Rished Bade kumsaidia Kitillya TRA

ulipoandika hii comment hukujua ambacho kingejir 2015 kwel tujue kuweka akiba ya maneno

huyu janjaweed kama mtabiri comment ya 2012 imekuja kuwa kweli 2015, kweli yatupasa kuwa na akiba ya maneno. big up Janjaweed.
 

Duuh! Mkuu ulitabiri hayo...
 
Hivi Rashid Bade kasoma shule zipi bongo msingi, upili na university ???
 

Rushwa na ufisadi umekuwa fani zaidi kwake kwa kushindwa kazi na hata kufanyia kazi anayoyajua kama ya kontena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…