Nipe tofauti ya mavoko alivyokuwa ktk lebo ya king kaka ya Kenya ,baada ya kuachana na papa misifa (na kama kweli unamfuatilia mavoko nitajie nyimbo zake mbili alizozitowa akiwa chini ya hiyo lebo ya king kaka na zilifika wapi) na mavoko wa WCB ,ukilijua hilo ndio utajua kama mavoko anapanda au ameshuka muwe wafuatiliaji sio mnaropoka tu na kama hujui mavoko aliachana na papa misifa baada ya jamaa kumbambikia kesi ya kumdai milioni 500 (tafuta mahijiano kati ya soudybrown na papa misifa youtube) na ndio utajua jinsi gani WCB na mondi walivyoamua kubeba msalaba wa mavoko .