PostGE2025 Ridhiwani Kikwete: Malalamiko mengi ya wananchi wakati wa maandamano yalihusu Maadili ya viongozi

PostGE2025 Ridhiwani Kikwete: Malalamiko mengi ya wananchi wakati wa maandamano yalihusu Maadili ya viongozi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
440
Reaction score
3,211
Ridhiwani Kikwete umesema vyema kabisa, na sisi tumekuelewa. Ujumbe huu wapelekee pia mabosi wako, Samia Suluhu Hassan na Mwigulu Nchemba ambao hadi sasa wanatuona watanzania ni mazuzu, kwamba hawaelewi watu walikuwa wanalalamikia nini kiasi cha kuandamana.

Nakunukuu

"Malalamiko juu ya maadili ya viongozi yamekuwa mengi sana... Nyie wenyewe mnaona mfano maandamano yaliyotokea juzi hapa, malalamiko yalikuwepo makubwa juu ya maadili ya viongozi, au nyie hamjasikia?... "

Najua umejenga hoja hii ukitana kujinasua kwenye kashfa ya Lake Oil ambayo umekana kuhusika kwake, na umebainisha upo tayari kuhojiwa. Lakini, hii si pointi ya muhimu sana kwangu.

Mimi ninakusihi, najua wote serikalini mnajua sababu za watu kuandamana, lakini wenzio wameamua kujifanya hamnazo kwa kuamua kusingizia foreign influence, waambie pia wenzako sababu hii ili wasiwe na kisingizio tena.

Hilo la maadili ya viongozi ni moja tu kati ya mambo mengi tunayolalamikia.

 
Mbona bosi wake hajui cho chote? 😳

20251121_150910.png
 
Zifuatazo ni taasisi ambazo watu wasio na sifa wamepewa nyadhifa kubwa huku wenye sifa kadiri ya miongozo wakipewa baibai.
1. National Housing
2. TRA
3. GPSA
4. TRC
5.EPZA
7. TATC
8. TANAPA
 
Malalamiko juu ya maadili ya viongozi yamekuwa mengi sana... Nyie wenyewe mnaona mfano maandamano yaliyotokea juzi hapa, malalamiko yalikuwepo makubwa juu ya maadili ya viongozi, au nyie hamjasikia?... "
Nilijua tu watamuangushia bi chura zigo la mavi

Si alisema hajui waandamanaji wanataka nini.

Kumbe kuna watu wanajua
 
Kwa jinsi CCM walivyochakachua kura za urais sidhani kama kuna Kiongozi yeyote anayeweza kukemea maadili akaeleweka.
Chanzo kikuu cha kukosekana maadili ni CCM.
Chanzo kikuu cha rushwa nchi hii ni CCM.
Wao ndio mastermind.
 
Ridhiwani Kikwete umesema vyema kabisa, na sisi tumekuelewa. Ujumbe huu wapelekee pia mabosi wako, Samia Suluhu Hassan na Mwigulu Nchemba ambao hadi sasa wanatuona watanzania ni mazuzu, kwamba hawaelewi watu walikuwa wanalalamikia nini kiasi cha kuandamana.

Nakunukuu

"Malalamiko juu ya maadili ya viongozi yamekuwa mengi sana... Nyie wenyewe mnaona mfano maandamano yaliyotokea juzi hapa, malalamiko yalikuwepo makubwa juu ya maadili ya viongozi, au nyie hamjasikia?... "

Najua umejenga hoja hii ukitana kujinasua kwenye kashfa ya Lake Oil ambayo umekana kuhusika kwake, na umebainisha upo tayari kuhojiwa. Lakini, hii si pointi ya muhimu sana kwangu.

Mimi ninakusihi, najua wote serikalini mnajua sababu za watu kuandamana, lakini wenzio wameamua kujifanya hamnazo kwa kuamua kusingizia foreign influence, waambie pia wenzako sababu hii ili wasiwe na kisingizio tena.

Hilo la maadili ya viongozi ni moja tu kati ya mambo mengi tunayolalamikia.

Ana waseti muingie kwenye mfumo.

Anyway kasema wamekufa wangapi?
 
Back
Top Bottom