ndandawamalenja
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 472
- 347
Jamani naomba mtu anayemkumbuka mwandishi wa riwaya ya kitambo kidogo inaitwa USHINDI WA MAHABA. Actually, niliisoma nikiwa darasa la kwanza nikaisoma tena form two na sasa natamani kuisoma tena nimetafuta hicho kitabu sikipati. Nataka nimtafute mwandishi aniazime copy yake. Kwa mtazamo wangu hapajapata tokea stori nzuri kama ile!!! Please help!!!