Kwani Anayebaki Na Risiti Ni Mteja Au Muuzaji? Unapofanya Transaction Kutumia Efd Hesabu Zinajirekodi Tra. Kingine Ni Kuwa Tra Hufanya Makadirio Na Wewe Unaanza Kulipa Instantly Kwa Awamu, Hivyo Mahesabu Yako Mwisho Wa Mwaka Yanakuja Kuoanishwa Na Makadirio.[/Q
Mkuu unaonekana hujaelewa swala la kukosea. Mtu akikosea recording inakuwa tayar na hivyo kuleta utata kwa mtu aliye uza 10,000 badala ya 100,000. Means mwisho wa mwaka TRA wanakuja ku calculate 100,000 badala ya 10,000. Inamaanasha kwa kutumia EFD hakuna human error