Ridhiwani kugombea ubunge Chalinze

ana jinsi kwani mkweree anaachia ngazi 2015
 
Hoja na mantiki ya uzi huu ni ipi??
Maana huyu mtoa hoja anaonesha kama ni issue kubwa sana.

Heri yako ww muungwana kwenye kundi la wapumbavu wenzako!

Small mind will take ages to understand small point....!!
 
Sioni tatizo kuonesha nia ya kugombea huo ubunge! Ni haki yake, kwan cfa anazo! Ila akiptishwa na chama chake wananchi ndio watakaoamua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…