mbona mtoto wa gadafi amefadhili sana timu za mipira alipoona babake ananyinga watu uliona kaenda kuwapa pole???
wale wamam waliomwagiwa majiya moto na yule mshenzi mtoto wa kikewa gadafi alienda utoa pole
basi ujue kazi ipo eleweni tofauti ya dili na diliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kijana anacheza na opportunity sehemu zingine tunaenda sie wana Tamwa