Riwaya: Penzi tamu la muuza maziwa

Riwaya: Penzi tamu la muuza maziwa

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,292
Reaction score
6,693
MUUZA MAZIWA

Sehemu ya kwanza

Mvua kubwa ilinyesha usiku uliopita, asubuhi ya siku hiyo yalibaki manyunyu tu na hali ya hewa ya kibaridi cha kupuliza, hali iliyowafanya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wabaki waking’ang’ania mashuka na kutamani siku hiyo iwe sikukuu ili shughuli za kimaendeleo zisifanyike na badala yake waendelee kuufaidi usingizi kama ilivyo kwa miisho ya wiki.

Na wale waliolala na wenzi wao hali kwao ilikuwa mbaya zaidi walitamani waendelee kubaki kitandani ili waendelee kugalagala na kutomasana na wapenzi wao katika vitanda vyao.“Kidogo tu mume wangu jamani”No dear , nimechelewa sana , leo angalia saa mbili na robo!”Yalisikika mabishano hayo katika nyumba mojaya kifahari maeneo ya Kimara Stop over.“jamani mpenzi wangu si kidogo tu, mwezio nateseka.”Aliongea kwa sauti nyororo iliyolegea,msichana huyo mrembo aliyekuwa amevalia khanga moja iliyositiri maungo yake.

Alimwangalia mwanaume wake kwa macho malegevu yaliyolainika mithili ya mla kungu.Kisha taratibu akaupeleka mkono wake kifuani na kuitegua khanga aliyokuwa ameivaa. Khanga hiyo ilidondoka taratibu na kumuacha mwanamke huyo akiwa mtupu.Mapaja yake laini yaliyojaajaa yalonekana sawia huku kiuno chake cha nyigu kilichojaa shanga tupu kikizunguka taratibu na kuzifanya shanga zitikisika mithili ya wimbi la bahari mwanana pale upepo uvumapo.Macho yalimtoka Jerry na mate yalimdondoka kwa hamu ya mahaba, japo alikuwa ni mkewe aliyemuona kila siku lakini siku hiyo alionekana mpya kwake, pozi alilokuwa amesimama liliyafanya maungo yake yaonekane yana mvuto kwelikweli, makalio yake yalitikisika taratibu alipokuwa akijizungusha, wacha kifua chake ambacho alikibenua kama vile amepigwa ngumi ya mgongo.

Jerry hakuwa na chochote cha kufikiria kwa wakati huo ziaidi ya kuyatafuna makalio ya mrembo huyo.Mikono yake ilichezacheza ikitamani kuigusa ngozi laini mithili ya sufi ya mwanamke huyo iliyokuwa na rangi ya maji ya kunde.“jamani Honey njoo basi!”Lisa aliongea kwa sauti hiyo ya kimahaba na kumfanya Jerry azidi kupagawa kimahaba,Achana na mashine yake ambayo ilikuwa imesimama wima kiasi cha kuongeza sentimita kadhaa za urefu wa suruali yake.“Oh, Dear haraka basi!”Lisa alitoa sauti hiyo mara baada ya mumewe kushika kiuno chake na kuanza kuzichezea shanga.“uh!”Lisa alishtuka mara baada ya jerry kumvutia kwake na wakawa zero distance, mapaja ya Lisa yalikuwa yakiigusagusa mashine ya Jerry, japo ilikuwa ndani ya suruali lakini Lisa alihisi ilivyokuwa ikihema na kufurukuta ili itoke nje ya kufuli.“Ah, honey!”Lisa alilalama mara baada ya Jerry kuyashika makalio yake na kuanza kuyatomasa taratibu,midomo yao ilikuwa imeshaanza kunyonyana,macho yao yalifumba huku kila mtu akiyatomasa maungo ya mwenzake kwa ujuzi wake.

“ Oh no, nazidi kuchelewa , tutakutana baadae honey!”Aliongea Jerry ghafla na kujichoropoa toka mwilini mwa Lisa, mara baada ya kuangalia saa iliokuwa kwenye dressing table.“no, no, no ,no ,honey please you can’t do that to me please”( Hapana , hapana, hapana, mpenzi huwezikunifanyi hivyo mimi tafadhari )aliongea Lisa kwa sauti ya kubembeleza,alikuwa tayari hata kumsujudia mumewe kwa wakati huo, lakini sio kumruhusu aondoke na kumuacha katika hali kama hiyo.Lakini Jerry hakuwa mtu wa aina hiyo, ambaye anaweza kuhairisha kwenda kazini eti sababu ya mapenzi peke yake, huyu jamaa alikuwa ni mchapakazi haswa na mkewe alijua hilo, lakini ahsubuhi hii alikuwa anajaribu bahati yake.Labda leo angempa kipaumbele yeye badala ya kazi hata kwa mara moja.“jamani , honey kidogo tu”Alizidi kubembeleza Lisa , lakini kama kawaida ya Jerry hakujali.

Alitembea haraka mpaka ulipo mlango wa kutokea nje ya chumba hicho.Alipofika mlangoni alisimama na kisha kubusu kiganja cha mkono wake.“mwaa”Alafu akampulizia mkewe.“Good bye honey.” ( kwa heri mpenzi )Kisha akatoka nje.“Honey!!”lisa alilalamika huku akihema, mapigo ya moyo yalikuwa yakimwenda kwa kasi, bado alikuwa na joto la mapenzi. Hakuamini kama kweli mumewe anamuacha katika hali kama ile.Alisikia sauti ya mlango ukifungwa na baadae muungurumo wa gari , jambo liloashiria kwamba kweli mumewe ameondoka.

Itaendelea.....
 
Lisa punguani wAhedi,endelea bac mkuu cio kutulambisha km lara 1!!!!!
 
MUUZA MAZIWA 2


Lisa alijitupa kitandani huku akilia.
Aliukumbatia mto huku bado akiwa uchi wa
mnyama.
Makalio yake yalibenuka kiasi kwamba unaweza
kukiona kitumbua chake kutokea mbali, kikiwa
kimejijenga umbo zuri kama lile la Apple.
Kama ukishuudia mwenyewe jinsi kitumbua
hicho kilivyonona huwezi kuamini kwamba
kuna mwanaume aliye katika dunia hii ambaye
anaweza kukurupuka na kuuacha utamu wote
huo bila hata ya kuonja na kukimbilia
kuushurutisha mwili wake.
Tako lote lile , chuchu zilizosimama na midomo
laini yenye umbo la kumvuta mwanaume yoyote
yule kuinyonya pamoja na umahiri wa lisa
katika kuzungusha nyonga, lakini huyu
mwanaume ameamua kuchagua kuyaacha
machozi yabubujike katika mashavu ya
mwanamke huyo kwa kukataa kufanya nae
mapenzi.
“ kwa nini umeamua kunifanyia hivi jerry?”
Lisa aliwaza huku bado akiwa amejikunyata
pale kitandani.
“Yani ameshindwa hata kudanganya kwamba
anaumwa?”
Alizidi kuwaza huku akijigaragaza kitandani.
Makalio yake alikuwa akiyapeleka juu na chini
kama vilea anengua.
“ yani kweli umeamua kuniacha na baridi lote
hii”
aizidi kuwaza, alijiona kama mfungwa, kubaki
peke yake kwenye nyumba yote hiyo tena
ukizingatia hali ya utulivu iliyotana katika mtaa
huo.
“MAZIWA! MAZIWA!”
Ilisikika sauti hiyo iiyounja ukimya wote
uliouwa umetanda katika mtaa huo.
“fyonz”
Lisa alisonya, hakuaka kubugudhiwa na yoyote
ahsubuhi hiyo, yale aliyofanyiwa na mumewe
yalimtosha.
“MAZIWA!MAZIWA!”
Ilisikika tena suti hiyo iliyozidi kumfanya
akereke .
“sijui nani akamnyamazishe huyu mwenda
wazimu”
Aliwaza, alijua fika kwamba muuza maziwa
hato acha kupiga kelele zake mpaka atakapo
muona mtu ametoka na kumpa chombo cha
kukingia maziwa.
“nazi chukia bili , sijui kwa nini ningekuwa
nachukua mara moja moja.”
Aliwaza, lakini ni lazima ainuke la sivyo kero hii
itadumu masikioni mwake.
Akawaza anainuka na kuichukua khanga yake
pale chini ilipokuwa imeanguka na kutoka nje
akiwa na hasira. Ile anafungua mlango tu muuza
maziwa nae akaanza kuita.
“MAZI….”
Lisa alimkatiza kwa kumzabua kibao.
“Mshenzi kweli, wewe huwezi kuleta maziwa
kimya kimya mpaka utupigie kelele!?”
Alifoka lisa, Muuza maziwa alikuwa
ameinamisha kichwa chake chini akisikilizia
maumivu ya kibao alichopigwa. Alipoinua
kichwa chake aligongana na macho ya Lisa
ambaye alikuwa akimwangalia kwa dharau
huku akiibenua benua midomo yake.
“sikiliza wewe, yani ukisikia maziwa basi
unafikiria maziwa peke yake , naweza kukupa
mambo mpaka ukadata umeshawahi kshikwa
chuchu na mkamua maziwa ?“
Aliongea Muuza maziwa huku akimkazia macho
Lisa.
Kauli hiyo ilimfanya Lisa anyong’onyee, mikunjo
yote aliyokuwa ameiweka kwenye sura yake
ilipotea.
“samahani”
Aliongea kwa upole. Si kwamba alijiona mkosaji
kwa kile alichokifanya ila toka muuza mziwa
alipotoa kauli yake ya kukamua maziwa, kila
kitu kilibadirika kwake ghafla alianza kuona
hamu ya kafanya mapenzi ikimrudia tena huku
mapigo yake ya moyo yakianza tena kudunda
kwa kasi.
Kitu pekee alichokitaka kwa wakati huo ni
kufanya mapenzi, haikujalisha na nani, iwe
mumewe au mwanaume yoyote Yule. Nguvu
zilianza kumwishia miguuni, akaanza
kuichezesha chezesha kama mtu aliyebanwa na
haja ndogo.
“vipi, tena , unataka mambo nini mtoto?”
Muuza maziwa aliongea kauli hiyo baada ya
kumuona jinsi anavyohangaika.
Lisa hakujibu kitu badala yake alimvuta muuza
maziwa na kuanza kuibusu midomo yake.
Muuza maziwa naye akutaka kuonekana wa
kuja hapo hapo nae akairuhusu mikono yake
ianze kufanya ziara kwenye maungo ya Lisa,
kitendo kilichomfanyaLisa azidi kuchachawa
kimahaba.
“Twende ndani basi”
Lisa aliongea kwa sauti nyororo yenye kutetema
kimahaba, muuza maziwa hakukawia kufuata
maelekezo akayaaacha maziwa yake pale nje na
kumbeba Lisa juu juu

Itaendelea...
 
Yaan maziwa dah.... ninge kuwa mm ndo nauza siku iyo ninge mpa mikito ya kuzimu mpaka amsahau Jerry mkimbia papuchi
 
Back
Top Bottom