Ripoti ya CAG: Rais Magufuli usiwaonee Huruma au Aibu wale wote waliotajwa kwenye Ripoti hiyo

Euphransia

JF-Expert Member
Jan 26, 2017
937
778
Napenda kumpongeza CAG na wasaidizi wake Kwa Kazi kubwa Na nzuri waliyoifanya.Nachukua nafasi hii kumwomba sana Rais wetu John Magufuli aitumie Ripoti hiyo bila kuwaonea Huruma wale wote waliotajwa kulitia hasara Taifa letu Kwa kuwachukulia Hatua Kali ili iwe fundisho Kwa Viongozi wengine.

Mh.Rais Kwa mfano;
Mtu anaingiza Magari 238 anapewa msamaha wa kodi wa sh.1.3 bilioni
Nakuomba wafuatiliwe wahusika wote walipe kodi na waliotoa msamaha washtakiwe.
 
Napenda kumpongeza CAG Na wasaidizi wake Kwa Kazi kubwa Na nzuri waliyoifanya.Nachukua nafasi hii kumwomba sana Rais wetu John Magufuli aitumie Ripoti hiyo bila kuwaonea Huruma wale wote waliotajwa kulitia hasara Taifa letu Kwa kuwachukulia Hatua Kali ili iwe fundisho Kwa Viongozi wengine.Mh.Rais Kwa mfano
1.MTU anaingiza Magari 238 anapewa msamaha wa kodi wa sh.1.3 bilioni
Nakuomba wafuatiliwe wahusika wote walipe kodi Na waliotoa msamaha washtakiwe.
Mwenye hizo report aziweke plz; ya serikali za kitaa na central govt inayojumuisha agencies zote!
 
Km ameweza kumlinda jambazi la elimu, atakuwa ana uwezo gani?
Na huyo aliyepitisha msamaha wa kodi ni nani?
 
Back
Top Bottom