Riwaya:Mtuhumiwa

Kabla ya kuanza kusoma imebidi niangalie mwenendo ukoje,urosto sio poa
 
Nimepitia kona nyingi hii Riwaya inaishia episode 48 nafikiri mpka tupate kitabu chake tu
 
Mwandishi huyu ana Riwaya nyingine inaitwa Mkimbizi aiese uchoki kusoma
 
Anatunyanyasa sana
Hiyo riwaya ina kibali cha kuiuza na kuisambaza, ukiileta huku uwe na kibali la si hivyo ukishtakiwa na ukatiwa ndani itakutoka si chini ya milioni tano.

Mwandishi wa riwaya hiyo alipenda sana kuandika mitandaoni humu, ndiyo maana alifungua ukurasa facebook wenye kuitwa Kona Ya Riwaya. Tena watu wakawa wanajisomea bure kwa siku riwaya tatu tofauti.

Ila hamu ya kuwafanyia watu wema huo tena halipai ulimwisha, akaacha kupost. Chanzo kikiwa ni watu kama mleta huu uzi, anaicopy na kuileta humu au mitandao mingine ilihali hairuhusiwi. Wengine hadi wanauza kabisa, mwishowe mwandishi akaacha kupost riwaya zake. Anaharibu kazi za watu, aandike yake na kuipost aachane na kazi za watu

Huyu mtoa post pia hana yote hii riwaya, ndiyo maana anajifanya maringo akijua pa kupost kumeisha sasa anatafuta sababu ilimradi aache. Na hata kama anayo ataishia jela huyu akifuatiluwa,
 
Mimi ni mwanachama wa UWARIDI pia ni mwandishi wa ndani ya UWARIDI. Ninaongea ninachokijua, usitetee uozo wa huyo jamaa kwa usichokijua. Hiyo screenshot ni Hussein Tuwa mwenyewe wakati namwambia kuhusu uzi huu, nadhani umeona alichokiandika hapo.

Usijifanye unajua kuongea sana ilihali humo ndani ya UWARIDI, jana mwenyewe kasema alushakataza. Maana yake mmiliki akishakataa huna mamlaka ya kuipeleka popote, hata kuiona bure mtandaoni. Hiyo ni intellectual property ina copyright, mwenye kuruhusu ni mwenye hiyo hakimiliki. Keshakataa sasa, unalazimisha nini?

Hakuna kupost kuanzia sehemu ya 49 ndiyo ruhusa wala nini, keshakataa.

 
Tangu jana ulipoweka post hii sikutaka kukujibu nikasubir labda IAmShedeOne atajitokeza ila naona kimya basi nakupa mfano wa hii screensho kutoka pm kwangu
Siku nyingine acha kubwabwaja kitu Usichokijua, eti mwanachama wa Uwaridi katiba umeisoma hadi uje kubwabwaja hayo?
Yaani unajipindisha taratibu mbele yangu mimi niliyepo ndani ya Uwaridi, siku nyingine usiongee usichokijua
 
Heshima ungeichunga kwa kukaa kimya na kuacha usichokijua na si kuja kuongea mambo ambayo huna ujuzi nayo humu.

Kuwa Uwaridi sijasema ni sifa, nimejitaja baada ya kusema wewe upo humo na ni mwanachama. Maana yake umesajiliwa, huwezi kuwa mwanachama bila usajili. Kibaya zaidi wewe unayejinadi mwanachama unaonesha hujui lolote kuhusu umoja ule, laiti usingeingilia usipopajua basi usingejua mimi ni mwandishi mmojawapo aliyepo ndani ya Uwaridi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…