Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 628
- 1,648
Hizi microcredit zinatakiwa zitoze riba kiasi gani wanajamii, kuna mtu kaingizwa mkenge hapa tunatafuta suluhu lakini kwa kiasi alichokopa na marejesho ni kama anafanyiwa robbing.
Kibaya wahusika hawaruhusu awalisilishe maulizo yake katika ofisi zao, yaani wale vijana wanajiita afisa mikopo ndio wanapiga kama PIN hivi, hawajafanya kwa mtu mmoja ni kama wana ka scheme.
Sasa nashindwa namna ya kumsaidia huyu mtu maana sijui wanariba asilimia ngapi kwa muongozo wa serikali.
Kibaya wahusika hawaruhusu awalisilishe maulizo yake katika ofisi zao, yaani wale vijana wanajiita afisa mikopo ndio wanapiga kama PIN hivi, hawajafanya kwa mtu mmoja ni kama wana ka scheme.
Sasa nashindwa namna ya kumsaidia huyu mtu maana sijui wanariba asilimia ngapi kwa muongozo wa serikali.