stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,750
Tafuta threads zake humu zipo nyingi tu.
Walikuja na mabillions ya shilling,mbona wamespend mda mchache sana? Walikuja na magari ya maana kama 6 hivi,vogue mbili,benz mbili,na migari ya kimarekani kama miwili hivi la silver na jeupe,hata kama wameuza wangeendelea kutesa hata kwa miaka mitano hivi,mbona wamefilisika ghafla tu,yaani ndani ya mwaka m1 tu chali?
Dah! Kweli mmatumbi ni mmatumbi tu, yaani hapo mnyamwez akon anaonekana kama NGEDERE. Hahahaaaa! (Just kidding).
Akon
Nipo ati.....
Ila naingia kiduchu kiduchu
utazame na pm basi
Umofia kwenu wana JF,
Miaka ya 2006/2007 jina la Cynthia Masasi lilipata chati sana kwenye blog za bongo hasa alipoanza kuonekana kwenye video za wanamziki wa mtoni.
Video queen huyo jina lake lilizidi kuwa juu baada ya kuanzisha uhusiano na mtoto wa mjini Richard Mziray walipokutana huko ,Houston Texas.
Majina ya wawili hayo yalikuwa juu sana kwa hapa bongo mwaka 2012 baada ya kurudi mazima na mamilioni ya dolari na mandinga hadi kina Bakhersa na Davis Mosha wanasubiri,kuanzia 2013 mwishoni mpaka 2015 hii siwasikii kabisa,mandinga yenye plate number za Houston--Richard siyaoni Town kabisa,hawa jamaa wamebugi wapi mpaka wakadondokea pua?
Nini hasa chanzo cha kufulia kwa hawa wadau?
Wewe ndo ulikuwa treasurer wao?!!
Tatizo pesa inatakiwa kuzunguka sio kukaa tu.kwanza ushuru wa kumiliki hizo ndinga ni balaa.pia show off zikizidi lazma upate tabu haswa kama huna chanzo stable cha mapato.ushawahi kuona wale matajiri wa Arusha wanaingia bar na kugawa ofa kipumbavu?!jibu ni hapana mpaka walimwengu wanaanza kuwakashfu kuwa pesa zao ni.za uganga kumbe wale wanajua ukiwa milionea unatakiwa uwe bahili ili uendelee kuwa juu.pole yao
jamaa anakeraga huyu