kuku mweus
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 765
- 604
Tuleteee basis kama unayo Kenny asijeakaozea jela
Mitaa gani tukifate au lete namba hapa tununue.Kitabu kipo mitaani

















@ baharia wa buza unakwama wapi ??? Ulitakiwa tangu mwanzo wakati unaanza kuandika hadithi unapromote kitabu pia...na umekaa kimya siku zote hizo wala hujasema kama unakitabu...leo ndio unatangaza halafu ni short mno hakun maalezo ya kutosha wapi kinapatikana hicho kitabu na walau contact za kwako au mmoja wa mawakala wako mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
0719401968Mitaa gani tukifate au lete namba hapa tununue.
Vipi mbona hujui kucheza na wateja?????
Alaaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mkuu ulitaka kusoma bure?
Nawapostia hadi sehemu ya 48 then kifuatacho mtajua wenyewe
Msimtukane wadau.
Hakuna kosa kubwa na la kiufundi Kama kumtukana au kugombana na mtu usiyemjua.
Sent using Jamii Forums mobile app