Jaribu kuangalia tangu nimeanzisha thread mpaka leo ni miezi mingapi imepita then reconcile with your statementBaada ya miez 2 ndo atarudi ila shukrani
Ni maono yanguJaribu kuangalia tangu nimeanzisha thread mpaka leo ni miezi mingapi imepita then reconcile with your statement
Nafikiri hili tifu lilishakuwa zilipendwa.Au bado linaendelea?Wee jamaa unayepost hii hadithi bahat yako ndani ya Wiki hii nimempokea na Kumkiri Yesu, la sivyo ningehakikisha nakupata na zawad ningeyokupatia ungemwonyesha hadi mtoto wa mjukuu wako. Huwe niita mm GEI
Ningependa mwana saikolojia apitie hii picha hlf anene kinagaubagaWee jamaa unayepost hii hadithi bahat yako ndani ya Wiki hii nimempokea na Kumkiri Yesu, la sivyo ningehakikisha nakupata na zawad ningeyokupatia ungemwonyesha hadi mtoto wa mjukuu wako. Huwe niita mm GEI
Kwani ina shida ganii...?Ningependa mwana saikolojia apitie hii picha hlf anene kinagaubaga