Riz Khan - War and Peace

Kuna mambo mazuri ya kujifunza kutoka wa wasemaji wote waliohojiwa. But kwa watu wanapenda kusoma biblia na quran bila "context" ni kazi na ndo maana tuna matatizo mengi mbili za imani zote.
Tunakuja na tafsiri amabzo si sahihi.

Context context context.

  • Kiliandikwa lini?
  • Katika mazigira yapi?
  • kwa sasa kitafsiiriweje ?
  • etc
haya ni maswali muhimu . Tukiwa tunameza tu hizi wakoritho na wakolosai zetu kazi tunayo ukoloni wa hizi dini tulioachiwa utazidi kuturidisha nyuma.
 
Kuna mambo mazuri ya kujifunza kutoka wa wasemaji wote waliohojiwa. But kwa watu wanapenda kusoma biblia na quran bila "context" ni kazi na ndo maana tuna matatizo mengi mbili za imani zote.
Tunakuja na tafsiri amabzo si sahihi.

Context context context.


  • Kiliandikwa lini?
  • Katika mazigira yapi?
  • kwa sasa kitafwiriwe je ?
  • etc

haya ni maswali muhimu . Tukiwa tunameza tu hizi wakoritho na wakolosai zetu kazi tunayo ukoloni wa hizi dini tulioachiwa utazidi kuturidisha nyuma.

Tupe mfano wa kilichokuwa "quoted out of context" na kikatowa maana isiyo halisi na utupe "context" iliyo sahihi.

Kama mtazamo wako kuwa hizi dini ni "ukoloni", jee umeisoma Qur'an? Kama ndio, tuonyeshe ni wapi ulipopaona pana ukoloni kwenye Qur'an, kama hujaisoma, naomba uisome halafu utuonyeshe "context" yenye "ukoloni" kwenye Qur'an. Ukishindwa ina maana umedanganya. Chunga, usi "quote out of context".
 
Hizi dini wameiba tu idea za kiafrika za miungu wengi (especially the ancient egytian heavenly gods) wa zama hizo na kujitungia zakwao kwa namna yao. Angalia wachambuzi wakielezea mambo ya longo longo za dini zenu kuu zote mbili, amna lolote kwa kuwa dini zenu zina hadithi nyingi tu za zamani ambazo zinafanana fanana ni uongo mtupu.

Note: it is a documentary based on western religion and it was meant for the english audience sasa usini-lipukie mimi any complaints send them to bbc or the responsible Dr, for doing the research.

http://www.bbc.co.uk/iplayer/episode/b00zp3j3/Bibles_Buried_Secrets_Did_King_Davids_Empire_Exist/

BBC iPlayer - Bible's Buried Secrets: Did God Have a Wife?
 
Majimshindo said:
Tupe mfano wa kilichokuwa "quoted out of context" na kikatowa maana isiyo halisi na utupe "context" iliyo sahihi.


Hahaha mkuu sikiliza vizuri basi hiyo video .nilichosema ni sisi , mimi na wewe na wengine wengi tunasoma hizi biblia na quran bila kujua context. Tunasoma kama novel. Kuna msemaji kasema neno context na nimemulewa na nakubaliana na maelezo yake. I was just insisnting kussport hoja yake. Naona wewe mawazo yako unadhani nakosoa. No mimi nakosoa sisi wengi wetu tunadhani tunajua sana mandiko haya lakini sio kweli. unabisha hilo........?

Kama mtazamo wako kuwa hizi dini ni "ukoloni", jee umeisoma Qur'an? Kama ndio, tuonyeshe ni wapi ulipopaona pana ukoloni kwenye Qur'an, kama hujaisoma, naomba uisome halafu utuonyeshe "context" yenye "ukoloni" kwenye Qur'an. Ukishindwa ina maana umedanganya. Chunga, usi "quote out of context".
Wewe huwezi kufanya mdahalao endelevu sababu uko hardline sana na imani yako . Historia tu inaoesha hizi dini zote mbili zime originate kutoka wapi . Huna haja ya kusoma quran wala biblia kujua jibu.

Au unadhani nikisema "Ukoloni"" namaanisha ule wa west. Jaribu kangalia wider context ya neno ukoloni ndo utaelewa . teh teh teh teh

Yes christian and msulim ni zao la ukoloni utakataa?
 
Back
Top Bottom