only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
....Zikiwa zimebakia siku mbili bunge kuharishwa hakuna dalili wala taarifa za lini taarifa ya kuchunguza sakata la Jairo aliyekuwa katibu wa wizara ya nishati na madini itawekwa mezani kwa ajili ya majadiliano na maamuzi...Hii inaanza kutilia shaka dhamira ya bunge hili linaloongozwa na Bi Anne Makinda ambalo linaonekana kuanza kulemewa na hoja ya mswada wa mabadiliko ya katiba..Je,kuna taarifa za kusomwa hoja hii?