Riwaya: Sala ya Sarah

Haya Mambo ya kuwekeana vipande vipande yamenichosha, Sasa ivi nishajua na mute Kama wiki 2 ndio nakuja Soma ikiwa imekamilika mnanipandisha vibes af nianze subir kesho Tena mambo ya watchout part two, bongo movie...........

Kazi nzuri ila huu usambazaji umenichosha nimeacha riwaya nyingi sana kwa huu utaratibu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sophoghani nliwahi kukwambia kua mimi sio mtunzi wa hizi riwaya, kuna sehemu nazitoa pia, na najitahidi kuziweka hapa jf ili ziwafkie wengi zaidi. Ukiona imekuchosha acha tuu kuifuatilia, sikumbuki kama nlishawahi kukulazimisha kuifuatilia. Kama unataka kusoma kwa mkupuo mwanzo mpaka mwisho nakushauri utafute vitabu. Tuliozea tutasonga nayo mpaka mwisho

the Legend☆
 
Tunapaje hivyo vitabu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nampenda Dr pendo mm
 
Watu kama hao usisumbuke kuwajibu
 
Mwambie aache ushanba kwanza kitu chenyewe tunapewa kwa hisani halafu unaleta ujuaji akwende zake huko
 
Ukuje wewe ushushe hizo bampa to bampa
 
Muelekeze chimbo akanunue Kama ataweza kulipia?
Watu wanapenda kitoga Bila ya kujali muda wa wenzao, anachotaka yeye utiririke tu mwanzo mwisho utafikiri huna majukumu mengine ya kufanya
Mkuu watu wa aina hiyo ni kuwasamehe na kuwapotezea tuu

the Legend☆
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…