Ridhiwani kugombea ubunge Chalinze

Ridhiwani kugombea ubunge Chalinze

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
wanajamvi!!
Mtoto wa rais wa jamhuri ya muungano ya Tanzania mh Jakaya Mrisho Ridhiwani Kikwete kugombea ubunge jimbo la chalinze kwa tiketi ya ccm.Habar za uhakika nikwamba tayar ameshakutana na wazee wa chalinze kupata baraka zao zote,habari nikwamba amekuwa akionekana jimboni chalinze kila uchao kutafuta kuungwa mkono
 
Anatafuta baraka!??? waaapi.. !?Nani wa kumzuia The crown prince, Madega aandike maumivu kwa mara nyingine. Akome kwa nini yeye babaake hakuwa raisi.
 
Vizuri aingie aone kuwa sio rahisi
 
Sasa kuna nini cha ajabu kugombea ubunge mtanzania yeyote mwenye sifa ni haki yake kufanya hivyo
 
wanajamvi!!
Mtoto wa rais wa jamhuri ya muungano ya Tanzania mh Jakaya Mrisho Ridhiwani Kikwete kugombea ubunge jimbo la chalinze kwa tiketi ya ccm. jimboni chalinze kila uchao kutafuta kuungwa mkono
stupid mind discuss people, ana haki ya kugombea kwa mjibu wa katiba ya Tanzania.
 
Agombee ni haki yake kikatiba. Hata mama Salma Kikwete ana haki ya kugombea akitaka
 
watu wa pwani watamchagua tu,dau lao ni ubwabwa na nyama,hawajitambui hawa..
Na wale wasiokuwa wa pwani walichagua watu wa pwani kuwa marais Dau lao ni lipi.....ugali wa dona na mlenda?
 
Kuna Tatizo ama Taarifa? Kama ni taarifa asante kutuletea. Kama inaona ni Tatizo basi wewe ndiye mwenye Tatizo
 
Anatafuta baraka!??? waaapi.. !?Nani wa kumzuia The crown prince, Madega aandike maumivu kwa mara nyingine. Akome kwa nini yeye babaake hakuwa raisi.

What a painful truth!!
 
Back
Top Bottom