zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
wizi BoT umeanza miaka mingi kama usemavyo. Jee, hukumbuki mzee nyerere alipong'atuka? BoT iliwashwa moto Mzee mwinyi akarithi majivu ya makaratasi. Unafikiri ule moto ulijiwakia tuu wenyewe? au unafikiri mkuu nyerere alikuwa hajuwi moto ule uliwakaje na ni wa nini na kwa nini? lakini alikaa kimya, kama si ufisadi ni nini? au hamuijuwi system ni nini?Kama waliangalia mwaka mmoja na wizi ni mkubwa kiasi hicho basi imagine kama wangeangalia miaka mingine miwili au mitatu. Nina imani kwamba wizi huu haukuanza 2005, umeanza miaka mingi tu. Wakaguzi wanapogundua makosa mengi katika sample yao basi hutakiwa kuongeza sample hiyo ili kujua ukubwa wa tatizo. Siri kali labda hawakutaka waendelee miaka miwili nyuma 2003/2004 na 2004/2005 kwa kuwa madudu yaliyofanyika hapo BOT yangeongezeka kwa kiasi kikubwa sana.