RIP Credo Celestine - IFM lecturer

RIP Credo Celestine - IFM lecturer

Wewe unazijua??. Ukweli ni kwamba mtu anaweza kuwa Lecturer akiwa na masters, depending on 1. The number of years he has involved himself in teaching activities, 2. The number of publications and the associated scores, 3. The number of books or chapters in a book written etc.
Mwosha kinywa unarudia kilekile nilichoandika hapo juu
 
Mi demu wangu haliwi na mtu aliyeishiwa kinga za mwili
<br />
<br />
Hata kama we nimsomi kiasi gani sitaki kuamini kua ndie unaetoa maneno machafu kiasi hiki. Ivi huyo demu wako ananini cha ajabu ana saburi moja? Au anaviwili? Dem mwenyewe si ajabu umemtoa kigamboni kwa wahaya. Eh ivi akitokea mtu kuanza kumchambua baba yako au mama yaku kua amepungukiwa kinga we utaonaje? Dah sidhani kama wewe ni great thinker labda wa shule za kata.
 
Namkumbuka huyu Mkuu!
Mungu aiweke Roho ya Marehemu peponi.
 
Tatizo la IFM,walimu wengi vijana walikuwa wanabadilisha kama nguo!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hata kama we nimsomi kiasi gani sitaki kuamini kua ndie unaetoa maneno machafu kiasi hiki. Ivi huyo demu wako ananini cha ajabu ana saburi moja? Au anaviwili? Dem mwenyewe si ajabu umemtoa kigamboni kwa wahaya. Eh ivi akitokea mtu kuanza kumchambua baba yako au mama yaku kua amepungukiwa kinga we utaonaje? Dah sidhani kama wewe ni great thinker labda wa shule za kata.
Kama wazazi wangu wamepungukiwa kinga na mtu akasema mimi sina tatizo. Ujinga wako na ujinga wa baadhi ya watanzania ni kutaka kummiminia mtu sifa baada ya kufa. Hamko tayari kusikia side b zao. Mimi siko hivyo mkuu. Ukiwa mtu unajulikana na ukafanya mambo ya hovyo nitakuanika tu.
 
Tatizo la IFM,walimu wengi vijana walikuwa wanabadilisha kama nguo!
Ndo manake mkuu. Hata huyu mwalimu alikuwa na miwaya, mtu anatumia ARV zinamlemea anakufa mnaanza kubwabwaja eti kafa ghafla. Ghafla ya wapi na mtu alikuwa na ngoma? Ndio tujifunze kupitia kwake. Ukiwabadilisha sana utapata haki yako na tukikuibaini tutakuandika ili ufanyike fundisho kwa wafungua zipu wenzio
 
wapendwa,

hayo ya lecturer/assistant lecturer/tutorial assistant etc ni masuala yanayohusu schemes of service zilizoko vyuoni. tatizo lililokuwepo huko nyuma kidogo ni kuwa hizo schemes hazikuwa harmonized na kila chuo kiliachwa kujiandikia scheme kinayoona inakifaa kwa mazingira yake. ndo utakuta mtu ana masters lakini anapata promotion hadi lecturer au hata senior lecturer position na in some institutions kulikuwa na mpaka principal lecturer na hata chief lecturer!

kwa sasa kuna utaratibu wa harmonized scheme of service wa taasisi za elimu ya juu zilizoko chini ya NACTE na TCU respectivelly. ili kuwa recturer kwa sasa chini ya taratibu za NACTE kwa mfano, lazima uwe PhD holder regardless una uzoefu wa miaka miaka mingapi au umepublish kiasi gani. PhD ni basic qualification kuwa recturer na further promotion will be based on publications and experience!

kwa hiyo inawezekana kabisa marehemu mwalimu celestine alikwa lecturer kihalali kwa wakati huo na hadi mauti yanamkuta akawa alishashushwa chini kuwa assistant lecturer (kama hakuwahi kupata PhD) kwa mujibu wa scheme of service ya sasa!

pia imekuwa kama utamaduni kuwa mwalimu wa chuo kikuu anajulikana kama lecturer na ndio maana utakuta hata tutorial assistant anaitwa lecturer huko vyuoni. si wote wanaojua kuwa lecturer ni cheo anachokifikia (kwa promotion) mwalimu mwenye PhD na sio common status ya kila mwalimu wa chuo cha elimu ya juu. kwa hiyo kuwaita hata ma-tutorial assistant lecturers ni suala la mazoea/utamaduni tu na mi sioni ubaya wake kwa kweli na huenda kwa kufanya hivyo tunawa-inspire (indirectly) kusoma zaidi waweze kufikia hicho cheo.

nadhani sasa tuko pamoja kwa hilo.

kuhusu hoja ya kuondoka na wengi, si vibaya kuizungumza kama inafaa kwa kuwaonya wengine, muhimu lugha ya staha izingatiwe, isijekuwa tunamdhihaki marehemu.

RIP mwalimu celestine,

mbarikiwe wote na Bwana
 
Kama wazazi wangu wamepungukiwa kinga na mtu akasema mimi sina tatizo. Ujinga wako na ujinga wa baadhi ya watanzania ni kutaka kummiminia mtu sifa baada ya kufa. Hamko tayari kusikia side b zao. Mimi siko hivyo mkuu. Ukiwa mtu unajulikana na ukafanya mambo ya hovyo nitakuanika tu.
<br />
<br />
Haya tupe ushaidi wa yeye kua muhathirika. Ebu acha kuimba taarabu humu ndani. Kama unabisha kua wewe sio shost ebu tupe ushahidi wako na sio kujifanya mzee Yusufu humu na maneno yako ya kwenye kahawa kama sio ya mwambao.
 
Huyo Mr. Credo Celestine nadhani ndiye mkali wa hesabu wa wakati ule kule DSA au sasa mnaita TIA..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom