I stand to be corrected!!!!Rished akisaidiana na Waziri na mkenya mmoja akiitwa Tirus Mwithiga walikwapua vibaya sana kwenye mradi waexpansion ya barclays mpaka wakaondolewa. Rished akapelekwa Kenya na kuundiwa nafasi ambayo kimsingi hakukuwa na mtu hata mmoja chini yake. So akarudi nchini ndio wakawa wanamtafutia kazi.Mwanzo alikuwa apewe CEO wa PSPF, lakini baada ya kuona Muislam anaekaimu ametosha ndio wakaamua wamuweke hapo.
Katika expansion yao waliajili wadada vimeo wasio na vyeti kwa kiwango cha ajabu na ndio ukawa mwanzo wa kuanguka kwa barclays....mfano wa mtu alieajiriwa ni enzi hizo ni mbunge wa viti maalumu wa Arusha anaeitwa Catyherine Magige ambaye hata jina analotumia sio lake baada ya kufeli form four.
Huyu ni kiongozi dhaifu na hasiefaa....just wait time will tell.