Chivundu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2012
- 7,198
- 5,366
Yote tisa kumi hali bora maisha bora kwa kila mTZ! Imefia wapi mkubwa Jakaya!
Chenga tupu!! Jamaa ndio huyo anamaliza ngwe na utajiri kibao!
Yote tisa kumi hali bora maisha bora kwa kila mTZ! Imefia wapi mkubwa Jakaya!
SUALA LA WIZI WA FEDHA TSH200BILS NI HATARI KWA TAIFA YAPO MAMBO YA MSINGI KAMA IFUATAVYO:Mbunge wa Chalinze;
Ni mbunge wa kwanza kumsikia akitetea vijana katika maswala ya ajira bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuweka wazi ukiritimba uliopo katika taasis na mashirika ya Umma.
"Mheshimiwa mwenyekiti, unakuta mwanafunzi amemaliza chuo, anaenda kuomba ajira anaambiwa awe na uzoevu usiopungua miaka miwili, atautoa wapi huo uzoevu? Waajirini wapate uzoevu. Kuna baadhi ya Taasis kama T. R. A kuna ukiritimba wa ajira, ajira zinatolewa kwa kujuana"
Naunga mkono mia kwa mia kwani ni kweli huu ukiritimba wa kupeana ajira kwa vimemo upo katika taasis na mashirika mengi kama vile; T.R.A, TANAPA, B.O.T, TPDC, n.k. Haya mataasis haya yamekubuu kwa uchafu huo.
Nasubiri mbunge atakayemuunga mkono Ridhiwani hata kupeleka hoja binafsi bungeni ya kuangaliwa upya mfumo wa ajira katika hizi taasis.
Mfano kule TANAPA unakuta kaajiriwa baba,mama na mtoto acha wajomba, mawifi na wengineo! Hizi taasis zimekuwa kama ni za familia! Aibu hii!
"Natoa shilingi hadi huu ukiritimba angalau upungue na naomba wananchi wenzangu waniunge mkono"
Mbunge wa Chalinze;
Ni mbunge wa kwanza kumsikia akitetea vijana katika maswala ya ajira bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuweka wazi ukiritimba uliopo katika taasis na mashirika ya Umma.
"Mheshimiwa mwenyekiti, unakuta mwanafunzi amemaliza chuo, anaenda kuomba ajira anaambiwa awe na uzoevu usiopungua miaka miwili, atautoa wapi huo uzoevu? Waajirini wapate uzoevu. Kuna baadhi ya Taasis kama T. R. A kuna ukiritimba wa ajira, ajira zinatolewa kwa kujuana"
Naunga mkono mia kwa mia kwani ni kweli huu ukiritimba wa kupeana ajira kwa vimemo upo katika taasis na mashirika mengi kama vile; T.R.A, TANAPA, B.O.T, TPDC, n.k. Haya mataasis haya yamekubuu kwa uchafu huo.
Nasubiri mbunge atakayemuunga mkono Ridhiwani hata kupeleka hoja binafsi bungeni ya kuangaliwa upya mfumo wa ajira katika hizi taasis.
Mfano kule TANAPA unakuta kaajiriwa baba,mama na mtoto acha wajomba, mawifi na wengineo! Hizi taasis zimekuwa kama ni za familia! Aibu hii!
"Natoa shilingi hadi huu ukiritimba angalau upungue na naomba wananchi wenzangu waniunge mkono"
Km hata wewe ,kutoka familia iliyowahi shika nafsi kubwa..upo Tayari kuchamba makalio mtoto wa Rais ni wazi huna dreams kubwa,ni wazi huoni njia..wala haupo tayari tafuta njia au kongoza wengine njia....Muache upumbavu basi ..Kafanya matukio mangapi hadi mumuite mtetezi wa vijana...KUONGEA KITU CHA KUTETEA HAKUMFANYI KUWA MTETEZI..km ilivyo kuchora hakukufanyi kuwa mchoraji, kunywa bia moja hakukufanyi kuwa mnywaji....tunatofautiana sana kifikra na haya matakataka ya ccm.Hembu jifunze kuwa na mahusiano ya heshima na watoto wa vigogo wenzako..sio master slave..hata akiwa boss wako si lazima awe master slave.- Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni jamani, saafi sana Kamanda Mheshimiwa Mbunge wa Chalinze hatimaye vijana wamepata Kiongozi wa kuwasemea, Kidumu Chama Cha Mapinduzi!1 Le Mutuz System