Komando Kipensi
JF-Expert Member
- Jun 8, 2014
- 334
- 59
Ikiwa yamebaki masaa machache wakristo duniani kote kusherekea sherehe ya Pasaka
Mbunge kijana Ridhiwani kikwete ameitumia siku ya leo kuwapa zawadi ya maendeleo wanaichi wa jimbo lake chalinze. ...
Katika siku ya leo amezindua shule mpya katika kijiji cha Lukwabe kwa miaka mingi watoto wa eneo hilo wamekua wakisafili kilometa 15 kufwata elimu jambo lilimalizwa leo na Ridhiwan kikwete. ..
Pia amezindua jengo la dispensary pamoja na kufunga michuano ya ligi za vijana
Jengo la darasa uliozinduliwa
Ndani ya jengo la darasa
Pamoja na shule hii dispensary moja uliozinduliwa
Siasa ni vitendo sio maneno pasaka njema
Mbunge kijana Ridhiwani kikwete ameitumia siku ya leo kuwapa zawadi ya maendeleo wanaichi wa jimbo lake chalinze. ...
Katika siku ya leo amezindua shule mpya katika kijiji cha Lukwabe kwa miaka mingi watoto wa eneo hilo wamekua wakisafili kilometa 15 kufwata elimu jambo lilimalizwa leo na Ridhiwan kikwete. ..
Pia amezindua jengo la dispensary pamoja na kufunga michuano ya ligi za vijana
Jengo la darasa uliozinduliwa
Ndani ya jengo la darasa
Pamoja na shule hii dispensary moja uliozinduliwa
Siasa ni vitendo sio maneno pasaka njema