RIWAYA: Nilambe hapa

RIWAYA: Nilambe hapa

Nilambe Apa~11

Ilipoishia,,,,

Rita aliendelea kujiuma uma pale mpaka
nikashindwa kuelewa anataka kuniambia kitu gani
mda huo Anita yeye amenikazia tu macho haongei
chochote...
Endelea,,,

"Rita nini unataka mbona mnanichanganya unataka
kuniambia nini?"
"ni..ni.. A...nita"
"amefanyaje?"

Kabla hajajibu Anita alinisogelea uku ananyonya
kidole chake kimtego,mpaka apo nikahisi hawa
mabinti wanataka niwagonge wote wawili ila
nikatulia nione itakuwaje.niliwaza

Rita amenichoka
ndio maana anaruhusu nimgonge dada yake mbele
yake.Kwa kuwa Sikuwa na uhakika kama ndio
lengo lao ,nilitulia nione itakavyokuwa.

Anita
aliponifikia tuliangaliana usoni kwa mda,Wakati
tunaangaliana na Anita, Rita ambae mda wote
alikuwa anatuangalia.alinifuata na akanikumbatia
lips zetu zikakutanatu kaanza kubadilishana mate
uku anaidondosha ile kanga yake. Mimi mara
nyingi kwenye hii hatua ya denda huwa nafumba
macho,Sasa wakati nimefumba macho
nabadilishana mate na Rita,suruali yangu
ilishushwa nikahisi pipi rungu yangu inanyonywa
kwa ustadi wa hali ya juu nikawa nahis raha mara
mbili,mate ya Rita na pipi Rungu yangu
kumumunywa,Sasa nilipokuja kufumbua macho
sikuamini kumbe ni Anita ndio ananyonya mpipii
wangu,

Nilitamani nimwambie aache ila
nikashindwa kwa sababu ya Raha nilizokuwa
nazipata.

Niliwaza nikaona nisiongee ngoja kwanza
nimalize mechi.Rita alishuka mpaka kwenye kifua
changu akawa ananyonya vichuchu vyangu nilihisi
kulegea nikawa nimeshika kichwa utadhani
nimepata taarifa za msiba kumbe ni raha yani Rita
na Anita walikuwa wananishambulia kama
nyuki.

Taratibu Rita alipanda kwenye juu ya meza
akakaa kwa staili ambayo niliweza kuona tamuu
yake vizuri, taratibu Nilianza kuchezea tamuu yake
kwa kidole changu uku lips zetu zimekutana
tena.

Anita alipoacha ku-"lolipop" pipi rungu yangu
alianza kuvua nguo zake,mda anavua nguo zake
mimi nikamuweka Rita sawa pale mezani Nikaanza
kumpa mambo zilizosikika ni kelele tu za raha
kutoka kwa Rita na kila nilipohisi nataka kufika
mwisho nilikuwa nachomoa kwanza naacha
sekunde kadhaa alafu nachomeka tena mechi
inaanza upya.

Wakati naendelea kumpa mambo Rita
Anita alikuja akashika mkono wangu akauelekeza
kwenye naniliu yake nikaanza kuichezea kinanii
chake taratibu uku namgonga Rita,Baada ya muda
Rita alishuka Anita nae akapanda kwenye ile meza
akakaa kama alivyokuwa amekaa Rita mimi
nikaiseti mashine yangu kwenye

Naniliu yake
nikaanza kuingiza Taratibu ambapo iliingia kwa
shida kidogo tofauti na kwa Rita hivyo nikaanza
taratibu ila kasi ikaongezeka kutokana na mchezo
ulivyokuwa.

Niliwagonga wote kwa Zamu yani
nilijiona kama supastaa wa video za pono,
Baada ya mechi kuisha mimi nilikuwa hoi mwili
mzima sana sana sehemu za magoti hazikuwa na
nguvu kabisa.Tulipumzika kidogo mimi nikaaga na
kuelekea nyumbani ata sikuingia bafuni kuoga
ingawa walinilazimisha sana.Kwa kweli wale
mabinti waliniudhi siku hiyo kwa kitendo cha
kunitega nikawagonga wote wawili kilinikera
ingawa nimepata raha kweli ila nilihisi wameniona
mimi "sex machine"

* * *

Nilirudi nyumbani nikiwa nimechoka sana ila
mawazo ya Mwalimu Wiliam yakaanza kunitawala
upya.Wazo moja tu lililokuwa kichwani kwangu ni
kwamba nitoroke pale nyumbani na shule niache
kabisa.

Swala la kwamba nitaenda wapi na nitafikia
kwa nani ndio lilikuwa linanitawala kichwani kwa
wakati huo.Asubuhi yake nilimka saa nne,Mama
aliniuliza kuhusu shule nikamwambia sijiskii
vizuri.

Hakulalamika kwa sababu ananijua huwa
sikai bila kwenda shule hivihivi bila sababu ya
msingi.

Nilitumia hiyo siku kuuza vitu vyangu ikiwa
ni pamoja na kuku wangu niliokuwa nawafuga pale
nyumbani na siku iliyofuata nikaamka asubuhi na
mapema nikawahi stand ya mabasi yaendayo
mikoani.

Nikiwa naelekea stand nilikuwa na wazo la
kuelekea Dar ila nilipofika nikabadilisha mawazo
nikaona bora nielekee mwanza kule nilikuwa
nasikia maisha yana uafadhali kuliko Dar.

Nilipanda
gari na safari ya mwanza ikaanza uku sijui ntafikia
kwa nani.ntalala wapi na ntafanya kazi gani ili
niweze kuishi.

Sikutaka kuumiza sana kichwa
kuhusu hayo ningejua mbele ya safari.Saa 12:00
tuliingia mwanza.

Nilishuka kwenye bus nikawa
naangaza macho nielekee upande gani,Wakati
naangaza macho uku na uku nilishangaa
nimeguswa bega,nilipogeuka alikuwa ni dada
mmoja mzuri sana akaniuliza
"wewe ni m'beba mizigo?"
"ndio dada nipe kazi"
alinipa box flani lenye ukubwa wa size akaniambia
nimsaidie kubeba mpaka kwenye kituo cha boda
boda ambacho hakikuwa mbali sana na eneo
tulipokuwa.

Nilibeba box lile yule dada akawa
ananifuata kwa nyuma.Nilipofika kwenye kile kituo
na kutua lile box nilishangaa yule dada haonekan
yani hayupo.

Nilisubiri sana ila hakutokea ndio
nikaona nifungue kwenye lile box kuna nini huenda
ni bingo,

Nilipofungua nilishtuka nilichokiona
sikuamini nilitamani ile iwe ndoto ila haikuwa
hivyo,Dereva mmoja wa boda akaniuliza
"dogo mbona umefungua hilo box ukashtuka
sana"?

Aliongea uku ananisogelea hapo nikajua
nimeisha.,,,,,,,,

N:B.......Toa maoni yako na stor itaendelea
 
NILAMBE APA~12

by Sparner boy

ilipoishia...,

Nilipofungua nilishtuka nilichokiona sikuamini
nilitamani ile iwe ndoto ila haikuwa hivyo,Dereva
mmoja wa boda akaniuliza
"dogo mbona umefungua hilo box ukashtuka
sana"?

Aliongea uku ananisogelea hapo nikajua
nimeisha.,,,

Endelea...

Ndani ya box lile kulikuwa na mtoto mchanga na
kwa haraka haraka nilivyomwangalia alikuwa
ameshakufa,Yule dereva boda boda aliendelea
kunisogelea mda huo na mimi hofu ikaanza
kunitawala,

Nilifunga lile box nikainuka haraka kwa
woga uku natetemeka,katika maisha yangu
naogopaga sana mambo ya maiti,

Nilianza kurudi
nyumba taratibu kitendo kilichomfanya yule dereva
kuongeza mwendo kuliendea box lile,haraka
alilifunua na kulifunga kwa mshtuko baada ya
kuona kiumbe kile kisicho na hatia kikiwa katika
box lile.
"oya dogo njoo apa pumbavu nini hii.nyie ndio
wauwaji wa Albino sasa umeamia kwa watoto

wachanga boss wako ni nani?"
"watoto wachanga?"madereva wote walisema uku
na wao wanaliendea lile box na kuliangalia kisha
wote wakanigeukia kwa hasira
"pumbavu usiinue mguu apo kwanza kaa chini"

Niliendelea kurudi nyuma taratibu nao wakawa
wananifuata mda huo watu wakaanza kujaa pale
kwenye eneo la tukio na wakina mama wakaanza
kulia kwa uchungu uku wananitupia maneno ya
kunilaani.

Haraka niligeuka na kuanza kutimua
mbio,wale madereva na wananchi walianza
kunikimbiza,nilikatiza mitaa ambayo ata sikuwa
naifahamu mimi ilikuwa ndio mara yangu ya
kwanza ndani ya mwanza.

Walinifukuza sana wakati
huo kagiza ndio kanaingia,
"muuwajii..mkamatenii,,,simama kinabo
wee,tunakukula mzima mzima leo mchawi wewe"
zilikuwa kelele zao uku wananifukuza na apo ndio
nilikuwa nachanganyikiwa nikiskia naitwa
muuaji.

Niliacha barabara ya lami nikaingia kwenye
mashamba ambapo pembeni kuna bustani watu
wanauza uza maua ila wale raia wakaniungia uko
uko,

Nilipomaliza lile shamba kwa mbele tena
nilikuta barabara ya lami haraka nikavuka na
kuwaacha wao wapo upande wa pili wanashindwa
kuvuka kutokana na wingi wa magari,Nilipovuka na
kuangalia nyuma kulikuwa na semi linapita na
kufanya tusionane,nikatumia mwanya huo kwa
kuingia chini ya kalvati za bara barani kisha chini
kwa chini nikarudi kule walipokuwa,mda huo wao
wanavuka kunifuata na hapo ndio ikawa pona
yangu kwani walipovuka hawakuniona kumbe mimi
nimerudi kule walipokuwa wao.

Nilichafuka sana matope na maji yaliyokuwa
yanapita kwenye kalvati lile ila sikujali.Maisha ya
Mwanza niliona kama yatakuwa magumu kwa
upande wangu kama ndio nimeingia tu naponea
kuuwawa na wananchi nilihis mwanza imeshaanza
kunikataa.

Nilivua soksi yangu nikachovya kwenye
mtaro wa maji ya mvua iliyokuwepo pembeni ya
bara bara na kujifuta nayo kupunguza tope
nililotoka nalo kwenye kalvati.
Baada ya hapo nilianza kutafuta guest ya kulala
walau papambazuke ndio nijue la kufanya ila mitaa
ile hapakuwa na kitu kama hicho.

Wakati
nazunnguka niliona bar moja ndogo chakavu
iliyokuwa na mwanga hafifu wa taa ya
chemli.Niliingia pale kwa ajili ya kuangalia kama
nitapata chakula pia kama kuna guest au kama
hakuna basi wanielekeze mahali nitaweza kupata
guest.

Niliingia nikaagiza soda nikawa nakunywa
baada ya kuambiwa chakula kimeisha.Ile baa
ilikuwa ndogo sana ata pombe za kienyeji
walikuwa wanauza na idadi kubwa ya watu
waliokuwa pale ni wazee wakongwe wa pombe za
kienyeji.

Nilikaa pale nikiwa nimechoka sana kwa
uchovu wa safari,nikiwa pale nikaegemea meza
ambapo nilipitiwa na usingizi pale pale mezani na
kulala fofofo.
"we kaka..we kaka mbona umelala sisi tunafunga
sa hizi"
"oooh ..sasa hivi kwani saa ngapi?"
"saa 6:20"alijibu dada mmoja ambae ndie aliekuwa
mhudumu wa bar ile na alikuwa na dada mwingine
ambae sikuwa nimemwona kabla na ndio
walioniamsha.

Niliwaza usiku huu sina pa kwenda
nikataka niwaombe waniache nilale pale ila
nikasita.

Wakati nawaza hayo yule mhudumu
akaniambia
"au kaka unahitaji utamu jamani sema
tuu..usiende kulala peke yako wakati tupo
apa"Aliongea yule mhudumu uku anajizungusha
zungusha,wakati nawaza niwajibu kitu gani yule
dada mwingine akasema
"kaka ongea tu usiogope,mimi leo siku ya nne
sijapata"

Niliwaza nikaona bora nimchukue mmoja
alafu yeye ndo atakaenionyesha gest alafu silali
nae nitajua namna ya kumkwepa,niliwaangalia na
kuwauliza
"kwani mnachaji shilingi ngapi mpaka asubuh na
ntaenda na yupi"
"tukienda geto kwako 15,000,tukienda kwangu
utanipa 20,gest ni 10 ila apa gest hazipo nadhani
mwenyewe unaelewa"
"ntaenda geto kwako ila nitakupa 10"
"bao 1 tunalala na sikupi cha kuzimua asubuh"

"sawa naenda na yupi"
"chagua"
"wewe apo"
Niliitikia nikampoint yule mhudumu ila shida yangu
ilikuwa mahali pa kulala.

Nilipowajibu vile yule
mhudumu akanishika kiuno safari ya kwenda
kwake ikaanza uku yule dada mwingine nae
anatufuata kwa nyuma,.....

N:B.........Itaendelea...
 
NILAMBE Apa~14

Sparner boy

Ilipoishia,,,

Nilimtupa kwenye kochi nikamuuliza
"unanikumbuka we malaya?"

"nd,,ndio kaka nisamehe"
alinijibu yule dada kwa waswasi uku anatetemeka
na nilipoangalia mapaja yake kuna kitu niligundua
uoga wa ajabu ukaniingia,,,,

Endelea,,,

Alikuwa anachuruzika dam ikawa inaelekea
magotini.Nilipoangalia vizuri damu ilikuwa inatokea
kwenye naniliu.

"dada vipi tena"?
"hamna kaka nisamehe kweli nilikukosea"
"ok ila unaonekana una matatizo"
"ndio kaka we acha tu kwanza ngoja nije
nikuelezee"
aliongea hayo akachukua kanga yake iliyokuwa
pale chini akaelekea chumbani.

Yule dada alikuwa anatia huruma na maisha
anayoishi pale yalionekana ya tabu mimi nikawa
najiuliza ile damu ni ya nini ila akili ya haraka
ikanijia kuwa huenda aliona siku zake kutokana na
mshtuko baada ya kuniona.

Baada ya mda alitoka
akiwa ameshaoga na kubadilisha nguo.
"kuna bafu humu ndani"
"ndio ipo,ni kubwa hii nyumba usiione ivi"
aliongea hayo akaja na kukaa kwenye sofa lingine
mda huo kidoogo alionekana kuchangamka tofauti
na mwanzo.
"dada unaonekana haupo sawa na una matatizo na
yule mtoto alikuwa wa kwako?"

"kaka ni historia ndefu sana pia ni siri ya maisha
yangu ila inabidi tu nikuadithie hapo utajua hii
damu uliyoona inasababishwa na nini"

Kwa huzuni alianza kunieleza hustoria yake kuwa;

Anaitwa Bricilla mtoto wa kwanza kwenye familia
yenye watoto watano.Baada ya kumaliza kidato
cha nne maisha yalikuwa magumu sana nyumbani
kwao, yeye kama dada mkubwa wadogo zake
wawili wa kike walikuwa wanamtegemea achana na
wawili wa kiume ambao walishaacha shule na
kujichanganya mtaani.Mama alishafarika akabaki
baba ambae hakuwa anajali familia na mlevi wa
kupindukia wa pombe za kienyeji.

Ilimlazimu
kufanya vibarua kulima mashamba ya watu ili
kunusuru familia yao sana sana wadogo zake.Siku
moja akiwa ametoka kwenye shughuli zake njiani
alikutana na baba mmoja wa makamo.
"habari yako binti"
"nzuri tu pole na kazi unaonekana umechoka
sana"
"kawaida tu wala sijachoka"
"unasoma au unafanya kazi wapi"
"sisomi wala sina kazi acha mimi niwah nyumbani"
Bricilla alimjibu yule baba na kuanza kuondoka
kwani alianza kukereka na maswali ya yule baba
ila yule baba akamwambia
"sasa kama husomi na huna kazi,kwa nini
usikubali nikuajiri kwenye kampuni ninayofanya
kazi mimi?"
"nitashukuru sana baba nipo tayari inahusika na
nini"
"ni kampuni ya ulinzi wanalipa vizuri na wanawake
huwa hawapewi kazi za usiku utaingia asubuh na
kutoka saa 11 jioni"

"ooh naomba nisaidie nipo tayari baba asante
naomba nisaidie nipate hiyo kazi"

Basi yule baba alimwandikia Bricila namba za simu
kwenye karatasi akamwambia jumamosi saa 6
mchana amtafute.

Bricilla alirudi nyumbani uku
anamuomba Mungu apate hiyo kazi ambayo kwake
aliona kama ndoto.

Jumamos saa 5 Bricila alienda kwenye kibanda cha
sim na kumpigia yule baba,yule baba akamwambia
wakutane pale walipokutana juzi na baada ya mda
mfupi Bricila akafika eneo lile ambapo haikuchukua
muda yule baba akaja na safari ya kwenda ofisini
ikaanza.
"Sasa Bricilla naomba kwanza tupitie apa kwa rafiki
yangu naye alikuwa anataka kazi sasa sim yake
haipatikani twende kwake tukamwangalie"
aliongea yule baba na Bricila hakubisha
akakubali.

Haikuwa mbali na pale,Walifika kwenye
nyumba moja ambapo yule baba ata bila kubisha
hodi alisukuma mlango akaingia na kuanza
kumkaribisha Bricila.
"sasa mbona unanikaribisha na huyo rafiki yako
yupo wapi?"
"anakuja,,,nikuletee nini tunywe wakati
tunamsubiri"
"chochote tu ila mimi sina njaa"
"kinywaji tu pia usiogope kazi utapata mimi pale
ndio afisa mwajiri"

Aliongea hayo yule baba uku anaendea kabati na
kuja na glass ya juice na kumpatia Princilla.
Muda ulienda bila mtu kuja pale, yule baba aliama
kutoka alipokuwepo amekaa na kumfuata binti
yule,bila aibu alianza kumshika shika mapajani
taratibu uku anamrubuni kwa maneno ya kumpa
kazi na kumtenganezea maisha
"usiogope Bricila pale kazi umepata na apa sasa
hivi nakupa elfu 40 za kukusaidia sawa?

Aliongea
baba yule mda huo anapandisha mkono wake juu
kuelekea kwenye naniliu ya Bricila ,kutokana na
kigauni alichokuwa amevaa binti yule haikumpa
tabu.
"usinishike uko mimi naogopa staki" alilalamika
Bricila baada ya kuona yule baba anajitaidi
kupenyeza kidole kwenye chupi ya binti yule.Baba
yule badala ya kujibu alianza kubusu shingo ya
binti yule akishuka chini na mda huo kidole chake
kinachezea naniliu kupitia kwenye mguu mmoja wa
chupi."

Jamani s,,s,,taaaki niache..ooh,,,oooh,,
sta,,kiii"

Yule baba aliendelea kumchezea binti yule pale
kwenye kochi mwisho.Alipohakikisha amelegea
alimvua ile chupi aliyokuwa amemshusha mpaka
magotini sasa akamalizia kisha akampandisha kile
kigauni juu,yeye akashusha suruali yake mpaka
magotini,akaanza kumponza kwa kumlamba
chuchu zake kiufundi uku anaingiza uume wake
taratibu kwenye naniliu ya Bricilla uku Bricilla bado
analalamika "sitaki,,,ss..takii

jamani,,oooh
aaash...sit..aki"

Baada ya alimwambia aende nyumbani na jumatatu

wakutane ofisini kazi amepata.

N:B .......itaendelea
 
NiLAMBE APA ~15

By Sparner boy

Ilipoishia...

Alianza kumponza kwa kumlamba chuchu zake
kiufundi uku anaingiza uume wake taratibu kwenye
naniliu ya Bricilla. Bricilla bado alikuwa analalamika
"sitaki,,,ss..takii jamani,,oooh aaash...sit..aki"

Baada kumaliza kufanya yake na kuridhika,alimw
ambia aende nyumbani na jumatatu wakutane
ofisini kazi amepata.,,

Endelea,,,.

Bricila alirudi nyumbani akiwa hana raha,kwanza
amefanya mapenzi na mtu mwenye umri sawa na
baba yake na kazi hana uhakika kama angepata
"huyu baba kanionaje yani aliniambia tunaenda
ofisini kumbe anaenda kunifanya,

alafu kamwagia
ndani yani nahisi zinachemka mungu saidia isije
kuwa kanipa mimba tayari" yalikuwa mawazo ya
Bricila walati anarudi nyumbani.

Jumatatu ilifika na ofisi alishaelekezwa ilipo,saa
mbili kamili alishafika ofisini pale na kukuta baadhi
ya watu wanaotafuta ajira wengi wao wakiwa ni
vijana wa kiume na yeye akajumuika nao.

Wakati
wanasubiri
Bricila hofu ilianza kumuingia kuwa huenda yule
baba hafanyi kazi mahali pale,walisubiri mpaka saa
tatu ambapo alitoka yule baba akiwa ameshika
mafile pia ilionekana ana cheo kikubwa kwa
sababu ata nguo alizovaa ni tofauti na wafanyakazi
wengine wa pale.

Alikuja na kuwaambia
"jamani kampuni yetu ina nafasi kadhaa hivyo kwa
wataokosa mje tena jumatatu ijayo kwa leo
hatutaweza kuwachukua wote sawa?

"sawa mkuu"

waliitikia wote kwa pamoja,baba yule
akaendelea
" wale wa darasa la 7 wakae upande
huu"

(wakatoka wengi sana)

"wa kidato cha nne uku wa cha sita pale"(kidato
cha nne wakatoka 6 na kidato cha sita wakatoka
wawili)

Yule baba aliwachukua kidato cha nne na cha sita
na kuongeza kadhaa wa darasa la 7 sasa kwa
kuwa princila alikuwa group la waliopo kidato cha
nne alipata kazi bila kipingamizi.

Alianza kufanya kazi kwenye kampuni ile ya ulinzi
ambapo baada ya mafunzo ya wiki mbili alipangiwa
kwenda kulinda kwenye nyumba ya jamaa mmoja
mfanyakazi wa umoja wa mataifa (UN).

anaetokea
nchini Cameroon.Bricila alianza kufanya kazi katika
nyumba ile kama mlinzi wa mchana ikiwepo
kufungua geti kila gari linapotoka au kuingia.

Jamaa
yule alikuwa na pesa kweli ila cha ajabu hakuwa
na mke wala familia yeye aliishi maisha ya kisela.

Miezi mitatu ilipita,sasa kuna siku yule jamaa
alirudi na kumkuta Bricila amesinzia kwenye
kibanda chake kilichokuwa getini.

Jamaa
alimwamsha na kuanza kuongea nae,ingawa
aliongea kingreza Bricila aliweza kumuelewa hivyo
hivyo na elimu yake ya kidato nne st
kayumba.

Jamaa hakuwahi kuongea na Bricila ata
siku moja zaidi ya kumpungia mkono wakati
anatoka na kurudi ila siku hiyo alimsemesha
"kwa nini leo unasinzia binti umekula"

"hapana sijala"

"ok nifuate,"

Bricila alimfuata jamaa yule kwa hofu mpaka
ndani,nyumba ilikuwa nzuri ila usafi haukuwepo
vitu vilikuwa vimetupwa tupwa bila mpangilio
maalum.

"my name is Charles but you can call me
charls"

(naitwa charles ila unaweza kuniita Charls)

(ok iam Bricila"
walitambulishana pale Charls akamwonesha Bricila

jiko na akamwambia awe anapika ale pia afanye
usafi wa pale ndani na atakuwa anamlipa Dola 90
kwa mwezi.

Bricila alifuarah sana. sasa atakuwa
anapokea pesa mara mbili.dola 90 ni nyingi kuliko
laki na nusu anayolipwa ofisini.

Alifanya kazi kwa bidii nyumba ile ilibadilika pia
Charls kila akitoka kazini akawa anakuta chakula
tayari,alitokea kumpenda sana Bricila,alimwambia
asiwe anavaa sare za ofisi.

avae tu nguo za
kawaida pia Charls alipeleka sifa nyingi ofisini
kuwa Bricila ni mfanyakazi bora.

Bricila alianza kupendeza kwa sababu dola5 au 10
kwa siku zilikuwa hazimpigi chenga.Uzuri wake
sasa ukaonekana akawa mafuta pia rangi yake ya
chocolate ikaonekana umbo na umbo lake la
kibantu.

Nyumbani maisha yalibadilika watoto
walisahau kuchuma kisamvu sasa wakaamia
buchani yani maisha yalibadilika ghafla.

Siku moja Bricila alikuwa anafanya usafi,siku hiyo
Chalz hakwenda kazini alikuwa chumbani
amelala.

Ni kawaida huwa siku haendi kazini huwa
anaamka saa nne.Wakati anaendelea na usafi
alisikia anaitwa,
"abee boss"
"njoo uku chumbani nikuagize"
haraka Aliacha usafi akaenda kumsikiliza Boss
wake,
"uku chumbani hufanyi usafi leo?"

"nafanya nilikuwa nasubiri uamke"

"nenda kwenye kabati langu niletee nguo yoyote
nivae"

"sawa boss"
Alifanya kama alivyoagizwa akaja na suruali moja
na tisheti kisha akaingia chumbani,

Alimsogelea
Chals pale kitandani akampa ila chals badala ya
kupokea nguo alishika mkono wa Bricila akamvutia
kitandani alafu yeye akaja kwa juu,Bricila alipata
hofu zaidi baada ya kugundua kuwa Chals hakuwa
na nguo ata moja,,

N:B.........ITAENDELEA
 
NiLAMBE APA~

by Sparner boy

Ilipoishia,,,

Alimsogelea Chals pale kitandani akampa ila chals
badala ya kupokea nguo alishika mkono wa Bricila
akamvutia kitandani alafu yeye akaja kwa
juu,Bricila alipata hofu zaidi baada ya kugundua
kuwa Chals hakuwa na nguo ata moja,,

Endelea,,..

"Bricila usiogope wewe ni msichana mzuri sana"
"ila bosi naomba niache tufanye siku nyingine
mimi leo sijajiandaa"
"usiogope nitakuandaa ni kidogo tu" wakati
wanaendelea kuongea Charls mkono wake ulikuwa
unapapasa mapaja ya Bricila kupanda kwenye
naniliu.

Bricila alifikiria, wazo likamjia kuwa kwanzia
amekuja pale kwenye ile nyumba hakuwah
kumuona bos wake ameleta mwanamke pale hivyo
akaona pengine ile ndio bahati take ya kipekee na
Charls angemuoa,Alianza kumpa ushirikiano
Charls.mabusu.purukushani za apa na pale uku
charls anamvua nguo moja baada ya nyingine
mwisho wote wakabaki kama walivyokuja
duniani.

Charls akiwa juu mnara wake kwa jinsi
ulivyokuwa umekamata netwok ililenga kwenye
naniliu ya Bricila na kuanza kuingia taratibu mda
huo Bricila anafumba macho na kufumbua uku
anauma uma lips zake.

"aaagh boss usiingize yote naum;;;miaa"

"unasema kweli unaumia mimi naskia raha sana
mpenzi aah"

"noo..naumia jaman,ingiza kidogo.mamaaa"

Bricila alilia kwa uchungu kutokana na maumivu
aliyokuwa anahisi.Charlz alichomoa kwanza baada
ya kuona binti yule analia uku anatetemeka kila

Charls alivyokuwa anaingiza mnara wake kwenye
tamuu ya Bricila
"nini tatizo mpenzi"

"naumia naomba tuache tutafanya siku nyingine"
"hapana jaman naomba niingize kidogo"
"no chals please naomba niache nitakupa siku

nyingine"
Bricila aliongea hayo uku ameziba tamuu kwa
viganja vyake,Charls alikuwa mweusi mrefu na
mwili uliojengeka kimazoezi sasa Dunduso yake
ilimshinda Bricila kutokana na ukubwa wake.

Charls
Baada ya kubembeza sana na kuona Bricila
hamkubalii alimwambia
"usiniache na hali hii,ukinikubalia nakujengea
nyumba mpenzi wangu nakuapia na ntakupa kila
kitu"aliongea kwa huruma ya hali ya juu uku
machozi yanamtoka.

Bricila alimsikiliza Charls kwa makini,mwisho
akamkubalia ila akamwambia asiingize yote.Charls
alifurah sana akamuweka binti yule sawa na
shughuli ikaendelea uku Bricila ana waswas ila
safari hii Charls hakuingiza yote.

Kwanzia siku hiyo ikawa ndio mchezo wao ila
kadiri siku zilivyokuwa zinaenda Bricila alizoea
taratibu mwisho ikawa sasa inaingizwa yote.Kama
alivyohaidi Charls alinunua kiwanja akajenga
nyumba na kumkabidhi Bricila,Ilikuwa furaha sana
kwa binti yule aliona ndoto yake sasa inaenda
kukamilika.

Siku moja Bricila akiwa anafanya usafi nyumbani
kwa Charlz, alihisi kichomi cha ghafla maeneo ya
tumbon kwa chini kidogo.Kichomi kile kilikuwa
kinakuja na kuacha ila ikija inakuwa kali kuliko
iliyopita,Bricila aliachana na usafi akakaa kwenye
sofa,kile kichomi kiliendelea,akachukua simu na
kumpigia dereva tax wake anaempelekaga sokoni
anaejulika na kwa jina la Saimon.Saimon alikuja
na kumkuta Bricila hali yake ni mbaya sana
amelala chini anagara gara kwa Maumivu.

Haraka
Saimon akam'beba akampakia ndani ya gari na
safari ya kwenda hospitali ikaanza.Baada ya
vipimo na dawa alizotumia alipata nafuu.docta
alikuja akamwambia,,
"una mume"
"ni mchumba wangu"
"sasa kwa nini anakufanyia hivi,mpaka kizazi
kimelainika jamani au mlitaka kumuuwa huyo
mtoto ulie nae tumboni"
"skuelewi docta,nina mimba?

"ina maana hujui,una mimba ya wiki 8 na hicho
kichomi ni kwamba kizazi kilikuwa kinaguswa mara
kwa mara tena kwa fujo mpaka kimesogea kwa
nini huyo mchumba wako asije apa hospitali
tumvalishe pete uume wake sio wa kawaida kabisa
au una hawara mwingine"
"hapana ni yeye tu"
" aje avalishwe pete la sivyo mtamuuwa huyu
mtoto"

Bricila alishtuka sana baada ya kusikia kuwa ana
mimba,
"Chalz atakubali kweli huu ujauzito?"aliwaza

Alikaa pale hosptali. baada ya siku tatu
akaruhusiwa kurudi nyumbani,Alipofika nyumbani
kitu cha kwanza akampigia Chalz ili amuulize ni
kwa nini hakuja hospital kumwangalia wakati
alilazwa siku tatu,alichukua simu akapiga namba
ya Chalz,simu upande wa pili iliita na kupokelewa,,
"Hello Bricila mpenzi mambo"

"Mambo kitu gani Charlz hunipendi ata kidogo,ata
simu tu kunijulia hali siku tatu nipo hosptali"

"kesho njoo tuongee"
"tuongee nini umeniudhi sana,alafu mwenzio mimi
mjamzito.nina mimba yako"

N:B......Toa maoni yako na stor itaendelea,,,...
 
NILAMBE APA~

by Sparner boy

Ilipoishia...

Hello Bricila mpenzi mambo"
"Mambo kitu gani Charlz hunipendi ata kidogo,ata
simu tu kunijulia hali siku tatu nipo hosptali"

"kesho njoo tuongee"
"tuongee nini umeniudhi sana,alafu mwenzio mimi
mjamzito.nina mimba yako"
Endelea...

"unasemaje"

"nina mimba yako jamani"
"njoo tuongee zaidi"

Charlz alijibu na kukata simu ila alionekana
kutopendezwa na kitendo cha Bricilla kumwambia
kuwa ni mzamzito.

Charlz akiwa nyumbani kwake mlango wake
uligongwa na alipofungua Bricila aliingia,Bricila
alifurah pia kumuona mpenzi wake yule na
alimfuata tayari kumkumbatia ila Charlz alimkwepa
kitendo kilichomfanya ashangae.

"Vipi baby yani nimelazwa.."
"nyamaza wewe nani alikuambia kuwa mimi nina
mpango wa kuzaa na wewe?"

"yamekuwa hayo jamani sasa mimi ningefanyaje
na siku ya kwanza unakumbuka sikujua kama
tungefanya ulinishtukiza"
"ok,nimekuelewa ila naomba itoe hiyo mimba mimi
nina familia yangu cameroon na wanakuja apa
mwezi ujao umenielewa?"

Bricila alinyamaza kimya akiwa amejiinamia asijue
la kujibu.

Charlz aliingia ndani akatoka na hundi
(check) na kumkabidhi Bricila.
"Naomba hiyo mimba ikatolewe haraka ili
tuelewane sawa"
"sawa mpenzi nitajaribu"
"ndio maana nakupenda njoo basi"
aliongea chalz na kumvuta Bricila kifuani
mwake,Walianza michezo ya kimapenzi pale pale
wakati wamesimama,ugomvi waliokuwa nao mda
mfupi uliopita ulitoweka.michezo ya apa na pale
mwisho walijikuta wote wapo kama walivyozaliwa
Bricila amelala kwenye sofa miguu amenyanyua
kidogo magoti yake amejielekezea kifuani uku
Charlz yupo juu anaset mnara wake kwenye naniliu
ya Bricila na kuanza kuingiza taratibu
"ooh..baby leo ya moto aagh..we mtamu sana
mpenzi"
"asante Charlz wangu ila ooh,,aaash...usiingize
yote niliambiwa"
"mbona naingizaga jamani..aaah naskia raha"

"ata mimi ila usiingize yote"
Charlz alimsikiliza mpenzi wake yule akawa
anafanya kama anavyotaka kitu kilichofanya
waenjoy sana siku hiyo.

Wakati wanaendelea Charls utamu ulimnogea
akaingiza yote kwa kasi ya ajabu.Bricila aliruka
kama amepigwa shot ya umeme uku analia "uuwi
umeniumiza jamani aaagh;;;si nlikwambia usiingize
yote mama eee"

aliongea hayo uku anamwangalia charlz aliekuwa
ametulia kimya anasikilizia utamu wa mlima
kilimanjaro aliyokuwa amefikia kilele.Alipochomoa
dunduso yake.alishangaa sana kumuona Bricila
damu zinatoka ukeni.

"Bricila umefanyaje"
"umeniumiza jamani naumiaa..nisasidiee"

Charlz aliogopa.haraka alimpatia mpenzi wake
huduma ya kwanza mpaka aliporudi kwenye hali
yake ya kawaida ingawa alilalamika anahisi
maumivu kwenye kizazi.

Kwanzia siku hiyo Bricila
hakuwa na hamu tena ya kufanya mapenzi.Kila
akikumbuka maumivu aliyoyapata mara ya mwisho
alipofanya na Charls,uoga ulimuingia na kujikuta
anakosa hamu kabisa.

Siku zilienda,kila Charlz akimuomba Bricila aligoma
kabisa mda mwingine akawa analia machozi Charlz
akimlazimisha pia ile mimba hakuitoa ingawa
Charlz alikuwa anamkumbusha kila siku.
"kwa nini Bricila hiyo mimba hutoi na pesa
nilishakupa"
"nitatoa tu mpenzi"
"acha kuniita mpenzi wakati mapenzi hunipi
kwanza bora tuachane familia yangu imekaribia
kuja"
"hapana Charlz sio hivyo,unaniumiza pia siku ile
uliniumiza sana nahisi maumivu mpaka leo"
"ata kama,mimi nina hamu na wewe njoo basi
nifanye nifurah ata tusipofanya"
Charz aliongea na kumshika Bricila wakaingia
ndani.

Walivuana nguo na kuanza kufanya michezo
ya kimapenzi.Bricila ili amridhishe Charlz alitumia
mdomo wake kunyonya pipi rungu ya charlz
akitumia ufundi wake wote,hakuwah kunyonya
uume ila siku hiyo alijitahidi,wakati anaendelea uku
anaifikicha kiufundi Charlz alimwambia
"baby naomba niingize"
"hapana naumwa uko jaman ila acha niendelee hivi
hivi kwa mdomo utaridhika kwani si unaenjoy"

"ndio ila,kama mbele panauma naomba uko
nyuma"
"unasemaa..

hapana jaman kwanza naona heshima
imeshuka"
Charls aliposikia hivyo alianza kuvaa nguo zake
akionesha kukasirika.Wakati anavaa suruali Bricila
alimzuia akamwambia
"kweli mpenzi unataka kunifanya kwa uku"
"kama hutaki basi, sasa kama mbele haifai
tufanyaje, ata nyumba ndio maana huwekwa
milango miwili ya mbele na ya nyuma ili moja
ilijilock watu wasilale nje"

"haya mpenzi nimekubali nifanye tu ila taratibu
kwa sababu uko sijawahi"

Siku zilienda wakiwa wanafanya mapenzi ya aina
hiyo.Charlz alibadilika,Alianza kumnyanyasa Bricila
kwa sababu alikataa kutoa mimba.

Asubuhi moja
akiwa anajiandaa kutoka,alikutana na Bricila ndio
anaingia,alimzuilia getini asiingie kitu
kilichomshangaza Bricila
"kwa nini unanizuia jamani nisiingie au
tumegombana?"


N:B.......Charlz kuongea kiswahili na Bricila ilichukua muda coz Bricila ndiye aliyemfundisha kiswahili na kiswahili kilichokuwa kikizungumzwa na Charlz hakikuwa kizur ila ktk uwandish lazma kiandikwe inavyotakikana

stor itaendelea
 
Nilambe apa~18

by Sparner Boy

ilipoishia.....

Charlz alibadilika,Alianza kumnyanyasa Bricila kwa
sababu alikataa kutoa mimba.

Asubuhi moja akiwa
anajiandaa kutoka,alikutana na Bricila ndio
anaingia,alimzuilia getini asiingie kitu
kilichomshangaza Bricila
"kwa nini unanizuia jamani nisiingie au
tumegombana?"
Endelea..

Bricila alipouliza swali hilo kwa mshangao Charlz
alimjibu
"familia yangu inakuja hivyo sitaki wakukute apa
na mimba yako hiyo"
"kwani wakijua kuna tatizo gani jama..)
"ishia apo apo,mke wangu ajue una mimba yangu
nmekwambia utoe umekataa sasa hiyo ni zawadi
yako"
"Yani una mke Charlz"
"tokaa"

Charlz alimfukuza Bricila kama mbwa yani
hakumruhusu walau kuingia getini.

Alirudi
nyumbani kwao ila akili haikumtuma akae pale
hivyo akaamia kwenye ile nyumba yake
aliyojengewa na charlz.Ndugu zake walipojua dada
yao amebeba mimba mtaani isiyo na baba
walimtenda hawakutaka ushirikiano wowote na
yeye,walisahau fadhila zote walizopewa na Bricila
wakati pesa zilipomtembelea.Kwenye akiba yake
bado pesa zilikuwepo hivyo aliilea ile mimba bila
tatizo ila alikuwa na hasira sana na kiumbe
kilichopo tumboni na aliapa akimzaa
anamuua.Miezi tisa ilifika akafanikiwa kujifungua
salama ila kilichompa hasira zaidi ni baada ya
kuambiwa kuwa amejifungua mtoto wa kiume yani
alimwona kama ni Charlz na baada ya kujifungua
tatizo la kuvuja damu likamuanza na alishaenda
hospital akapewa dawa ambazo zimeonekana
kumsaidia kwa kiasi kikubwa.

Aliendelea kuishi na yule mtoto,mara nyingi sana
aljaribu kumnyonga ila dhamira ilimsuta na
kujikuta anaacha.

Wazo likamjia kwamba kuliko
amuuwe bora atafute mtu amshikishe yeye
aondoke huyo mtu atajua mwenyewe.

Ni apo
aliponikuta Stand ndio nimeshuka kwenye gari
akanikamatisha akanidanganya ni mzigo kisha
akakimbia.

Alimaliza kunielezea nikajikuta namuonea huruma
nikamwambia
" yule mtoto ulienipa alikuwa hai?"
"ndio alikuwa hai"

Huruma ilinijia yani ningejua alikuwa hai
nisingemuacha stand mimi ningemlea,Nilimpa pole
na mimi nikamuelezea historia yangu kwa ufupi na
sababu iliyosababisha mimi kutoroka mkoani
kwangu na kuja mwanza.

Aliniuliza
"hivyo mpaka sasa hivi hujapata mahali pa kuishi"
"hapana ila ndio natafuta"
"kwa nini usikae apa kwa muda,hii nyumba ni
kubwa sana naishi peke yangu,kaa apa wakati
unafanya mpango wa kazi unajua mkoa huu bila
ishu ya kukuingizia pesa utateseka sana kaka"
Nilikubali,akanionesha chumba changu nikaanza
maisha upya pale kwa Bricila.

Siku zilienda,uku naendelea kutafuta kazi kwa
sababu sikuwa na kazi na hali ile ilianza
kunikosesha raha kulishwa na mwanamke ingawa
yeye hakuwa na tatizo lolote alinipenda kama kaka
yake na mimi pia nilimpenda yani tulikuwa
tunaheshimiana sana,alipona ule ugonjwa uliokuwa
unamsumbua akarudia hali yake ya kawaida furaha
ikaongezeka na taratibu nilianza kusahau habari za
Rita na Anita.

Siku moja alirudi nyumbani jioni
kutoka kwenye biashara zake,alinikuta nimekaa
sebuleni naskiliza redio.aliingia ata hakunisemesha
akazima ile redio alafu akaniambia
"sapriize"
"saprize gani dada yangu niambie basi"
"kuna rafiki yangu ameanzisha duka la kuuza vifaa
vya shule na pesa kwa njia ya simu yani tigo
pesa,m-pesa na kadhalika,sasa alikuwa anatafuta
mfanyakazi nikakuunganishia kesho nakupeleka
akakuone"

Nilifurah sana tukakumbatina kwa furaha uku mimi
nasubiri hiyo kesho nione itakuwaje.

Kesho yake alinipeleka kwa rafiki yake,alikuwa ni
dada mmoja simpo ambae kwa kumtizama
alioneka wa kawaida ila pesa zilimtembelea.Nilifu
ndishwa kazi siku tatu nikaelewa ingawa ilikuwa
ngumu kidogo kwa sababu sukuwah kutumia simu
kabisa.

Yule mama alinipenda sana na ufanyaji
wangu wa kazi kila jion alikuja kunisalimia ila
mahesabu alichukua mwisho wa wiki.

Baada ya
miezi mitatu,mambo yalikuwa mazuri Bricila nae
baishara zake zilimwendea vizuri pale ndani
tulipaweka vizuri sana.

Nakumbuka ilikuwa jumamosi siku hiyo nilikuwa
na wateja sana na mtandao kuna mda ulisumbua
na kusababisha mlundikano wa wateja,Nilichelewa
mpaka saa tatu usiku nikampigia Bricila
nikamtaarifu ili asiwe na waswasi,

Nilimaliza kazi
zangu saa nne usiku na wakati nafunga yule dada
alikuja akaniambia pole sana ila saa hizi hutaweza
kwenda kule ngoja nimpigie dada yako simu.

Alitoa
simu akampigia Bricila na kumwambia siku hiyo
sintaweza kwenda nyumbani ninalala kwake,sijui
bricila alimjibu nini akakata simu.

Tulifika nyumbani kwake akanikaribisha
vizuri.alikuwepo house gal tu nikajua huenda
mumewe amesafiri.Baada ya kuoga na kula
alinionyesha chumba changu nikaenda kulala yani
nilikuwa nimechoka sana.

Wakati usingizi unaanza
kunipitia nilisikia mlango wangu unagongwa na
inaonekana anaegonga ana wasi wasi flani
ivi.

Niliamka,ila kabla sijafungua nilichungulia
kupitia tundu la kitasa nikamwona ni yule dada
bosi wangu akiwa ndani ya vazi la usiku (nite
dress) iliyoacha sehemu kubwa ya mwili wake
wazi,

Nilipofungua akaingia kitu cha kwanza akapiga
busu la kwenye shavu akanishika mkono na
kunitoa kule chumbani akawa ananipeleka
nisipopajua..

N:B.....Mbuz kafia kwa Muuza Supu
 
Nila:be apa~19

by Sparner boy

ilipoishia...

Nilipofungua akaingia kitu cha kwanza akapiga
busu la kwenye shavu akanishika mkono na
kunitoa kule chumbani akawa ananipeleka
nisipopajua..

Endelea..

"Dada unanipeleka wapi?

"usiogope tunaenda kulala kile chumba sio hadhi

yako alafu mimi naitwa Herieth"

alinijibu mda huo
ameufikia mlango uliokuwa mbele yetu na
kuufungua tukaingia ndani,kilikuwa chumba kizuri
sana.
"karibu hiki ndio chumba changu na apa ndio
panafaa ulale wewe"

Aliongea uku ananivuta kitandani akinipapasa kifua
changu kulichokuwa wazi uku amelegeza macho
kimahaba"
"bos mimi bado sikuelewi"
"shsh..ubosi ni kazini apa tupo kitandani,huelewi
nini sasa mimi nakupenda Sparner au unataka
nini"aliongea kwa sauti ya kimtego sana mda huo
amenivuta kifuani kwake ananishika-shika uku
ananyonya vichuchu vyangu kifuani kwa ustadi wa
hali ya juu taratibu nikaanza kushika shika nywele
zake mda huo bado ananyonya vichuchu vyangu
kwa staili kama anavibana kwa lips zake,tamaa ya
kufanya mapenzi ikanipanda kwa kasi,alipotoka apo
akanisukuma nikalala kitandani yeye akaja kwa juu
taratibu akanisogezea mdomo wake tukaanza
kubadilishana mate mpaka apo nikasahau kabisa
kuwa yule ni boss wangu,Mikono yake
haikutulia,wakati tunaendelea kunyonyana lips uku
ndimi zetu zinapishana kila mmoja kwenye mdomo
wa wenzake yule dada mkono wake aliuingiza
kwenye bukta yangu akawa anashika shika mnara
wangu uku anapapasa kipara cha mnara ule kwa
kutumia kidole gumba cha mkono wake uliokuwa
mlaini ajabu,

Nilihisi raha sana nikawa nafumba
macho na kufumbua kutokana na raha nilizokuwa
nahisi.Wakati anapapasa mnara wangu,mkono
wake mwingine ulifanya kazi ya kuvua bukta yangu
na kuitupa sakafuni hamu ya kufanya mapenzi
ilipanda mara dufu ila nikawa mpole sikutaka
kuonyesha kuwa najua chochote kwa siku ile.

Nikiwa chini yeye juu alinilalia sasa mnara wangu
ukaenda kugusa mwisho wa mapaja yake nikahisi
raha fulani mimi sikujua kumbe mnara ule
ulishagusa naniliu ya Herieth nusu kichwa
imeshaingia ina maana ndani hakuwa amevaa
chochote zaidi ya ile night dress.Nilianza
kusukuma taratibu kuingiza ndani,nilivyokuwa
naingiza na yeye alizidi kuanchia miguu taratibu
mwisho ikaingia karibia yote nikaanza kumpa
mambo taratibu sikutaka kumpeleka haraka kwa
sababu alionekana muoga sana kwani nilipojaribu
kuingiza zaidi alishtuka na kunifinya kufuani hivyo
nikampeleka taratibu na utamu aliokuwa nao
hauelezeki inaonekana hakugongwa mda mrefu
sana.

Baada ya kumaliza round kadhaa aliniambia
"mpenzi umenikuna vizuri apa najiskia vizuri sana
asubuh naomba tena"
"ila mimi naogopa mume wako akinikuta
itakuwaje"
"haha..mpenzi nani amekwambia nimeolewa,mimi
wananume wanaogopa kunifuata sijui kwa nini
alafu wengine wanasema naringa"
"mmh..apo sawa mimi nilikuwa na waswas sana
boss"
"nani boss wako nimekuambia uboss kazini apa ni
kitandani"

Tulicheka akanikumbatia usingizi ukatupitia.
Nilikuja kushtuka saa tatu asubuhi simu yangu
inaita nilipoangalia alikuwa Bricila nilipokea
akaniambia
"kaka umeamka salama nimepita apa mpaka saa
hizi hujafungua uko wapi"

"Nipo njiani naenda kufungua"
"poa kaka yangu baadae basi nilitaka kukujulia
hali"
Bricila alikata sim haraka nikaamka ile nashuka
kitandani Herieth aliniambia
"mpenzi unaenda wapi"
"kazini nimechelewa sana"
"mi nataka buana nipe kidogo"
aliongea kwa sauti ua kudeka iliyochanganyikana
na usingizi uku ameweka mikono ishara
nimkumbatie nilale kifuani kwake,

Nilifanya hivyo
sikupoteza muda nikaanza kupapasa naniliu
yake,nikaingiza kidole cha kati nikamtekenya G
spot kidogo nimamuweka sawa nikachapa chapa
Kis*mi chake kwa kutumia pipi rungu yangu kwa
sekunde kadhaa kisha nikaanza kuingiza taratibu
yani ilikuwa ya moto kuliko usiku na utamu niliona
kama umeongezeka yani Nilivyokuwa naingiza
kuna utam niliuskia umetoka kwenye kisigino
mpaka kwenye utosi.

Nilianza kumpa mambo uku
ananiambia
"asante.asante mpenzi... Naskia raha..naskia
raha...oooh..aaaah.."
haikuchukua muda hamu ya asubuh ilipungua
baada ya kila mmoja kwenda round moja,fasta
nikaingia bafuni nikajimwagia maji nikawahi
kazini.Nilijituma kazini uku siamini kama kweli
nimemgonga Bos wangu Herieth pia nikikumbuka
utam wake nilichanganyikiwa.

Wakati nawaza hayo
sim yangu iliita na nilipoangalia alikuwa Bricila
"vipi dada yangu niambie"
"Sparner hamna usalama uku jamani Charlz"
"anakufanyaje huyo mjinga"
"charlz jamani uuwi mungu wangu Charlz"
"nini Bricila huyo mjinga anakufanyaje kwanza upo
wapi"
kabla hajajibu chochote sim yake ilikatika na
niliporibu kuipiga ikawa haipokelewi"

stor itaendelea,
 
Nila:mbe apa~20

by Sparner Boy

Ilipoishia..

"charlz jamani uuwi mungu wangu Charlz"
"nini Bricila huyo mjinga anakufanyaje kwanza upo
wapi"
kabla hajajibu chochote sim yake ilikatika na
nilipojaribu kuipiga haikupokelewa,,

Endelea..

Nilichanganyikiwa sana sikujua Chars anamfanya
nini Bricila,hasira za ghafla zilinipanda wazo
likanijia nifunge duka nielekee mjini nikamtafute
Bricila ila nikahofia itakuwaje Boss Herieth
akigundua kuwa nimefunga duka bila sababu ya
msingi.

Nilijaribu kupiga tena simu ya Bricila
ambapo safari hii ilipokelewa
"Charlz anakufanyaje mbona sikuelewi"
"amepata ajali mbaya,alikuwa anaendesha
pikipiki,aliponiona akaacha kuangalia mbele akawa
ananishangaa na alipoangalia mbele alikutana na
fuso ila kabla halijamgonga alikata kona ya ghafla
hali iliyosababisha piki piki kuteleza na
kum'buruza vibaya sana"

"acha afe shetani huyo"
"kweli mimi nina ugomvi nae ila sijapenda
kilichompata"

"poa badae"

Nilikata simu baada ya kuongea na Bricila na hapo
kidogo presha ilishuka.
Mda wa kutoka ulifika,wakati najiandaa kufunga
Herieth alirudi kutoka kazini,alikuja akawa anaingia
dukani mimi mda huo nahisi aibu flani kila
nikikumbuka kuwa jana yake tulifanya
mapenzi.

Aliingia akanibusu mdomoni akaniambia
"mpenzi nimeshinda ofisini nakuwaza wewe,kila
nikikumbuka penzi ulilonipa jana nachanganyikiwa"
"kawaida tu boss"
"sio kawaida buana unajua mda sana sijafanya
mapenzi yani apa ninavyoongea na wewe uku chini
pameloa naomba kidogo basi"
aliongea uku ananishika shika kichwani mda huo
mimi nimeangalia chini kwa kumwonea aibu Boss
wangu yule,nilimjibu
"hapana boss tufanye kesho"
"nipe leo buana mara moja tu sawa?"

Nilikubali kwa kutikisa kichwa yeye akaondoka
akaniacha nafunga duka na nilipomaliza nilienda
kwake nikamridhishe tu ila kuikweli sikuwa na
mzuka sana siku hiyo.Nilimkuta amejilaza
kitandani ananisubiri nguo ameshavua amejifunga
taulo.Kwa staili aliyojilaza nayo pale kitandani
mapaja na sehemu karibu na naniliu yake ilikuwa
inaonekana mda huo huo lolipop yangu inaanza
kupiga stata yenyewe.

Herieth aliponiona alikuja
akanikumbatia na kuanza kunivua nguo zangu
kimahaba uku ananisifia.
"mpenzi una kifua kizuri"
"ata wewe mzuri sana boss"
"usiniite boss tena buana mi sipendi"

Aliongea kwa kudeka uku anashika shika lolpop
yangu iliyokuwa imeshaanza kupata moto kwa
hasira iliyokuwa nayo.

Aliendelea kuishika kwa staili
kama anaikoki uku taratibu ananisogezea mdomo
hapo tukaanza kubadilishana mate uku na mimi
mikono yangu inatalii sehemu mbalimbali za mwili
wake mlaini ajabu.

Wakati tunaendelea
kubadilishana mate mkono wangu niliushusha
mpaka kwenye naniliu yake nikaanza kupapasa
kis*mi chake kwa staili kama mtu anaepiga
kinanda, Herieth alilegea akanikumbatia kwa nguvu
zaidi.

Taratibu nilimkalisha kitandani mimi nikapiga
magoti sakafuni miguu yake nikawa nimeishika
yote,Nilianza kulamba kitovu chake nikashusha
ulimi mpaka kwenye naniliu nikapitiliza kwenye
mapaja yake mda huo anajinyonga nyonga uku
anashika shika nywele zangu za kichwani.Nilirudi
pembezoni mwa naniliu yake iliyokuwa inavutia
sana nikaanza kulamba na kuibusu kimahaba.tarati
ibu niliamishia ulimi wangu kwenye ki*mi apo ndio
alichanganyikiwa akawa anahangaika sana uku
ananiambia
"baby niache kwanza nikakojoe,nataka
nikakojoe,,oooh aaah...I l..ov.e you"
Niliacha nikapanda juu mpaka kwenye maatiti
yake.Wakati nayanyonya matiti yake yaliyokuwa
yamesimama wima taratibu nilikuwa naingiza
lolipop yangu kwenye naniliu yake hivyo akawa
anahisi utamu mara mbili na hapo nikaanza kumpa
mambo taratibu mda huo bado nimesimama chini
yeye amelala kitandani magoti ameyakunja
kujielekezea.

Tulipeana dozi mpaka wote
tukaridhika.Herieth alikuwa mtamu sana ata mimi
nilishaanza kumpenda kiukweli.Tulipoangalia saa
ilikuwa saa tatu kasoro niliaga na kwenda
nyumbani sikutaka kulala kwa Herieth siku ile
ingawa alinilazimisha sana.
* * *

Siku zilienda na mapenzi yangu mimi na Herieth
yalizidi kukua siku baada ya siku,Pale kwa Bricila
nilihama Herieth alinipangishia nyumba mtaa wa
pili nikawa naishi uko ila Bricila bado alibaki kuwa
kama dada yangu na hakujua kuwa mimi na
Herieth ni wapenzi.

Siku moja ya jumapili nikiwa nyumbani
nimejipumzisha,Bricila alinipigia sim nikapokea
"hello mambo Bricila"
"safi leo kuna mahali unaenda?"
"hapana leo napumzika nyumbani"
"nilikuwa naomba unisindikize hospitali Charlz
amenipigia kuna kitu cha muhimu anataka
kuniambia sasa sijui ni kitu gani"
"ina maana mpaka leo yupo hospitali si miaka
miwili sasa tokea apate ajali?"
"yani ata mimi nimeshangaa alivyoniambia yupo
hospitali na sijui ni kitu gani anachotaka
kuniambia"
"poa ngoja nijiandae twende"

Tuliongozana mpaka hospitali kubwa na maarufu
sana mkoani mwanza,wakati tupo kwenye korido
tunaelekea kwenye wodi ya majeruhi alipolazwa
Charlz,

Nilikutana na jamaa mmoja ambae sura
yake kama nilishaona mahali,na yeye aliniangalia
sana nikajikuta nimesimama tunaangaliana uku
navuta kumbu kumbu huyu mtu nilishamuona
wapi......

itaendelea...
 
Nilambe apa~21

by Sparner boy

Ilipoishia..

Aliniangalia sana nikajikuta nimesimama
tunaangaliana uku navuta kumbu kumbu huyu mtu
nilishamuona wapi..

Endelea..

"Sparner twende acha kushangaa watu" yalikuwa
maneno ya Bricila baada ya kuona tunaangaliana
sana na yule jamaa pale kwenye korido.

Niliachana
na yule jamaa na mpaka wakati huo sikuwa
nimemkumbuka.Tuliingia wodini nikawa namfuata
Bricila ambae baada ya kuingia aliangaza uku na
kule akawa anaelekea kwenye kitanda kimoja
nikajua moja kwa moja yule aliekuwa kwenye
kitanda kile ndio Charlz,alifika akamwambia
"Vipi Charlz maendeleo yako"
"sio mazuri Bricila mwanangu yupo wapi"
"una wazimu wewe,si ulinipa ela nikatoe mimba
niliitoa mimi"
"oh my God" Charlz aliposikia mimba ilitolewa
akasema oh my God alafu akanyamaza
kimya.

Bricila alimwita dactari haraka na baada ya
vipimo akatuambia mgonjwa amepoteza fahamu
hivyo tutoke kwanza kuwapa madaktari wafanye
kazi yao.

Tulitoka ila tukashindwa kuelewa ni kwa
nini Charlz alizimia aliposikia kuwa mimba ilitolewa
wakati ni yeye alietoa ela za kuitoa mimba
ile.

Hatukuwa na jibu kwa wakati ule ila kusubiri
Charlz atakapoamka labda anaweza kutupa majibu
ya maswali yetu.

Tuliona tutafute sehemu tukae
tuagize kinywaji baridi tunywe kupoteza muda
wakati tunasubiri Charlz apate fahamu.

Wakati
tunaangaza macho kuona wapi tunaweza
kwenda,kwa mbali nilimuona yule jamaa
niliekutana nae kwenye korido kwa mbali akiwa
ameegemea jiwe moja kubwa liliokuwepo nje
kidogo maeneo ya hospital ile,nilipomwangalia
alinionyesha ishara kuwa nimfuate kule alipo
"Bricila naomba nisubiri niongee na yule jamaa"
"yule ni nani mbona kwanzia kule ndani
mnaangaliana alafu hamsemeshani"
"simkumbuki ila hii sura naijua"
"poa utanikuta kwenye ule mgahawa pale"
Bricila alinijibu uku anaionesha mgahawa uliokuwa
unaendeshwa na uongozi wa hospitali ile mimi
nikamfuata yule jamaa nikiwa na imani huenda
yeye amenikumbuka.
"vipi kaka"

"poa Spana niaje,yule ndio Shemeji mpya au sio"
"umenijuaje sikukumbuki vizuri"
"ahah...mimi Domy tulisoma shule moja ila mimi
nilikuwa kidato cha pili ulikuwa unakuja sana
darasani kwetu kumtokea Rita"
"aaaagh,pia ni wewe kuna siku ulinizuia nisiingie
darasani kwenu ukaniambia hamtaki mazoea na
form one"

"ndio mimi,ulikuja uku lini aisee au umemfuata
Rita?"

"matatizo tu,kwani Rita yupo mwanza hii?"

"haa..ninasoma nae apo St Monica sasa hivi ndio
tunaingia form six wapo wote na Anita ambae ni
pacha wake.

"ooh saafi sana sasa apa hospital umefuata nini"
"majanga yamenikuta nimemjaza upepo msichana
wa watu ndio nimemleta atoe kabla haijashtukiwa"

"pole sana yaani siamini Rita yupo mwanza
hii,huyo msichana uliempa mimba yupo wapi sasa
hivi?"

"yupo wodini mda sana apa roho mkononi"
"usihofu mambo yatakuwa poa"

Tuliongea mengi na yule jamaa yaliyoendelea
tokea nilivyoacha shule na kilichonifurahisha sana
ni kuwa nakutana na Rita tena baada ya miaka
kadhaa kupotezana.

Wakati tunaendelea kupiga
stori na Domy simu yake iliita na alipoangalia
aliniambia
"docta ndio ananipigia aisee sijui kuna nini"
"we pokea umsikilizie"
Dommy kwa waswasi
alipokea ambapo Docta alimwambia kuwa
anahitajika ofisini.Domy aliniaga akanipa na namba
zake ili nimtafute anikutanishe na Rita Pia mimi
nikampa zangu ikiwezekana ampe Rita ili
anitafute.

Domy alipoondoka nilimuona Bricila akiwa
anatembea haraka kuelekea ndani ya hosptali
ile.Nilitaka nimfuate ila nikaona achanimsubiri
huenda Charlz kuna jambo la siri anataka
kumbwambia sasa mimi nikiwepo haitakuwa vizuri.

Nilisubiri na baada ya nusu saa Bricila alitoka uku
machozi yanamlenga lenga,kitu cha kwanza
aliniambia
"twende nyumbani Sparner uku pamearibika"
"vipi tatizo nini"
"charlz aliumia vibaya sana piki piki ilim'buruza
kwenye lami uume wake umelika umebaki kipisi
alafu hana mtoto ata mmoja zaidi ya mke ambae
alimuoa siku chache kabla hajapata ajali ile"
"sasa yule mtoto atakuwa hai kweli?"

"ndio hivyo sijui nitaanzia wapi kumtafuta na
ikijulikana nilimtupa jela itanihusu,nipo njia panda"
Nilimuaga Bricila kila mtu akaelekea kwake mimi
matatizo ya Charlz wala hayakuniumiza sana
nilichokuwa nawaza ni kuhusu Rita na Anita
mapacha waliotokea kunichanganya kichwa
changu.

Ile naingia nyumbani simu yangu iliita
nilipoangalia alikuwa Domy
"domy Vipi"

"safi ila sio sana ile mimba haijatoka ila kuna dawa
amepewa ameambiwa itatoka baada ya masaa
nane sasa naomba kitu kimoja"
"kitu gani"

"naomba nimlete apo kwako tukae nae mpaka
kesho itakuwa imetoka sisi tutarudi shule"
"je akifia apa si itakuwa noma aisee hapo itakuwa
ngumu"

Dommy aliniomba sana mpaka akawa analia kwa
sababu hakuwa na namna nyingine mwisho
nikamkubalia.

Baada ya muda wakawa wamefika
nikawakaribisha Domy akanitambulisha kuwa demu
anaitwa Jude.Nilipagawa na Jude alikuwa kama
mwarabu flani na umbo la uhakika yani kwa uzuri
alikuwa mzuri haswaa,dawa alishameza ila
haikuwa imeanza kufanya kazi hivyo alikuwa
kawaida.wakati tunaendelea na stori

Herieth
alinipigia na nilipopokea akaniambia yupo njiani
anakuja amemis penzi langu...

Itaendelea
 
NILAMBE APA~22

By Sparner boy

Ilipoishia..

wakati tunaendelea na stori Herieth alinipigia
na nilipopokea akaniambia yupo njiani anakuja
amemis penzi langu...
Endelea..

Nilishtuka sana.Dommy aliligundua hilo
akaniuliza
"umeshtuka baada ya kuongea na simu kuna
nini"
"kuna mtu kaniita mahali sasa naomba
niwaache apa mimi nitarudi,fungeni mlango na
mtu yoyote akigonga msifungue wala msiitikie
sawa"
"sawa"

Niliondoka pale nikaenda gengeni nikanunua
chips mayai mbili nikawaletea,Dommy alianza
kula ila Jude hakuruhusiwa kula chochote
mpaka mimba itakapotoka.Nilifunga mlango
tayari kuondoka ila sikujua nielekee wapi mimi
sikutaka Herieth aje pale geto awakute Domy
na Jude.wakati nawaza hayo Herieth

alifika,alinikumbatia ila sikuonesha furaha na
aliligundua hilo akaniuliza
"honey mbona haupo sawa,mlango hutaki
kufungua au umepata kidem umekificha humu
ndani"
"sio hivyo,apa nawaza itakuwaje leo funguo
nimeziacha mgahawani sijui itakuwaje?"
"kwa nini hukuniambia nisijisumbue kuja uku"
"sikujua Bos nisamehe ila nitaufuatilia kesho,ni
pale kwenye mdahawa wa Hosptali"

"alafu nilishakukataza usiniite bos bana,wewe
ni mpenzi wangu au skupagi raha"Aliongea kwa
upole uku amenisogezea uso wake pua zetu
zikakaribiana kukutana,taratibu lips zetu
zikakutana tukaanza kubadilishana mate pale
pale uku mawazo yangu yote nawaza kule ndani

Domy na Jude wanavyotusikia.Baada ya
sekunde kadhaa tuliachiana,alitoa sim akapiga
na kuita bajaji ambapo baada ya dakika kadhaa
ilifika safari ya kwenda kwa Herieth ikaanza
mimi moyoni nikawa najipongeza kuwa
nimetatua lile tatizo.

Tulipofika kitu cha kwanza
Herieth alinitupa kitandani akataka tuanze
mechi nikamwambia
"baby mchana kutwa nimezunguka juani ngoja
nioge nichangamke kwanza"
"jamani nipe kidogo ndio ukaoge please au
twende wote"

Tulielekea bafuni nikaanza kumwogesha yeye,
na yeye akaniogesha uku ananipapasa sehemu
mbali mbali za mwili wangu, aliendelea ila
nikaona anaanza kugusa zile sehemu za hatari
uku anarembua macho yake kitendo
kilichofanya uzuri wake kuongezeka.

Alinishika
shika kiustadi uku analamba chuchu zangu
nilihisi raha sana ata kusimama
nilishindwa,nilimshika mkono mpaka kitandani
mimi nikalala chali akaja kwa juu na kuiset
mashine yangu kwenye utam wake na kuanza
kuikalia taratibu na mechi ikaanza uku
tunapeana mabusu ya hatari.

***
Nilikuja kushtuka asubuhi Simu yangu inaita
nilipoangalia alikuwa Domy,Nilipokea
akaniambia
"sasa tufanyaje mbona umetuacha tena"
"nakuja" nilikata sim nikaamka na kuingia
bafuni,baada ya kujimwagia maji nikatoka na
wakati namalizia kuvaa Herieth aliniambia
"unaenda wapi baby"
"kazini kumekucha mpenzi"
"hapana nipe kidogo cha asubuh buana mi
sitaki ingiza ata kidogo tu"Ni kawaida ya
Herieth ata nimgonge vipi asubuh lazima
aniambie nimpe cha kuamkia.

Nilisogea pale
kitandani nikasimama pembeni yeye akiwa
amelala akasogea nikashika miguu yake
nikaitanua kidogo mimi nikawa katikati ya
mapaja yake.nilipapasa kidogo tamuu yake
ilipolainika nikashusha siruali yangu mpaka
magotini nikachomeka mashine yangu eneo la
raha nikaanza kumpa mambo taratibu yeye
akawa ananipapasa kifua changu uku anatoa
miguno ya raha.

Nilimaliza nikaondoka pale,kazini sikwenda kitu
cha kwanza nilienda geto kwangu ambapo
nilikuta Jude ile mimba imetoka uku kapet na
baadhi ya Tisheti zangu zimetapakaa dam
nadhan Jude alitumia kujifuta.
"Vipi wazima jamani"
"wazima aisee tumefanikiwa"alijibu Dommy ila
Jude alikuwa ameangalia chini kwa
aibu.Nilimtoa Dommy pembeni nikamwonesha
bucha,hotel na duka lilipo kama wakihitaji
chochote,

Nilimuuliza kama ana pesa
akaniambia anazo mimi nikaenda
kazini.Nilifanya kazi ila nilikuwa na mawazo
sana nilihisi kitendo kilichofanyika kwangu ni
cha kinyama na Mungu ataweza
kunihukumu.

Jioni nilirudi nyumbani nikakuta
nguo zangu zimefuliwa,nyumba imeng'aa
imepangwa vizuri geto linanukia.Nilimkuta Jude
amejilaza kitandani anacheza na simu
yake,nilimsalimia
"mambo shem"
"safi karibu"
"pamependeza humu huyu jamaa yupo wapi"
"alienda shule kuangalia kinachoendelea kesho
tunarudi shule kwa sasa naendelea vizuri"
aliongea hayo Jude.kisha akaamka na kwenda
kabatini akatoa chakula na kuniwekea mezani
mimi nikawa namuangalia alivyokuwa
mzuri.Jude ni moja ya wale warembo ambao
mtoto wa kiume ukifanikiwa kuwagonga ata
dhambi zako zote unahisi umesamehewa
mbinguni yani alikuwa mzuri kila
idara.

alinikaribisha chakula nikawa nakula uku
namwangalia kiwizi wizi nae kila baada ya
sekunde kadhaa akawa ananiangalia,Niliwaza
isingekuwa ametoa mimba masaa machache
yaliyopita ningemgonga,aliniambia
"shem wewe una roho nzuri sana"
"asante,kawaida kusaidiana"
tulipiga stori mpaka saa tatu na nusu Dommy
hakutokea na kila tukimpiga sim akawa
anasema yupo njiani.

Wakati naendelea kupiga
stori na Jude simu yangu iliita namba mpya
kupokea nikasikia
"we mwanaume upo jamani?me Rita Dommy
amenipa namba zako"
"ata siamini Rita upo"

"nipo Sparner nimekumis sana naomba
tuonane jumamosi nitatoroka"
Nifurah ila nilishangaa kumwona Jude analia

kwa kwikwi....

Itaendelea
 
NILAMBE APA 23

ILIPOISHIA...

"we mwanaume upo jamani?me Rita Dommy
amenipa namba zako"
"ata siamini Rita upo"
"nipo Sparner nimekumis sana naomba tuonane
jumamosi nitatoroka"

Nilifurah ila nilipokata simu nilishangaa kumwona
Jude analia kwa kwikwi..
Endelea..

"Jude vipi"
"angalia Domy meseji aliyonitumia,hatakuja leo na
nisimulize kwa nini,leo amekuwa wa kuniambia
maneno hayo?"

Alianza kulia mi nikawa nambembeleza mpaka
akatulia uku ameniegemea kifuani kwa mda ule
mtu angetokea angesema sisi ni wapenzi kumbe
mtu na shemeji yake.

Nilivunja ukimya kwa
kumuuliza
"wazazi wako wote ni watanzania?"
"baba msomali mama ndio mtanzania kwa nini
umeniuliza swali hilo?"
"hizi nywele na uweupe wako inaonesha tu"

Aliinua macho akaniangalia,kisha akarudi
kuniegemea kama mwanzo,macho yake pia
yalinichanganya yalikuwa kama gololi alafu
meupee,Nilianza kumtamani kimoyo moyo
nikasema shindwa pepo kwa sababu hisia za
kumgonga zilishaanza kunitawala.

Alipitiwa na
usingingizi pale pale kifuani taratibu nikamlaza
kitandani mimi nikaamia kwenye sofa tayari
kuutafuta usingizi.

Asubuhi niliamka nikakuta tayari
Jude ameamka na chai ya nguvu ameshaandaa
mezani.

Nilifurah sana mimi sikuzoea kunywa chai
nyumbani.Nilijiandaa nikakaa mezani tukapata chai
pamoja.Nilimkabidhi Jude elfu 20 kwa ajili ya
matumizi madogo madogo ya pale geto.

Alikataa
akaniambia
"usihofu shem ninazo bado ila zikiniishia
nitakuambia"
Nilikaa na Jude wiki nzima bila Domy
kutokea,nilijitahidi kumfariji kuwa Domy
anampenda.Kwa mbali nilishaanza kumtamani
Jude kimapenzi ila namna ya kuanza kumwambia
ndio ilikuwa ngumu ukizingatia siku chache
zilizopita ametoa mimba nilijua bado atakuwa
anaogopa dudu,ni sawa mtu ung'atwe na nyoka
alafu umuone tena nyoka anaefanana na yule
aliekuuma lazima utoke nduki.

Siku moja usiku
wakati tunajiandaa kulala aliniambia
"sparner kesho narudi shule nashukuru sana ila
Dommy sitaki ata kumuona"
"msamehe tu Shem siunajua..."
"nooo,ata usimalizie sitaki kusikia chochote,pia
sitaki uniite Shem niite Jude"

Alikuwa na hasira
wala sikutaka kubishana nae mimi nikavuta shuka
tayari kuutafuta usingizi pale sofani yeye akiwa
kitandani.

Wakati usingizi unaanza kunijia kwa mbali Jude
alikuja na kuanza kuniamsha,
"Spana,spana amkaa"
"kuna nini tena"
"kuna kitu cha baridi kimenipitia nimeshtuka nahisi
ni nyoka"

Niliamka baada ya kusikia nyoka nikazima taa ya
mwanga mdogo nikawasha ya mwanga
mkali,nikamuuliza
"wapi"
"pale kitandani ila sijui kama ni nyoka mimi
nimehis tu kitu cha baridi kinanipitia,silali peke
yangu tena bora tulale wote apa sofani"
aliongea kuwa kudeka uku amening'ng'ania kiuoga
chuchu zake zikawa zinanichoma choma kifuani na
lile joto alilokuwa nalo hali yangu ilianza kuwa
mbaya.hamu ya kufanya mapenzi ilizidi nafsi
yangu nikamwambia
"tuamie kitandani Jude,sofa haitoshi kulala wawili"
Niliamia kitandani,kwa kuwa shuka langu niliacha
pale sofani tukajifunika shuka moja ila akawa
amenigeuzia mgongo,Mashine yangu ilianza
kusumbua sana nikawa narudi nyuma isimguse ili
asinishtukie.

Sasa kila nikirudi nyuma nae akawa
ananifuata mwisho nikafika ukutani,Alinigeukia
tukawa tunaangaliana,akanyanyua mguu mmoja
akaniwekea juu ya miguu yangu hivyo mimi
nikawa kati kati ya miguu yake na pipii yangu na
utam wake zikagusana,ingawa yangu ilikuwa ndani
ya bukta kuna raha niliskia kwani yeye hakuwa
amevaa kitu zaidi ya kanga moja aliyokuwa
amejifunga.

Pumzi zake zilianza kubadilika mimi
taratibu nikavua bukta na kuitupa pembeni,Aliniso
gelea akijua bado nimevaa bukta,Alishtuka baada
ya pipii yangu kuingia kwake nusu,alitulia kwa
sekunde kadhaa kisha akaniuliza
"una condom"
"sina Jude unajiskiaje"
"tamu ila naomba usimwagie ndani please"aliongea
kimahaba uku anajisogeza nilipo kitendo
kilichofanya lolipop yangu kuendelea kuingia kwake
taratibu.

Nilitupa lile shuka nikaja kwa juu
nikamweka vizuri dozi ikaanza uku analalamika
nisimwagie ndani.
Asubuh wakati tunakunywa chai aliniaga anarudi
shule ila atakuja kunisalimia,

Nilihuzunika ila
sikuwa na cha kufanya,Jude alinikaa sana kwenye
akili yangu kuliko wasichana wote niliowah
kutembea nao.

* * *
Jumamosi ilifika ambapo ndio siku yangu ya mimi
na Rita kuonana.Nilifanya kazi mpaka saa 7
mchana nikampigia Herieth nikamwambia kuwa
sijiskii vizuri nataka kwenda hosptali,aliniambia
"pole mpenzi kama huna ela chukua laki moja apo
alafu andika badae nikupe urudishie hapo"
"sawa mpenzi"

Nilifika sehemu tuliyopanga tuonane ambapo
ilikuwa kwenye mgahawa maarufu uliokuwepo
pembezoni mwa ziwa victoria.

Rita aliponiona
alinikimbilia na kunirukia kidogo aniangushe uku
anapiga mabusu yasio na idadi
"hubby umekuwa mzuri jamani"
"ata wewe bebi umekuwa mzuri mpaka naogopa"
"haa..ila nikuambie kitu,mimi sio Rita mimi ni
Anita"

"nini?"

Pale pale alitokea mwingine,safari hii walizidi
kufanana kwa kila kitu na mpaka pale nikawa
nimechanganyikiwa
"jamani Rita ndio yupi acheni utani"
"chagua apa Rita wako,humjui mpenzi wako we

vipi?""

mmoja aliongea akionekana kukasirika kwa kiasi
flani.

Itaendea..
 
NILAMBE APA~24

by sparner boy

ilipoishia..

"chagua apa Rita wako,humjui mpenzi wako we
vipi?""
mmoja aliongea akionekana kukasirika kwa
kiasi flani.
Endelea..

Niliangalia kwa makini,nikakumbuka Anita
huwa ni mpole pia mwenye aibu flani tofauti
na Rita ambae huwa ni muongeaji sana ila
wakati wa kuraruana Rita huwa mpole Anita
pale huwa mchangamfu na mchezo wake ni wa
uhakika.

Kwa vigezo hivyo nikagundua kuwa
yule anaeongea sana ndio Rita mwenyewe,kweli
nilipatia akaja na kunikumbatia nikamshika
kiuno tukaingia ndani wote watatu.

Watu
walikuwa wanashangaa sana kwa jinsi Rita na
Anita wanavyofanana,tuliingia ndani wao
wakaagiza bia aina ya Savana mimi nikaagiza
Juice ya pasion kwa sababu pombe sikuwahi
kutumia.

Rita aliniambia
"hubby ndio nini sasa si uagize kama hii"
"mimi pombe situmiagi"
"hii sio pombe haileweshi bia ndio
inalewesha,wee dada rudisha hii juice mletee
Savana tafadhali"

Mhudumu alifanya hivyo tukaanza
kunywa,Tuliagiza na kuku wawili tukawa
tunakula uku tunapiga stor za apa na
pale.

Wakati tunapiga story kuna baba mmoja
alikuwa anatuangalia sana mda mrefu na
nilishamgundua,kidogo nilianza kuwa na
wasiwasi na yule baba ila sikuwaambia akina
Rita.

Mwisho niliamua sasa kumwangalia kama
alivyokuwa anatuangalia yeye,tuliangaliana kwa
sekunde kadhaa akanionyesha ishara kuwa
nimfuate.

Niliamka ila nikajikuta ninayumba
nilishangaa nikawauliza akina Rita
"mbona ninayumba mmenipa pombe ee"

"haha;;;savana mbili unayumba kweli wewe
kichwa cha panzi"

ata kuongea nilikuwa naongea tofauti ulimi

wangu niliona kama umekuwa mzito.Sikutaka
kubishana nao nikamfuata yule baba nisikie
ananiambia nini, nilipomkaribia akishuka
kwenye stuli ndefu aliyokuwa amekalia akaanza
kupiga hatua kuelekea nisipopajua,

Kumbe
alikuwa anaelekea msalani na tulipofika
aliniuliza
"kijana wale warembo wazuri vile umewatoa
wapi alafu kama mapacha vile"
"ndio ni mapacha na aliekaa upande wa
kushoto ni mpenzi wangu"

"yupi ndio wa kwako kwa sababu nmewapenda
sana"

"aliekaa kushoto ndio wa kwangu kwani
unatakaje"

"naomba nikija kuomba nikae na nyie
unikubalie,pia usilewe sana utaibiwa warembo
wako"

Nilirudi kwenye meza yetu nikaendelea kunywa
ila nikawa nimemdanganya yule baba kuwa
aliekaa kushoto ndio mpenzi wangu wakati
aliekaa kulia ndio Rita ambae ni mpenzi wangu
lengo langu nilitaka amchokoze Rita ili
akomeshwe kwani Anita ni mpole asingeweza
kuongea chochote.

Nilirudi mda huo nimeanza
kuona marue rue pombe ilishapanda kichwani
haswa.Baada ya muda yule baba alikuja
akaomba kukaa kwenye meza yetu
tukamkaribisha,baada ya kukaa alianza kuagiza
vinywaji kwa fujo tukawa tunakunywa uku
anajisifia sana kuwa yeye ana pesa
"apa kunyweni mimi nipo hamna shida na
mrembo leo si nitaondoka na wewe"aliongea
kwa mbwembwe na kumgeukia Rita akamjibu
"uondoke na mimi kwenda wapi"

"tukapeane raha ntakulipaa..ntakulipaa"
"we mshenzi humuoni mpenzi wangu apa huna
adabu baba lizima lione"

"huyu sio wako ni wa huyu apa,wewe huna
mtu usikatae shida ni nini"alizidi kuongea baba
yule kilevi,Rita aliinua chupa kwa lengo la
kumpasua yule baba ila nikawahi kumzuia kabla
hajafanya hivyo,

Walikuja walinzi wa pale
wakamtoa yule baba kwenye meza yetu
tukabaki kama mwanzo ila hatukukaa sana kwa
sababu mda ulikuwa umeenda sana inakimbilia
saa 6 usiku.

Rita aliniuliza
"kwani ni mbali sana"
"wapi"
"kwako"
"mnataka kwenda kwangu ni mbali ila sio sana"
"haha;;;huby buana sasa unadhani tutaenda
wapi saa hizi hostel nani atatufungulia"

Aliongea hayo Rita kwa sauti ya pombe,mimi
ndio kabisa nilikuwa sijiwezi walikuwa
wamenishika nisianguke.

Tulikodi tax mpaka
nyumbani kwangu.
Niliingia ndani na kujitupa kitandani wakati
huo Rita na Anita nikawaacha wanapunguza
nguo kwa ajili ya kulala,Rita alivua akabaki na
chupi ya pink iliyokuwa inaendana na kibana
matiti au wanaita brazia kisha akapanda
kitandani na kuniambia
"hubby unalala na Viatu mmh"

"hizi pombe mlizonipa mmenilewesha sana"
"utazoea mpenzi usihofu sawa ee"
"sawa ila nimelewa apa naona kitanda
kinazunguka"

"mmh..lolipop yangu hujampa mtu kweli"
"hapana"
"nitajua tu ukiniingizia nitajua kama umempa
mtu"
Aliongea uku ameshanivua suruali na boxer
ndio alikuwa anamaliza kuivua mini sikuweza
kufurukuta kwa ulevi.Alisogeza mdomo wake
mpaka kwenye Lilipop yangu akaanza
kuinyonya,nilifumba macho kwa raha niliokuwa
nasikia ata zile pombe zilianza kukata kwani

Rita alikuwa anatumia ufundi wa hali ya juu ata
sijui alijifunza wapi,wakati nimefumba macho
kwa raha,nilihisi napapaswa uku napigwa
mabusu kifuani,Nilijiuliza ina maana Rita ana
midomo miwili moja kwenye muwa wangu na
hii inayonyonya chuchu zangu ni ipi,Nilifumbua
macho nikakutana na Anita.

Nilitaka kuamka
kwa mshtuko ila akanishikia shingo
chini,taratiibu akawa ananisogezea mdomo ili
tuanze kubadilishana mate.Kiukweli sikuwa
tayari nilianza ubishi,Anita hakuongea aliinuka
akavua ile brazia yake macho yangu yakatua
kwenye Chuchu zake zilizokuwa zimesimama
vizuri,kwa upande wa pili Rita alikuwa
ananyonya chuchu zangu uku anavua chupi
yake taratibu....

N:B......Itaendelea Mwakani tuombe uzima
 
Back
Top Bottom