Ridhiwani Kikwete Atakuwa Rais wa Tanzania kuanzia Mwaka 2040 Baada ya Kumalizika Kwa Miaka Kumi Ya Urais wa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi kuanzia 2030

Ridhiwani Kikwete Atakuwa Rais wa Tanzania kuanzia Mwaka 2040 Baada ya Kumalizika Kwa Miaka Kumi Ya Urais wa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi kuanzia 2030

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
36,349
Reaction score
23,757
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete Atakuwa Rais Wa Tanzania kuanzia Mwaka 2040. Ambapo Urais wake ataupokea Kutoka Kwa Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi .Ambaye ataanzia 2030 Mpaka hiyo 2040 na kumkabidhi kijiti Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete. Hii itakuwa ni baada ya Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa kuomba kupumzika na kustaafu Urais 2030.

Lakini pia nikaota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete kuteuliwa nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje pamoja na Uwaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa pamoja na ile ya Utumishi ili kuvijua vyema na kuwa karibu kimahusiano na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama katika kujiandaa na majukumu ya Uamiri Jeshi Mkuu.

Lakini pia nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje itakuwa ni katika kumjenga na kumtambulisha kimataifa na kumfanya ajenge mtandao utakaosaidia na kurahisisha masuala ya kidiplomasia pale atakapokuwa ameingia madarakani na kumfanya kutokuwa mgeni katika masuala ya kidiplomasia pamoja na kujua Dunia inakwenda vipi na kipi afanye kulinda heshima ya Tanzania kimataifa pamoja na kunasa fursa mbalimbali.

Hivyo katika kumjenga atapitishwa katika wizara hizo tatu nyeti japo ya utumishi anaweza asipitishwe kwa sababu hapo amekaa na anapafahamu vyema kwa kuwa alitumikia kama Naibu waziri wake. Lakini pia Kuna nyota nyingine itaendelea kung'aa na kuendelea kuzungushwa katika wizara tofauti tofauti.

Mengine niliyoyaona ndotoni nisingependa kuyazungumzia hapa wala mahali penginepo pale popote pale mpaka kifo changu. Ila kitu na jambo moja ningependa Kuwaambieni ni Kuwa jiandaeni tu ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete ni lazima atakuja kuwa Rais wa Nchi hii ya Tanzania. Kikubwa tuendelee kuomba uzima tu. nimeona Mengi ndotoni na mengine ambayo ni ya siri mpaka Mwisho.

Kuna wengine nimeona Ndotoni wanautafuta Urais kwa nguvu za kila aina lakini hawapo hata kwenye Uwaziri Mkuu wala Unaibu waziri Mkuu hawatakaa waupate. Nimeona wengine pamoja na ndoto na kiu zao kubwa za kukalia kiti hicho cha Urais .lakini nikaona kuna mtu hata mimi simfahamu wala kumuona sura yake alikuwa anawasogezea viti vya Uwaziri ili wakalie.hii ikiwa na maana ya kuwa watakuwa ni mawaziri na wataishia kwenye nafasi hizo na hawatapanda zaidi ya hapo.

Naomba nisiandike Mengi wala kuendelea zaidi ya hapa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
1000000240.jpg
 
Rudi
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete Atakuwa Rais Wa Tanzania kuanzia Mwaka 2040. Ambapo Urais wake ataupokea Kutoka Kwa Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi .Ambaye ataanzia 2030 Mpaka hiyo 2040 na kumkabidhi kijiti Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete. Hii itakuwa ni baada ya Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa kuomba kupumzika na kustaafu Urais 2030.

Lakini pia nikaota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete kuteuliwa nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje pamoja na Uwaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa pamoja na ile ya Utumishi ili kuvijua vyema na kuwa karibu kimahusiano na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama katika kujiandaa na majukumu ya Uamiri Jeshi Mkuu.

Lakini pia nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje itakuwa ni katika kumjenga na kumtambulisha kimataifa na kumfanya ajenge mtandao utakaosaidia na kurahisisha masuala ya kidiplomasia pale atakapokuwa ameingia madarakani na kumfanya kutokuwa mgeni katika masuala ya kidiplomasia pamoja na kujua Dunia inakwenda vipi na kipi afanye kulinda heshima ya Tanzania kimataifa pamoja na kunasa fursa mbalimbali.

Hivyo katika kumjenga atapitishwa katika wizara hizo tatu nyeti japo ya utumishi anaweza asipitishwe kwa sababu hapo amekaa na anapafahamu vyema kwa kuwa alitumikia kama Naibu waziri wake. Lakini pia Kuna nyota nyingine itaendelea kung'aa na kuendelea kuzungushwa katika wizara tofauti tofauti.

Mengine niliyoyaona ndotoni nisingependa kuyazungumzia hapa wala mahali penginepo pale popote pale mpaka kifo changu. Ila kitu na jambo moja ningependa Kuwaambieni ni Kuwa jiandaeni tu ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete ni lazima atakuja kuwa Rais wa Nchi hii ya Tanzania. Kikubwa tuendelee kuomba uzima tu. nimeona Mengi ndotoni na mengine ambayo ni ya siri mpaka Mwisho.

Kuna wengine nimeona Ndotoni wanautafuta Urais kwa nguvu za kila aina lakini hawapo hata kwenye Uwaziri Mkuu wala Unaibu waziri Mkuu hawatakaa waupate. Nimeona wengine pamoja na ndoto na kiu zao kubwa za kukalia kiti hicho cha Urais .lakini nikaona kuna mtu hata mimi simfahamu wala kumuona sura yake alikuwa anawasogezea viti vya Uwaziri ili wakalie.hii ikiwa na maana ya kuwa watakuwa ni mawaziri na wataishia kwenye nafasi hizo na hawatapanda zaidi ya hapo.

Naomba nisiandike Mengi wala kuendelea zaidi ya hapa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Rudi ulale
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete Atakuwa Rais Wa Tanzania kuanzia Mwaka 2040. Ambapo Urais wake ataupokea Kutoka Kwa Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi .Ambaye ataanzia 2030 Mpaka hiyo 2040 na kumkabidhi kijiti Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete. Hii itakuwa ni baada ya Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa kuomba kupumzika na kustaafu Urais 2030.

Lakini pia nikaota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete kuteuliwa nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje pamoja na Uwaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa pamoja na ile ya Utumishi ili kuvijua vyema na kuwa karibu kimahusiano na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama katika kujiandaa na majukumu ya Uamiri Jeshi Mkuu.

Lakini pia nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje itakuwa ni katika kumjenga na kumtambulisha kimataifa na kumfanya ajenge mtandao utakaosaidia na kurahisisha masuala ya kidiplomasia pale atakapokuwa ameingia madarakani na kumfanya kutokuwa mgeni katika masuala ya kidiplomasia pamoja na kujua Dunia inakwenda vipi na kipi afanye kulinda heshima ya Tanzania kimataifa pamoja na kunasa fursa mbalimbali.

Hivyo katika kumjenga atapitishwa katika wizara hizo tatu nyeti japo ya utumishi anaweza asipitishwe kwa sababu hapo amekaa na anapafahamu vyema kwa kuwa alitumikia kama Naibu waziri wake. Lakini pia Kuna nyota nyingine itaendelea kung'aa na kuendelea kuzungushwa katika wizara tofauti tofauti.

Mengine niliyoyaona ndotoni nisingependa kuyazungumzia hapa wala mahali penginepo pale popote pale mpaka kifo changu. Ila kitu na jambo moja ningependa Kuwaambieni ni Kuwa jiandaeni tu ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete ni lazima atakuja kuwa Rais wa Nchi hii ya Tanzania. Kikubwa tuendelee kuomba uzima tu. nimeona Mengi ndotoni na mengine ambayo ni ya siri mpaka Mwisho.

Kuna wengine nimeona Ndotoni wanautafuta Urais kwa nguvu za kila aina lakini hawapo hata kwenye Uwaziri Mkuu wala Unaibu waziri Mkuu hawatakaa waupate. Nimeona wengine pamoja na ndoto na kiu zao kubwa za kukalia kiti hicho cha Urais .lakini nikaona kuna mtu hata mimi simfahamu wala kumuona sura yake alikuwa anawasogezea viti vya Uwaziri ili wakalie.hii ikiwa na maana ya kuwa watakuwa ni mawaziri na wataishia kwenye nafasi hizo na hawatapanda zaidi ya hapo.

Naomba nisiandike Mengi wala kuendelea zaidi ya hapa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hata ukitoa masabari kwa mtoto wa kikwete hupati teuzi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete Atakuwa Rais Wa Tanzania kuanzia Mwaka 2040. Ambapo Urais wake ataupokea Kutoka Kwa Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi .Ambaye ataanzia 2030 Mpaka hiyo 2040 na kumkabidhi kijiti Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete. Hii itakuwa ni baada ya Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa kuomba kupumzika na kustaafu Urais 2030.

Lakini pia nikaota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete kuteuliwa nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje pamoja na Uwaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa pamoja na ile ya Utumishi ili kuvijua vyema na kuwa karibu kimahusiano na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama katika kujiandaa na majukumu ya Uamiri Jeshi Mkuu.

Lakini pia nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje itakuwa ni katika kumjenga na kumtambulisha kimataifa na kumfanya ajenge mtandao utakaosaidia na kurahisisha masuala ya kidiplomasia pale atakapokuwa ameingia madarakani na kumfanya kutokuwa mgeni katika masuala ya kidiplomasia pamoja na kujua Dunia inakwenda vipi na kipi afanye kulinda heshima ya Tanzania kimataifa pamoja na kunasa fursa mbalimbali.

Hivyo katika kumjenga atapitishwa katika wizara hizo tatu nyeti japo ya utumishi anaweza asipitishwe kwa sababu hapo amekaa na anapafahamu vyema kwa kuwa alitumikia kama Naibu waziri wake. Lakini pia Kuna nyota nyingine itaendelea kung'aa na kuendelea kuzungushwa katika wizara tofauti tofauti.

Mengine niliyoyaona ndotoni nisingependa kuyazungumzia hapa wala mahali penginepo pale popote pale mpaka kifo changu. Ila kitu na jambo moja ningependa Kuwaambieni ni Kuwa jiandaeni tu ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete ni lazima atakuja kuwa Rais wa Nchi hii ya Tanzania. Kikubwa tuendelee kuomba uzima tu. nimeona Mengi ndotoni na mengine ambayo ni ya siri mpaka Mwisho.

Kuna wengine nimeona Ndotoni wanautafuta Urais kwa nguvu za kila aina lakini hawapo hata kwenye Uwaziri Mkuu wala Unaibu waziri Mkuu hawatakaa waupate. Nimeona wengine pamoja na ndoto na kiu zao kubwa za kukalia kiti hicho cha Urais .lakini nikaona kuna mtu hata mimi simfahamu wala kumuona sura yake alikuwa anawasogezea viti vya Uwaziri ili wakalie.hii ikiwa na maana ya kuwa watakuwa ni mawaziri na wataishia kwenye nafasi hizo na hawatapanda zaidi ya hapo.

Naomba nisiandike Mengi wala kuendelea zaidi ya hapa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
😅😅"A CONDOM WOULD HAVE PREVENT THIS POST"
ASEE
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete Atakuwa Rais Wa Tanzania kuanzia Mwaka 2040. Ambapo Urais wake ataupokea Kutoka Kwa Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi .Ambaye ataanzia 2030 Mpaka hiyo 2040 na kumkabidhi kijiti Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete. Hii itakuwa ni baada ya Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa kuomba kupumzika na kustaafu Urais 2030.

Lakini pia nikaota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete kuteuliwa nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje pamoja na Uwaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa pamoja na ile ya Utumishi ili kuvijua vyema na kuwa karibu kimahusiano na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama katika kujiandaa na majukumu ya Uamiri Jeshi Mkuu.

Lakini pia nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje itakuwa ni katika kumjenga na kumtambulisha kimataifa na kumfanya ajenge mtandao utakaosaidia na kurahisisha masuala ya kidiplomasia pale atakapokuwa ameingia madarakani na kumfanya kutokuwa mgeni katika masuala ya kidiplomasia pamoja na kujua Dunia inakwenda vipi na kipi afanye kulinda heshima ya Tanzania kimataifa pamoja na kunasa fursa mbalimbali.

Hivyo katika kumjenga atapitishwa katika wizara hizo tatu nyeti japo ya utumishi anaweza asipitishwe kwa sababu hapo amekaa na anapafahamu vyema kwa kuwa alitumikia kama Naibu waziri wake. Lakini pia Kuna nyota nyingine itaendelea kung'aa na kuendelea kuzungushwa katika wizara tofauti tofauti.

Mengine niliyoyaona ndotoni nisingependa kuyazungumzia hapa wala mahali penginepo pale popote pale mpaka kifo changu. Ila kitu na jambo moja ningependa Kuwaambieni ni Kuwa jiandaeni tu ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete ni lazima atakuja kuwa Rais wa Nchi hii ya Tanzania. Kikubwa tuendelee kuomba uzima tu. nimeona Mengi ndotoni na mengine ambayo ni ya siri mpaka Mwisho.

Kuna wengine nimeona Ndotoni wanautafuta Urais kwa nguvu za kila aina lakini hawapo hata kwenye Uwaziri Mkuu wala Unaibu waziri Mkuu hawatakaa waupate. Nimeona wengine pamoja na ndoto na kiu zao kubwa za kukalia kiti hicho cha Urais .lakini nikaona kuna mtu hata mimi simfahamu wala kumuona sura yake alikuwa anawasogezea viti vya Uwaziri ili wakalie.hii ikiwa na maana ya kuwa watakuwa ni mawaziri na wataishia kwenye nafasi hizo na hawatapanda zaidi ya hapo.

Naomba nisiandike Mengi wala kuendelea zaidi ya hapa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ukishamaliza kuota utuambie
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete Atakuwa Rais Wa Tanzania kuanzia Mwaka 2040. Ambapo Urais wake ataupokea Kutoka Kwa Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi .Ambaye ataanzia 2030 Mpaka hiyo 2040 na kumkabidhi kijiti Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete. Hii itakuwa ni baada ya Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa kuomba kupumzika na kustaafu Urais 2030.

Lakini pia nikaota ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete kuteuliwa nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje pamoja na Uwaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa pamoja na ile ya Utumishi ili kuvijua vyema na kuwa karibu kimahusiano na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama katika kujiandaa na majukumu ya Uamiri Jeshi Mkuu.

Lakini pia nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Nje itakuwa ni katika kumjenga na kumtambulisha kimataifa na kumfanya ajenge mtandao utakaosaidia na kurahisisha masuala ya kidiplomasia pale atakapokuwa ameingia madarakani na kumfanya kutokuwa mgeni katika masuala ya kidiplomasia pamoja na kujua Dunia inakwenda vipi na kipi afanye kulinda heshima ya Tanzania kimataifa pamoja na kunasa fursa mbalimbali.

Hivyo katika kumjenga atapitishwa katika wizara hizo tatu nyeti japo ya utumishi anaweza asipitishwe kwa sababu hapo amekaa na anapafahamu vyema kwa kuwa alitumikia kama Naibu waziri wake. Lakini pia Kuna nyota nyingine itaendelea kung'aa na kuendelea kuzungushwa katika wizara tofauti tofauti.

Mengine niliyoyaona ndotoni nisingependa kuyazungumzia hapa wala mahali penginepo pale popote pale mpaka kifo changu. Ila kitu na jambo moja ningependa Kuwaambieni ni Kuwa jiandaeni tu ya kuwa Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete ni lazima atakuja kuwa Rais wa Nchi hii ya Tanzania. Kikubwa tuendelee kuomba uzima tu. nimeona Mengi ndotoni na mengine ambayo ni ya siri mpaka Mwisho.

Kuna wengine nimeona Ndotoni wanautafuta Urais kwa nguvu za kila aina lakini hawapo hata kwenye Uwaziri Mkuu wala Unaibu waziri Mkuu hawatakaa waupate. Nimeona wengine pamoja na ndoto na kiu zao kubwa za kukalia kiti hicho cha Urais .lakini nikaona kuna mtu hata mimi simfahamu wala kumuona sura yake alikuwa anawasogezea viti vya Uwaziri ili wakalie.hii ikiwa na maana ya kuwa watakuwa ni mawaziri na wataishia kwenye nafasi hizo na hawatapanda zaidi ya hapo.

Naomba nisiandike Mengi wala kuendelea zaidi ya hapa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
IMG-20250618-WA0052.jpg
 
Back
Top Bottom