Ni kweli kabisa wanaJF, mi ni mkazi wa arumeru kwa hiyo hizo sababu ni za kweli kabisa. Na pia mgombea wa CCM hakuwa mkazi wa arumeru. Kuna sababu zingine pia nyingi.
Iliyoniacha hai ni pale jamaa walipokuwa wanamlazimisha kupunga mkono... Duh kumbe nayo hiyo inaongeza kura na credibility...?
Kuanzia now ntakuwa nawapungia watu njiani.
Usiri wa hii ripoti mbona siuoni hivi bado magamba wanaendelea kufikiria kwa tumbo namna hii asalale au ni yule jamaa wa utawala bora sijui kitu gani wa kule bunda kawashauri waandike ni siri? ndo maana miaka hamsini imepita tupo hapa tulipo
Magamba wanatia huruma kweli, mbunge kaisha patikana, kaapishwa na tayari kashapangiwa majukumu wao bado tu wanatafakari kwanini walishindwa! Hawana mengine ya kufanya? Watatafuta mchawi mpaka lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.