Rise and Fall of Cynthia & Richard Mziray

Status
Not open for further replies.
Walikuja na mabillions ya shilling,mbona wamespend mda mchache sana? Walikuja na magari ya maana kama 6 hivi,vogue mbili,benz mbili,na migari ya kimarekani kama miwili hivi la silver na jeupe,hata kama wameuza wangeendelea kutesa hata kwa miaka mitano hivi,mbona wamefilisika ghafla tu,yaani ndani ya mwaka m1 tu chali?

Tatizo pesa inatakiwa kuzunguka sio kukaa tu.kwanza ushuru wa kumiliki hizo ndinga ni balaa.pia show off zikizidi lazma upate tabu haswa kama huna chanzo stable cha mapato.ushawahi kuona wale matajiri wa Arusha wanaingia bar na kugawa ofa kipumbavu?!jibu ni hapana mpaka walimwengu wanaanza kuwakashfu kuwa pesa zao ni.za uganga kumbe wale wanajua ukiwa milionea unatakiwa uwe bahili ili uendelee kuwa juu.pole yao
 
Huyo Cynthia anatumia jina gani instaglam? Au mwenye namba zake? Labda naweza kuambulia chochot e kitu?
 
Kumbukumbu zangu zinanituma kuna thread humu kwamba jamaa sasa hivi yupo kwenye kipub moja mjini kazi yake kuosha sahani na kufukuza nzi mezani
 
Hawa jamaa walitisha kwakweli naskia walikua wame rent mbezi dola elf 5 kwa mwezi nliskiaga wamehamia mwanza kipindi flani
 
attachment.php


Akon
Dah! Kweli mmatumbi ni mmatumbi tu, yaani hapo mnyamwez akon anaonekana kama NGEDERE. Hahahaaaa! (Just kidding).
 
Umofia kwenu wana JF,
Miaka ya 2006/2007 jina la Cynthia Masasi lilipata chati sana kwenye blog za bongo hasa alipoanza kuonekana kwenye video za wanamziki wa mtoni.

Video queen huyo jina lake lilizidi kuwa juu baada ya kuanzisha uhusiano na mtoto wa mjini Richard Mziray walipokutana huko ,Houston Texas.

Majina ya wawili hayo yalikuwa juu sana kwa hapa bongo mwaka 2012 baada ya kurudi mazima na mamilioni ya dolari na mandinga hadi kina Bakhersa na Davis Mosha wanasubiri,kuanzia 2013 mwishoni mpaka 2015 hii siwasikii kabisa,mandinga yenye plate number za Houston--Richard siyaoni Town kabisa,hawa jamaa wamebugi wapi mpaka wakadondokea pua?

Nini hasa chanzo cha kufulia kwa hawa wadau?

Wako under the radar! Mi namfollow Cynthia Insta, bado anajimwaga kwenye jiswimming pool la nje kwake. Ujue ukiwa juu ya radar mara nyingi huwezi kufanya la maana, kidogo umewekwa mtu kati. Mfano Mrs Sembe, kindoa kidogo matangazo mengiiiiii, miaka 2 mingi ashapigwa mtungo, vihela vyote kwishaaaaa. Bongo watu nuksiiii. Watakaa under the radar kama hivo, then watakuja kufanya kufuru moja, na kurudi under the radar.
 
Do you my ninja.

And stop snooping so much about other peoples lives.

Lest you wont find time to live your own.

Schadenfreude is the high end of malice.
 
Tatizo pesa inatakiwa kuzunguka sio kukaa tu.kwanza ushuru wa kumiliki hizo ndinga ni balaa.pia show off zikizidi lazma upate tabu haswa kama huna chanzo stable cha mapato.ushawahi kuona wale matajiri wa Arusha wanaingia bar na kugawa ofa kipumbavu?!jibu ni hapana mpaka walimwengu wanaanza kuwakashfu kuwa pesa zao ni.za uganga kumbe wale wanajua ukiwa milionea unatakiwa uwe bahili ili uendelee kuwa juu.pole yao

Ngoja nikusahihishe mkuu ubahili ni sifa ya maskini maana ubahiri ni kujibana bana sana, sifa za milionea ni kwamba kama unatumia milioni hakikisha umeingiza zaidi ya milioni 1..i.e umeingiza milioni 3 unatumia milioni moja ubahiri ni kuingiza milioni 3 na kutumia elfu 60 kwa kifupi kama unafanya expense hakikisha una asset ya kucover hiyo expense...
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom