Bahati mbaya watanzania mnafanya kila kitu siasaMnapaswa mjue kuwa Elimu yetu haijashuka isipokuwa kilichoshuka ni kiwango cha Ufaulu ambacho kinasababishwa na wanaotakiwa kufaulu kutotaka kufaulu. Siasa zimewapotosha watu kiasi kwamba Wazazi, Jamii inayowazunguka wanafunzi na Wakati Mwingine Walimu kutotimiza wajibu wao kwa vile kila mmoja amekariri usemi wa Mwana -------- ni mzigo wa mamaye.Ninapoyaona haya mpaka leo nashindwa kuelewa hivi hawa wanaoendelea kuisapoti hii serikali wana akili ya aina gani??, matatizo ya kushuka elimu yako wazi kabisa, na tume ilishaundwa watu wakala pesa, muda, na malighafi mbalimbali zikatumika, then kwa makusudi pinda akakataa ripoti hii isitolewe hadharani 2011 leo miaka 2 baadae anaunda tena tume ya kuchunguza tattizo lilelile kwa kutumia gharama zaidi... Na hii ripoti ya hiyo kamati haitasolve lolote wala kusomwa popote tena..
adui wa maendeleo ya watanzania ni watanzania wenyewe...
Walimu wamewekwa nyuma hawawez kuzungumziwa,siunajua kuwa wao ni daraja la kupitia kwenda Ikulu na Bungeeniii?
Nimekuwa nikiwashangaa CCM kwa kutumia mabilioni ya pesa kuhujumu CHADEMA, wakati wangefanya juhudi za kujenga taifa ikiwapo kutoa elimu bora ingetosha kuwaweka madarakani hata kwa miaka 100[/QUO
WANATUMIA PESA NYINGI KUWEKEZA KWENYE SIASA KULIKO MAENDELEO.