Report iko tayari inafanyiwa reduction
Ripoti itatoka ni kusubiria tuu, sikukuuMsipoteze muda kusubiri ripoti ya mchongo ya tume ya Chade haitatoka maana wameshidwa kudanganya wakati ukweli upo wazi!
Sikukuu na ripoti vinahusiana nini?Ripoti itatoka ni kusubiria tuu, sikukuu
P
Tundu Lissu na CHADEMA watakosekana kwenye ripoti kama hiyo?Ripoti inatoka Gwajima na Kitima wanaweza kutajwa kwenye ripoti