Tusidanganyane-Lowassa kupeperusha bendera ya UKAWA is the best option so far na CCM imewauma na wapo tayari kufanya kila jitihada kuivunja UKAWA miguu,kama sio kuipofua!!
Ujio wa Lowassa umeongeza mileage kubwa ya kura za UKAWA na popularity,huku akichagiza watu kujiandikisha kwenye BVR,kuna ubishi??!!
Lowassa ameigawa CCM ili hali sintofahamu ya Slaa na Lipumba haina impact kubwa UKAWA so far compare to Lowassa na damage aliyofanya CCM kwa wapiga kura kwa kila upande.
Lowassa ujio wake unaambatana na Mawaziri,madiwani,wabunge na wanachama kuliko ambavyo Lipumba na Slaa wangeweza kuingiza watu UKAWA. Lowassa amevunja mnyororo wa uongozi wa CCM wa Taifa,Kanda,Mkoa hadi Tarafa na Kijiji,tofauti na UKAWA mtikisiko wao,na hii Yote wanufaika WAKUU NI UKAWA,nani anabisha??!!
Naamini wazi kabisa kuwa CUF hawakuwa radhi Slaa awe mgombea uraisi halafu wao waje wamnadi-rejea dana dana zao Mwanzo,oh mara hadi wapate baraka,lakini wslirejea vizuri na ujio wa Lowassa,yote hii ni kutokana na marashi ya udini wa kiislamu ambayo hapo nyuma walitumia kujifukiza,ukitaja Slaa kwa wadini unaleta mwangi wa u-padri,mwangi wa UKATOLIKI,wangewaambiaje wale waliowaambia 2010 tumsaidie MUISLAMU mwenzetu Kikwete asishindwe na ------??!!
Lowassa amekuja na nguvu ya mvuto,hamasa na nguvu ya huruma pia kuwa CCM ya Kkwete ina hinda nae tu,vyote hivi ni faida kwa UKAWA na CDM,hapo bado nguvu ya raslimali!!
Kati ya Slaa na Lipumba,yupi angeleta inputs kubwa kuliko Lowassa??!! Nani Kati Yao angefanya damage kuuuubwaa kabla hata ya kampeni ya Uchaguzi??!!
Slaa na Lipumba wanaumuhimu UKAWA,ile ujio wa Lowassa ni sawa na mvua kwenye shamba liliopandwa mbegu,tushirikiane kupalilia,kulinda mazao,tuhamasishane wakati wa kuvuna ili tufurahie mavuno na kusahau machungu,kila mtu ni Muhimu kwa upande wake,CCM ni kama Nzige,Tumbiri,Nguruwe,Panya na wadudu waharibifu,hawatoacha hila!!!
Ujio wa Lowassa umeongeza mileage kubwa ya kura za UKAWA na popularity,huku akichagiza watu kujiandikisha kwenye BVR,kuna ubishi??!!
Lowassa ameigawa CCM ili hali sintofahamu ya Slaa na Lipumba haina impact kubwa UKAWA so far compare to Lowassa na damage aliyofanya CCM kwa wapiga kura kwa kila upande.
Lowassa ujio wake unaambatana na Mawaziri,madiwani,wabunge na wanachama kuliko ambavyo Lipumba na Slaa wangeweza kuingiza watu UKAWA. Lowassa amevunja mnyororo wa uongozi wa CCM wa Taifa,Kanda,Mkoa hadi Tarafa na Kijiji,tofauti na UKAWA mtikisiko wao,na hii Yote wanufaika WAKUU NI UKAWA,nani anabisha??!!
Naamini wazi kabisa kuwa CUF hawakuwa radhi Slaa awe mgombea uraisi halafu wao waje wamnadi-rejea dana dana zao Mwanzo,oh mara hadi wapate baraka,lakini wslirejea vizuri na ujio wa Lowassa,yote hii ni kutokana na marashi ya udini wa kiislamu ambayo hapo nyuma walitumia kujifukiza,ukitaja Slaa kwa wadini unaleta mwangi wa u-padri,mwangi wa UKATOLIKI,wangewaambiaje wale waliowaambia 2010 tumsaidie MUISLAMU mwenzetu Kikwete asishindwe na ------??!!
Lowassa amekuja na nguvu ya mvuto,hamasa na nguvu ya huruma pia kuwa CCM ya Kkwete ina hinda nae tu,vyote hivi ni faida kwa UKAWA na CDM,hapo bado nguvu ya raslimali!!
Kati ya Slaa na Lipumba,yupi angeleta inputs kubwa kuliko Lowassa??!! Nani Kati Yao angefanya damage kuuuubwaa kabla hata ya kampeni ya Uchaguzi??!!
Slaa na Lipumba wanaumuhimu UKAWA,ile ujio wa Lowassa ni sawa na mvua kwenye shamba liliopandwa mbegu,tushirikiane kupalilia,kulinda mazao,tuhamasishane wakati wa kuvuna ili tufurahie mavuno na kusahau machungu,kila mtu ni Muhimu kwa upande wake,CCM ni kama Nzige,Tumbiri,Nguruwe,Panya na wadudu waharibifu,hawatoacha hila!!!