Ridhiwani FB account hacked....................!!!!!!!!!!!!!!!

bakuza

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
490
100
Nimepitia ktk fb account yangu asubuhi hii nikakutana na post za CHADEMA zikitumwa kuopitia account ya Ridhiwan.Nadhani hackers wameshafanya kazi yao.
 
Eeee!!!! kwakeli nimeona duh watu wabaya wamemchafuaje??? ssijui akiona atasemaje Advocate mtandao ni balaaa na kwa sababu yupo buzy mpaka aje aone lol!!!!!!!!!!! mmmmmmmh!!!!!!
 
teheeeteeee Kabadili dini???? sio kang'amua ukweli wa naniliu teheteheteheeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!! ila kama ni mwenyewe sasa nadhani anataka kuanza mchakato wa kuchukua form yakugombea Urahisi akitoka babake sasa sijui ni kwa tiketi ya basi gani lol!!!!!!
 
Hata wa Mama Salma Kikwete...mana n ajabu kila siku anamponda JK na kuisifia harakati za kuipinga CCM....
 
Back
Top Bottom