliyopita huko chuoni,hadi ulipoingia hapa jf na kukutana na wachangiaji wenye maneno ya kashfa kuhusu dini yako,basi pia ujuwe umeangalia upande mmoja na hujajuwa kuwa haya yote yameanza lini,sasa humu watu wanaitana nguruwe nk.

Fuatilia historia humu,kuna watu walijiunga lakini madhumuni yao naona yatakuwa yamefanikiwa kwa watu kama wewe kama ni kweli they've changed your heart,mara nyingi nilijiweka pembeni kwenye mijadala kama hiyo,however ikafikia pahala ikawa ngumu kupinga jambo la kiongozi mwenye dini flani,ule umoja uliokuwemo humu dhidi ya mafisadi mbele ya macho ya wengi wetu umeyeyuka kama barafu jangwani.Na sasa angalia hata hii thread,wenye kumtetea mtoto wa rais ni watu wa aina gani?na hoja tayari hapa zimebadilika na kuwa udini,ofcourse na ukanda,mambo ambayo yamekuwa yakishabikiwa na hao wenye kuwatetea mafisadi kwa misingi ya dini,naona wanafanikiwa,however kumbuka nchi inatafunwa.
 

Iwe ni kwaajili ya kupata kura au katika maisha ya kawaida, ubaguzi wowote ule, hasa wa kidini ni fikra batili kabisa ambazo ziwezi kuzipatia neno linalofaa. Kama mtu anaungwa mkono au kutoungwa mkono, yote hayo ni vema yasifanywe katika misingi ya kidini.

Jambo jingine la tahadhari ni kuwa inabidi tuwe werevu. Maana isije ikawa vile vile ni mbinu ya watu fulani hapa JF, kuwasema vibaya waislam kwa lengo la kuitenga CHADEMA na waislam. Maana kauli nyingine zinazotelewa hapa JF, ni vigumu sana kufikiria kuwa zinatolewa na wafuasi wa CHADEMA wenye nia ya kupata kura ya kila Mtanzania.

Mimi nadhani, kati ya watu ambao walistahili kupigwa ban, tena ban ya muda mrefu ni wale wote wenye lugha za kudharau imani za watu wengine tofauti na za kwao. Ni jambo muhimu sana kwetu, kwa namna yoyote ile ya utofauti wa fikra za kisiasa, tofauti hizo zisitupeleke kwenye migawanyiko inayopalilia udini. Kila mara najiuliza, mkristo anayefuata imani yake inamhusu na kumdhuru vipi muislam? Au Muislam anayefuata mafundisho ya dini yake bila ya kumgusa mkristo au mpagani, inamdhuru nini mkristo? Shida inakuja pale watu wanapofikiria kuwa ni halali watu wote wafuate kile unachoamini wewe.
 
Nafikiri ujanielewa mimi sihitaji asimamishwe muislam Ndio nimpigie kura ninachozungumzia mimi mlengo wa pro CDM hapa JF wanavyowaona WAislam Kama useless flani ivi ...Kiasi hata CDM wasimamishe muislam hawataaminika

Usikubali mtu mpumbavu, anayeendekeza udini akubadilishi fikra kiasi kwamba na wewe ukaingia kwenye udini. Mwanamapinduzi wa kweli hupigana dhidi ya uovu bila kusalimu amri kirahisi hivyo.

Kama unaamini CHADEMA lilikuwa chaguo lako, na baadhi ya watu wakafanya jitihada ya kukuondoka katika chaguo lako, usinyong'onyee badala yake sasa ongeza nguvu ili ukuwaondoe wadini wote ndani ya CHADEMA.

Tusiwafanye waovu kuwa washindi, na sisi wenye hekima tukasalimu amri kwa wendawazimu wa kupalilia dini.
 

wewe sio muwakilishi wa waisilamu wote bwana..na usitumie nafsi yako kuwakilisha mawazo ya waislam...waislam sasa hivi wengi wanaanza pata uelewa...usipotoshe uma pliz,Stay put
 
Watu mnapenda kuendekeza udini!! Looh!! Mada yamhusu Riz1, lakini tayari mmeifanya kuwa issue ya ile dini ya haki na ya wengi! Haifai hiyo, acheni kuchanganya mambo!



 
wewe sio muwakilishi wa waisilamu wote bwana..na usitumie nafsi yako kuwakilisha mawazo ya waislam...waislam sasa hivi wengi wanaanza pata uelewa...usipotoshe uma pliz,Stay put

We unachekesha kweli alokwambia WAislam hawakua na uwelewa hapo kitambo nani!mimi sio muwakilishi wa WAislam lakini WAislam wote wenyeakili timamu wanaumizwa na pro CDM walioko humu kwa kuwakashifu na imani Yao kwaiyo wakitoka humu wanawaambia nawengine Kama Huna habari Ndio iyo nakwambia .waambie na pro CDM wezio waache kuwakashifu muslim wanapeana habari wakitoka humu JF hata wasoingia wanajua yanayoendelea hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…