Wadau kama taarifa hii ilishatolewa/kuwekwa wazi huenda mie sikuiona.
Waliopewa dhamana hii kwa wiki 2 nadhani ni miezi sasa imepita! Je? Nini kimeikumba timu hii au posho ya mkao ilishapita kama ilivyo desturi za kamati! Mheshimiwa Waziri Mkuu na Mkuu wa Mkoa tuwaombeni kujulishwa hili na huko ndiko kuwajibika kwa wananchi wenu.
Tanzania isiendelee kwa shamba la bibi!!.
Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
Waliopewa dhamana hii kwa wiki 2 nadhani ni miezi sasa imepita! Je? Nini kimeikumba timu hii au posho ya mkao ilishapita kama ilivyo desturi za kamati! Mheshimiwa Waziri Mkuu na Mkuu wa Mkoa tuwaombeni kujulishwa hili na huko ndiko kuwajibika kwa wananchi wenu.
Tanzania isiendelee kwa shamba la bibi!!.
Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app