Ripoti: Kiwango cha umasikini kinapungua kwa kasi

Ripoti: Kiwango cha umasikini kinapungua kwa kasi

Watanzania wangapi wanalima korosho? Mafisadi wako wangapi nchi hii?
Ushuru kwa wakulima wadogo umefutwa katika mazao yote !!
Wanaolia ni wachache zamu hii masikini wengi wameanza kufurahi.
 
Karibuni kwa mjadala
Unataka watu wajadili kitu gani? Kwa mujibu wa sheria mpya ya takwimu ni marufuku kuhoji taarifa za takwimu za serikali. Maana yake hicho walichosema ni sahihi kwa 100%.

Ukihoji au kubisha au kijadili kinyume na taarifa ya serikali kifungo kinakuhusu. Wewe ungesema tupokee taarifa na tufunge midomo yetu. Au unataka watu wanze kutafutwa kwa kuhoji takwimu za serikali?
 
Hata ungesema umasikini umepungua na kubaki 1% tungesema hewala maadam ni takwimu ya serikali.
 
Magufuli ameupeleka uchumi kwa watu wa hali ya chini.
Hao watu wa chini ni akina nani?Mzunguko wa pesa umekuwa mgumu sana,uwezo wa wafanyabiashara wadogowadogo kurejesha mkopo umekuwa mgumu sana!
Kwasasa uwezo wa kukopa na kufanya biashara ndogo ndogo na kufanikiwa kurejesha kemeshuka sana,mzunguko wa fedha umekuwa mdogo!
 
  • Poverty in Tanzania has decreased from 47.4 per cent in 2015 to 64 per cent in 2017, according to the 2017 Tanzania Human Development (THDR).
Kutoka 47.4% mpaka 64 % nikupungua au kuongezeka?

  • The goal is to further reduce the level of poverty to 38.4 percent in 2020/2021 and 29.2 per cent in 2025/26...
47.4% to 64% unasema ni kupungua na 38.4% to 29.2% nayo unasema ni kupungua🤣🤣🤣
 
Hali ni mbaya mitaa ya mafisadi lakini mkulima wa korosho amepiga hela mwaka huu.
Sio korosho tu! Wandugu wamegundua ni heri kulima kuliko kukaa mijini na kuwa wazururaji, chakula kimejaa kila corner ya nchi yetu Tanzania. Kwa kweli watanzania tumeamka haswa!
 
Back
Top Bottom