dudulayuyu
New Member
- Sep 20, 2021
- 4
- 14
Habari ndugu natumai ni wazima ,nina shida ya kitabu tajwa hapo juu hasa tafsiri yake ya kiswahili ,kulikua na uzi wa kitabu hiki mwenye link aniwekee hapa
Nami naomba unitagie huo Uzi mkuuKama upo dasilamu pitia mitaa ya Kinondoni pale Biafra kuna mzee kando ya barabara anauza vitabu, niliwahi kukinunua kwake kwa 10,000/- tu.
Kama unataka soft copy au kilichotafsiriwa kuna uzi nimekutagi.
Ningependa unitagie Uzi hapa maana sipokei notification kwenye appKama upo dasilamu pitia mitaa ya Kinondoni pale Biafra kuna mzee kando ya barabara anauza vitabu, niliwahi kukinunua kwake kwa 10,000/- tu.
Kama unataka soft copy au kilichotafsiriwa kuna uzi nimekutagi.
Mcheki huyu jamaa whatsapp. 0759522257Ningependa unitagie Uzi hapa maana sipokei notification kwenye app
ShukraniMcheki huyu jamaa whatsapp. 0759522257
Pia kuna hizi softcopies.
Kwa Tsh 2,000 hadi 4,000 utapata softcopies za vitabu hivi. Whatsapp namba 0759522257. Pia kuna bonasi ya vitabu kama nane. Hardcopy ipo ya Tajiri wa Babeli(12,000). List ya vitabu vyote.
ORODHA YA VITABU NA BEI...
Copied from Lycaon pictus.