Ridhiwani Kikwete Atakuwa Rais wa Tanzania kuanzia Mwaka 2040 Baada ya Kumalizika Kwa Miaka Kumi Ya Urais wa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi kuanzia 2030

Ridhiwani Kikwete Atakuwa Rais wa Tanzania kuanzia Mwaka 2040 Baada ya Kumalizika Kwa Miaka Kumi Ya Urais wa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi kuanzia 2030

Inaonekana ndoto yako imekuja na barua ya uteuzi kabisa, lakini pole, kwenye uhalisia, Ikulu haifikiwi kwa kulala, inafikiwa kwa ridhaa ya wananchi!
 
Ndugu Lucas Mwashambwa epuka kula chakula kizito kama ugali usiku, ndicho hukufanya uote ndoto za ajabu ajabu.

Pia madirisha ya chumba unachokaa ni madogo, hewa haitoshi na wewe unajua kabisa una pua kubwa.

Ushauri wa bure, hiyo buku tisa unayopata kule nenda kapange sehemu nyingine.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete Atakuwa Rais Wa Tanzania kuanzia Mwaka 2040. Ambapo Urais wake ataupokea Kutoka Kwa Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi .Ambaye ataanzia 2030 Mpaka hiyo 2040 na kumkabidhi kijiti Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete. Hii itakuwa ni baada ya Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa kuomba kupumzika na kustaafu Urais 2030.

Lakini pia nikaota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete kuteuliwa nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje pamoja na Uwaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa pamoja na ile ya Utumishi ili kuvijua vyema na kuwa karibu kimahusiano na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama katika kujiandaa na majukumu ya Uamiri Jeshi Mkuu.

Lakini pia nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje itakuwa ni katika kumjenga na kumtambulisha kimataifa na kumfanya ajenge mtandao utakaosaidia na kurahisisha masuala ya kidiplomasia pale atakapokuwa ameingia madarakani na kumfanya kutokuwa mgeni katika masuala ya kidiplomasia pamoja na kujua Dunia inakwenda vipi na kipi afanye kulinda heshima ya Tanzania kimataifa pamoja na kunasa fursa mbalimbali.

Hivyo katika kumjenga atapitishwa katika wizara hizo tatu nyeti japo ya utumishi anaweza asipitishwe kwa sababu hapo amekaa na anapafahamu vyema kwa kuwa alitumikia kama Naibu waziri wake. Lakini pia Kuna nyota nyingine itaendelea kung'aa na kuendelea kuzungushwa katika wizara tofauti tofauti.

Mengine niliyoyaona ndotoni nisingependa kuyazungumzia hapa wala mahali penginepo pale popote pale mpaka kifo changu. Ila kitu na jambo moja ningependa Kuwaambieni ni Kuwa jiandaeni tu ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete ni lazima atakuja kuwa Rais wa Nchi hii ya Tanzania. Kikubwa tuendelee kuomba uzima tu. nimeona Mengi ndotoni na mengine ambayo ni ya siri mpaka Mwisho.

Kuna wengine nimeona Ndotoni wanautafuta Urais kwa nguvu za kila aina lakini hawapo hata kwenye Uwaziri Mkuu wala Unaibu waziri Mkuu hawatakaa waupate. Nimeona wengine pamoja na ndoto na kiu zao kubwa za kukalia kiti hicho cha Urais .lakini nikaona kuna mtu hata mimi simfahamu wala kumuona sura yake alikuwa anawasogezea viti vya Uwaziri ili wakalie.hii ikiwa na maana ya kuwa watakuwa ni mawaziri na wataishia kwenye nafasi hizo na hawatapanda zaidi ya hapo.

Naomba nisiandike Mengi wala kuendelea zaidi ya hapa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe dada malaya sana hadi aibu
 
Inabidi upelekwe jumba la makumbusho - hata babako unaweza mkana sababu ya uchawa wa CCM.

Kwanza kwenye msiba umeenda? - mmeua watoto wa watu kisa kujaza uwanja - mna dhambi nyie watu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete Atakuwa Rais Wa Tanzania kuanzia Mwaka 2040. Ambapo Urais wake ataupokea Kutoka Kwa Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi .Ambaye ataanzia 2030 Mpaka hiyo 2040 na kumkabidhi kijiti Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete. Hii itakuwa ni baada ya Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa kuomba kupumzika na kustaafu Urais 2030.

Lakini pia nikaota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete kuteuliwa nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje pamoja na Uwaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa pamoja na ile ya Utumishi ili kuvijua vyema na kuwa karibu kimahusiano na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama katika kujiandaa na majukumu ya Uamiri Jeshi Mkuu.

Lakini pia nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje itakuwa ni katika kumjenga na kumtambulisha kimataifa na kumfanya ajenge mtandao utakaosaidia na kurahisisha masuala ya kidiplomasia pale atakapokuwa ameingia madarakani na kumfanya kutokuwa mgeni katika masuala ya kidiplomasia pamoja na kujua Dunia inakwenda vipi na kipi afanye kulinda heshima ya Tanzania kimataifa pamoja na kunasa fursa mbalimbali.

Hivyo katika kumjenga atapitishwa katika wizara hizo tatu nyeti japo ya utumishi anaweza asipitishwe kwa sababu hapo amekaa na anapafahamu vyema kwa kuwa alitumikia kama Naibu waziri wake. Lakini pia Kuna nyota nyingine itaendelea kung'aa na kuendelea kuzungushwa katika wizara tofauti tofauti.

Mengine niliyoyaona ndotoni nisingependa kuyazungumzia hapa wala mahali penginepo pale popote pale mpaka kifo changu. Ila kitu na jambo moja ningependa Kuwaambieni ni Kuwa jiandaeni tu ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete ni lazima atakuja kuwa Rais wa Nchi hii ya Tanzania. Kikubwa tuendelee kuomba uzima tu. nimeona Mengi ndotoni na mengine ambayo ni ya siri mpaka Mwisho.

Kuna wengine nimeona Ndotoni wanautafuta Urais kwa nguvu za kila aina lakini hawapo hata kwenye Uwaziri Mkuu wala Unaibu waziri Mkuu hawatakaa waupate. Nimeona wengine pamoja na ndoto na kiu zao kubwa za kukalia kiti hicho cha Urais .lakini nikaona kuna mtu hata mimi simfahamu wala kumuona sura yake alikuwa anawasogezea viti vya Uwaziri ili wakalie.hii ikiwa na maana ya kuwa watakuwa ni mawaziri na wataishia kwenye nafasi hizo na hawatapanda zaidi ya hapo.

Naomba nisiandike Mengi wala kuendelea zaidi ya hapa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Atakua na Umri gani?

Vijana hebu angalieni trend ya dunia, with the digital world as a core to our lives from today…. You need to tele charge

We need a modern president Aliye neutral and patriotic

Sina wasiwasi na Ridhwani, wala Nchimbi…. Ila time series analysis inasema after Nchimbi ni new world order
 
Inabidi upelekwe jumba la makumbusho - hata babako unaweza mkana sababu ya uchawa wa CCM.

Kwanza kwenye msiba umeenda? - mmeua watoto wa watu kisa kujaza uwanja - mna dhambi nyie watu.
Huyu kwa hiki kiherehere chake cha kisengerema hafiki October watakuwa wameshamtoa kafara
 
WEwe bhn kwa kuiombea nchi mabaya huna deni, yaani tutoke kuongozwa na kilaza sa100 halafu utupeleke tena kwa kilaza mwingine Rizmoko...kichwani hamna kitu zaidi ya kubebwa na jina la babake?!
hiyo ndoto ifutikie mbali!
 
Back
Top Bottom