Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,421
- 166,831
Nyumbani kwa Waziri Celina kombani yalitokea mauaji ya kutatanisha mwaka huu.
Polisi waliunda tume ya kuchunguza mauaji hayo.
Hadi leo kimya kikuu kimetawala.
Je ni kwamba kombe limefunikwa ili mwanaharamu apite?
Polisi waliunda tume ya kuchunguza mauaji hayo.
Hadi leo kimya kikuu kimetawala.
Je ni kwamba kombe limefunikwa ili mwanaharamu apite?