Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,437
- 113,445
Wanabodi,
Hii ni Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, CAG-Ludovick Utouh.
Niko kwenye chumba cha press conference ya Bunge, ambapo CAG, Ludovock Utouh anaitangaza rasmi ripoti yake kwa waandishi wa habari.
Pamoja na Utouh, ni wale wenyeviti wa oversight commitee, PAC, Mhe.John Cheyo, LGAC -Mhe. Lyatonga Mrema na POAC, Mhe. Zitto Kabwe.
Tuendelee...
Hii ni Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, CAG-Ludovick Utouh.
Niko kwenye chumba cha press conference ya Bunge, ambapo CAG, Ludovock Utouh anaitangaza rasmi ripoti yake kwa waandishi wa habari.
Pamoja na Utouh, ni wale wenyeviti wa oversight commitee, PAC, Mhe.John Cheyo, LGAC -Mhe. Lyatonga Mrema na POAC, Mhe. Zitto Kabwe.
Tuendelee...