Mi huu uchafu wa JK huwa siusomi, kimbelembele chake ndo kimemtuma kuandika riwaya haf anasema haimalizi, kama haukuwa na mpango huo ni vyema ungeweka tangazo la hiyo biashara yako, isitoshe hata kutunga bado haujaweza. Wadau kwa wale wapenzi wa hizi kitu aje facebook kwenye KONA YA RIWAYA RELODED kuna riwaya nyingi sana za watunzi wenye akili kama akina bawji, tuwa, misenyi, beka mfaume na wengine wengiDaah..kaka naomba nisisitize kuwa there is no free lunch.. Story naziuza hizi..siwezi kuzimalizia hapa Jf..
Acha tu niendelee halafu nitatoa utaratibu wa namna ya kupata mwendelezo wake na malipo yatakuaje..
MB 8 sio tatizo langu mkuu, sidhani kama linanihusu..
Asante.
Mi huu uchafu wa JK huwa siusomi, kimbelembele chake ndo kimemtuma kuandika riwaya haf anasema haimalizi, kama haukuwa na mpango huo ni vyema ungeweka tangazo la hiyo biashara yako, isitoshe hata kutunga bado haujaweza. Wadau kwa wale wapenzi wa hizi kitu aje facebook kwenye KONA YA RIWAYA RELODED kuna riwaya nyingi sana za watunzi wenye akili kama akina bawji, tuwa, misenyi, beka mfaume na wengine wengi
Mi huu uchafu wa JK huwa siusomi,
Mi huu uchafu wa JK huwa siusomi, kimbelembele chake ndo kimemtuma kuandika riwaya haf anasema haimalizi, kama haukuwa na mpango huo ni vyema ungeweka tangazo la hiyo biashara yako, isitoshe hata kutunga bado haujaweza. Wadau kwa wale wapenzi wa hizi kitu aje facebook kwenye KONA YA RIWAYA RELODED kuna riwaya nyingi sana za watunzi wenye akili kama akina bawji, tuwa, misenyi, beka mfaume na wengine wengi