wakosoaji wa vibaraka wa wezi?Kinachotakiwa ni kuleta maendeleo na siyo kutuonyesha vile mnavyokomoa wakosoaji wa serikali
Sasa unawasilisha nini?? report kwani wewe ndo Mwenyekiti wa kamati....Du nilukuwa sijaangalia profile pic yako...Nafahamu elimu ya jamaa uliyeweka picha yake..inawezekana na wewe elimu yako inafanana na ya kwake tofoati kati yake na wewe ni kwamba yeye (Marehemu) alikuwa na elaaa...wewe ni kada tu. huna kitu...Amani ya bwana iwe nanyi wakubwa wa jukwaa hili kina iparamasa na genge lako
Ni ukweli usioacha shaka kuwa sasa ile kampun ya kinyonyaji ya acacia wameanza kutapa tapa yaan hawajielewi, kila siku wanakuja na matamko mapya hiyo yote ni baada ya mbinu yao ya kumuhonga rais kukwama, na kukimbilia kwenda kumuhonga yule mtetea mafisad maarufu africa mashariki na kati Tundu Lissu
Kamat ya pili iliyoundwa kuja na suluhisho kamili ambayo itakabidh riport yake hapo week ijayo kwa ngosha inaenda kumuacha uchi bila taulo mnafiki Lissu na genge lake la kutetea mafisadi ambalo lilihongwa na wakwepa kodi wa ACACIA.
Unafiki wa Lissu kujulikana hapo wiki ijayo
Nawasilisha karibuni
toka lini kipofu akaona?sijawahi ona mwanasheria mnafiki kama Lissu
Binadamu wanafiki wapo CCMNadhani watu hawajamuelewa Lissu. siyo kwamba anawatetea acacia. Lissu amesimama kwenye mikataba zaidi. Kuzuia mchanga bila kudeal na mikataba haitatusaidia sana na mfano mzuri ni sakata la IPTL na yule mhindi sethi. Tena siku hizi hasikiki kabisa baada ya kuchota ile mihela na TANESCO wameachwa solemba. Ile benki iliyowakopesha IPTL hela za kuinvest hapa kwetu inaidai TANESCO walipe hilo deni wakati TANESCO hela walishazipeleka benki kuu kwenye ESCROW account (zisitumike hadi hapo utata wa capacity charges utakapopata ufumbuzi), na wajanja wakazichota. Lissu kasimamia mikataba zaidi. Tatizo la Lissu ni jinsi anavyowasilisha hiyo mada yake kwa hasira etc na inaonekana kama yuko upande wa acacia. Kwanza suala hili la wizi wa madini halijaanza leo. Wapinzani wamepiga kelele sana kuhusu ubovu wa mikataba inayosababisha tuibiwe. Wabunge wa upande mwingine waliwabeza na kukejeli sana. Leo wanajifanya kushituka kuwa tunaibiwa na wanawakebehi waliolianzisha suala hili miaka mingi sana juu ya ubovu wa mikataba inayosababisha tuibiwe. Leo walioandaa hiyo mikataba tunawaona wazuri na walioipigia kelele tunawaona wezi (na wanendelea kuipigia kelele) .
Mmeshamaliza kuipika?Amani ya bwana iwe nanyi wakubwa wa jukwaa hili kina iparamasa na genge lako
Ni ukweli usioacha shaka kuwa sasa ile kampun ya kinyonyaji ya acacia wameanza kutapa tapa yaan hawajielewi, kila siku wanakuja na matamko mapya hiyo yote ni baada ya mbinu yao ya kumuhonga rais kukwama, na kukimbilia kwenda kumuhonga yule mtetea mafisad maarufu africa mashariki na kati Tundu Lissu
Kamat ya pili iliyoundwa kuja na suluhisho kamili ambayo itakabidh riport yake hapo week ijayo kwa ngosha inaenda kumuacha uchi bila taulo mnafiki Lissu na genge lake la kutetea mafisadi ambalo lilihongwa na wakwepa kodi wa ACACIA.
Unafiki wa Lissu kujulikana hapo wiki ijayo
Nawasilisha karibuni
Kumbe hii mikataba mibovu ilipitishwa kipindi kile CHADEMA ipo madarakani
Amani ya bwana iwe nanyi wakubwa wa jukwaa hili kina iparamasa na genge lako
Ni ukweli usioacha shaka kuwa sasa ile kampun ya kinyonyaji ya acacia wameanza kutapa tapa yaan hawajielewi, kila siku wanakuja na matamko mapya hiyo yote ni baada ya mbinu yao ya kumuhonga rais kukwama, na kukimbilia kwenda kumuhonga yule mtetea mafisad maarufu africa mashariki na kati Tundu Lissu
Kamat ya pili iliyoundwa kuja na suluhisho kamili ambayo itakabidh riport yake hapo week ijayo kwa ngosha inaenda kumuacha uchi bila taulo mnafiki Lissu na genge lake la kutetea mafisadi ambalo
lilihongwa na wakwepa kodi wa ACACIA.
Unafiki wa Lissu kujulikana hapo wiki ijayo
Nawasilisha karibuni
Lisu hajatetea mtu wala Acacia bali kafafanua jinsi CCM walivyobariki kuibibwa Taifa kwa kupitisha sheria mbaya na mikataba mibovu, kwa Akili zalo Lizaboni usitegemee Lisu kupata chochote kwani yy hajamtetea mtu zaidi ya kusimama kwenye mikataba iliyopitishwa na CCM.Amani ya bwana iwe nanyi wakubwa wa jukwaa hili kina iparamasa na genge lako
Ni ukweli usioacha shaka kuwa sasa ile kampun ya kinyonyaji ya acacia wameanza kutapa tapa yaan hawajielewi, kila siku wanakuja na matamko mapya hiyo yote ni baada ya mbinu yao ya kumuhonga rais kukwama, na kukimbilia kwenda kumuhonga yule mtetea mafisad maarufu africa mashariki na kati Tundu Lissu
Kamat ya pili iliyoundwa kuja na suluhisho kamili ambayo itakabidh riport yake hapo week ijayo kwa ngosha inaenda kumuacha uchi bila taulo mnafiki Lissu na genge lake la kutetea mafisadi ambalo lilihongwa na wakwepa kodi wa ACACIA.
Unafiki wa Lissu kujulikana hapo wiki ijayo
Nawasilisha karibuni
Mbona unaandika ukiwa na hasira? Matusi ya nini? Kwanza sijaona mahali ambapo Lisu amewatetea acacia. Lisu alikuwa akielezea taratibu za kisheria kuhusiana na mikataba.Amani ya bwana iwe nanyi wakubwa wa jukwaa hili kina iparamasa na genge lako
Ni ukweli usioacha shaka kuwa sasa ile kampun ya kinyonyaji ya acacia wameanza kutapa tapa yaan hawajielewi, kila siku wanakuja na matamko mapya hiyo yote ni baada ya mbinu yao ya kumuhonga rais kukwama, na kukimbilia kwenda kumuhonga yule mtetea mafisad maarufu africa mashariki na kati Tundu Lissu
Kamat ya pili iliyoundwa kuja na suluhisho kamili ambayo itakabidh riport yake hapo week ijayo kwa ngosha inaenda kumuacha uchi bila taulo mnafiki Lissu na genge lake la kutetea mafisadi ambalo lilihongwa na wakwepa kodi wa ACACIA.
Unafiki wa Lissu kujulikana hapo wiki ijayo
Nawasilisha karibuni